nkawa
Senior Member
- May 11, 2009
- 181
- 10
Na hiyo kweli mtamuweka huru...aminiaamini JF nawe utapata kweli daima...hahahaha
Na hiyo kweli mtamuweka huru...aminiaamini JF nawe utapata kweli daima...hahahaha
Sitta ni mwanamume. Wenye uchungu na nchi yetu, tumtie moyo, na kumwombea. Kama NEC ingemtaka kuomba radhi kama ilivyoripotiwa kwenye vyombo vya habari basi kila mwananchi wa Tanzania labda mpumbafu angeelewa kuwa CCM ni ya mafisadi. Na kama ingekuwa kweli basi kundi la akina Kilango tungepaswa kuwashangaa kama wangeendelea kubaki CCM.Ukweli ndo huo. Habari za kuwa Sitta ameomba radhi zinaenezwa na akina Rostam ambao wamehangaika usiku kucha kutugongea vyumbani wakitubembeleza tumtose Sitta. Ndio wameita magazeti mbalimbali kueneza uvumi kuwa Sitta ameomba radhi kwa NEC.
Hata mimi ninaweza kujitambulisha kama Mjumbe wa NEC, na nikasema Six aliungama, je utaniamini?
Magazeti jana yalituchanganya ndo maana nikapost matatu humu kwenye JF kusudi tupime.
NEC ya juzi ilikuwa imeongwa pesa tokea Zanzibar hadi Mtwara mpaka Bukoba. Ndo maana wanawake wale unasikia walilia ile ni usanii. Na ebu jiulize Rostam hakuhudhuria vikao vya Bunge kwenye bajeti lakini kwenye NEC na CC alikuwa msemaji mkubwa na kuhamasisha kusudi apate pa kutokea!!! Hawa watu nikama wachawi ukijumlisha na JK ambaye hana msimamo basi nchi haina mwenyewe. Wacha tusubiri kwani haya ni mapito.
Ila kinachoniogopesha zaidi ni CHADEMA wamekaa kimyaa sijui kuna nini manake hii ndo advantage yao.
Suala sio kuamini. Suala ni ku-verify source. Hivyo ukisema wewe ni mjumbe wa NEC, itabidi nipime uzito wa kile unachosema na vilevile kulinganisha na source zingine.
Watu wengi wanataka kusikia kuwa mafisadi walimlazimisha spika kuomba radhi na wakisikia kuwa hakuomba radhi wanaenda bazooka.
Duh...ivi Sitta kweli ni tishia kwa mafisadi namna hii? mbona na yeye kakaa kifisadi tu? Au hapa tunatakiwa tuchague 'the better of the two evil'?
Naombeni namba ya Simu ya Mh Samwel Sita (Mb) nimalize utata hapa.....
Ndio tujadili yaliyojiri ndani ya vikao vya CCM na Mh. Spika, lakini tuwe waangalifu katika maeneo fulani. Hivi huyu Baija Bolobi ni kweli M-NEC na habari aliyoitoa ni ya kweli? Je, hakuna chanzo (source) kingine cha kutuhabarisha tukalinganisha taarifa hii?
Nje ya mh. Spika ni yapi mengine yameongelewa? Makamba je?
Kaazi kweli kweli,Kwanza si kweli ulichoandika,na kauli inayomuhusu Guninita anayodai kuwa ilitamkwa na JK ni aina mpya kabisa ya uongo uliopo katika medani za kisiasa katika Nchii hii,JK hakutoa kauli kama hiyo.
Pia ni aina mpya ya Uzandiki na uongo uliotumia hapa unataka kutuaminisha kwa hoja kuwa wewe i mjumbe wa Nec ulikuwepo na wengi wetu inaonyeha tumeamini,tusihukumu vyomo vya habari eti vimeshabikia tujifunze ukubali kuona na kusikia tusivovipenda, na nina shangaa watu humu ktk Jamvi kuwa mashabiki na kuunga mkono kauli na post yako ambao haihitaji nguvu kubwa kujua kuwa ni ushabiki.
Hebu jiulize swali dogo,kama kweli sita hakuomba Radhi MWANAHALISI lisingekuwa ripoti hiyo?wakati Ripota mkubwa wa Mwanahalisi ndani ya Vikao vya NEC bwana Ndhi,NAPE alikuwepo asingetoa taarifa hiyo?
It is True kuwa Sita ameomba Radhi na kwa Mara ya kwanza Naungana na Mwanakijiji ktk moja ya Post yake niliosoma leo sikumbuki ni wapi akisema kuwa alichofanya SITTA ni (Strategic Retreat) nakubaliana na mtazamo huu na sitta kwa wanaomfahmu tusubiri bunge la NOV na Feb,tunaweza kuona kitu kipya na jambo kubwa.
But hakuna faida kujidanganya na kujipa False hopes haina Doubt yaliyotokea ndo yaliyoripotiwa na Vyombo vya habari na hakuna upotoshaji wa aina yoyote
haya mambo yeu ya kuegemea kundi fulani ndo yanatuchanganya hapa..mambo ya rostam yanatoka wapi..au na wewe ulikuwa dodoma.mara ngapi CCM wanakaa dodoma na vyomba vya habari vinakwenda kuripoti habari..acha ubabaishaji hapa
Sasa ipi ni credible source? Baija ( Anayejiita mNEC ) au magazeti yaliyodai kupata habari kutoka kwa fellow Baijas NEC Members?
Mimi siendeshwi kwa Hisia mpaka sasa niko katikati yawezekana aliomba Msamha au Hakuomba je waweza kunipa Source?
Sasa huamini kama mimi ni mNEC?
Mkuu Halisi,
Naona upo online, ebu tupe maoni yako
FP
Hisia sina-run high kwenye thread hii. Kwikwikwi. Credible source zitapatikana baada ya watu kutulia. Watu kurudi makwao na kuanza kusimulia.
Sasa hivi hii ni breaking news, kila gazeti linataka kuuza na kila mwanaJF anataka kuwa news analyst.
Mwuulize Shalom akuambie kama kuna mtu zaidi ya Mwakalinga anayeweza kuwa sehemu tofauti katika muda huo huo. Shalom anafahamu watu gani wana uwezo huo wa KIROHO.
Sasa Ndugu yangu Masa, si muulizeni George Mwakalinga awaambie nini kilikuwa huko ndani? Inawezekana moja ya UTANO (hapa si UTATU TENA) wake Mwakalinga, mmoja ulikuwa kwenye kikao hicho......
This was BREAK, HAVE TIME...... Tuendelee na zile story za uko jela JKT na mkisikia sauti ya buti mwaulizana " huyo atakuwa afande Magwega..."
Kaazi kweli kweli,Kwanza si kweli ulichoandika,na kauli inayomuhusu Guninita anayodai kuwa ilitamkwa na JK ni aina mpya kabisa ya uongo uliopo katika medani za kisiasa katika Nchii hii,JK hakutoa kauli kama hiyo.
Pia ni aina mpya ya Uzandiki na uongo uliotumia hapa unataka kutuaminisha kwa hoja kuwa wewe i mjumbe wa Nec ulikuwepo na wengi wetu inaonyeha tumeamini,tusihukumu vyomo vya habari eti vimeshabikia tujifunze ukubali kuona na kusikia tusivovipenda, na nina shangaa watu humu ktk Jamvi kuwa mashabiki na kuunga mkono kauli na post yako ambao haihitaji nguvu kubwa kujua kuwa ni ushabiki.
Hebu jiulize swali dogo,kama kweli sita hakuomba Radhi MWANAHALISI lisingekuwa ripoti hiyo?wakati Ripota mkubwa wa Mwanahalisi ndani ya Vikao vya NEC bwana Ndhi,NAPE alikuwepo asingetoa taarifa hiyo?
It is True kuwa Sita ameomba Radhi na kwa Mara ya kwanza Naungana na Mwanakijiji ktk moja ya Post yake niliosoma leo sikumbuki ni wapi akisema kuwa alichofanya SITTA ni (Strategic Retreat) nakubaliana na mtazamo huu na sitta kwa wanaomfahmu tusubiri bunge la NOV na Feb,tunaweza kuona kitu kipya na jambo kubwa.
But hakuna faida kujidanganya na kujipa False hopes haina Doubt yaliyotokea ndo yaliyoripotiwa na Vyombo vya habari na hakuna upotoshaji wa aina yoyote
Mwuulize Shalom akuambie kama kuna mtu zaidi ya Mwakalinga anayeweza kuwa sehemu tofauti katika muda huo huo. Shalom anafahamu watu gani wana uwezo huo wa KIROHO.
Sasa Ndugu yangu Masa, si muulizeni George Mwakalinga awaambie nini kilikuwa huko ndani? Inawezekana moja ya UTANO (hapa si UTATU TENA) wake Mwakalinga, mmoja ulikuwa kwenye kikao hicho......
This was BREAK, HAVE TIME...... Tuendelee na zile story za uko jela JKT na mkisikia sauti ya buti mwaulizana " huyo atakuwa afande Magwega..."