Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Swali moja kubwa ni kuwa kwanini magazeti yaliripoti kuwa Six ameomba msamaha?.

Hilo linatosha kuwapa jibu kuwa tuhuma dhidi yake ni za kupikwa!
 
Swali moja kubwa ni kuwa kwanini magazeti yaliripoti kuwa Six ameomba msamaha?.

Hilo linatosha kuwapa jibu kuwa tuhuma dhidi yake ni za kupikwa!
Wanataka Spika Sitta aseme kilichojiri humo cc na nec ya ccm. Si unajua hulka yake kutotaka "achafuliwe" kwa namna yoyote ile?
 
Spika ana nguvu sana bungeni, wabunge wengi wanamkubali ndio maana wanashindwa jinsi ya kumwengua wanatumia njia hiyo ya kumvua uanachama, lakini naamini lazima kuwe na sababu za msingi za yeye kuvuliwa uanachama au la haitawezekana.
Sitta ni mwiba mkali na wanamwogopa sana hasa hawa wabunge mafisadi na mkuu wa kaya.
 
Speculations speculations....sheikh yahaya ana wafuasi wengi sana duh!
 
Wazee na Waheshimiwa wana jamvi

Nikiwa mjumbe wa NEC nisiye na kundi lolote, nawajibika kuweka sawa rekodi moja katika mjadala unaoendelea kuhusu Spika Sitta na kilichotokea ndani ya ukumbi wa mkutano wa NEC.

Baada ya mjadala mrefu ulioshabikiwa sana na wajumbe wengi huku hoja zao zikijiwa bila jazba na wajumbe wachache lakini wanaoheshimika, Spika Sitta alikutana faragha na Mwenyekiti JK, Rais Mwinyi na Kinana. Baada ya faragha ile ambayo bado ni siri, Spika Sitta alipopata nafasi alisema maneno machache sana yenye pointi mbili. Kwanza, aliwashukuru wajumbe kwa kutumia uhuru wao kutoa maoni yao. Pili, alisema anaiachia meza kuu kutafakari yaliyosemwa na pande zote. Kisha alimaliza na kukaa.

Hata kama sikubaliani na baadhi ya misimamo yake, siwezi kusema kuwa aliomba radhi. Lakini pia siwezi sema alikosa watetezi kama inavyoripotiwa. Kulikuwa na hoja nzito, tena nyingine kutoka visiwani zilizomtetea.

Kiroja cha mjadala alikuwa Guninita, Mwenyekiti wa Mkoa wa DSM aliyechemka lakini JK akamzodoa kwa kumwambia "kama ana uchungu na chama mbona alikiacha na kwenda CHADEMA na kuitukana CCM kwa miaka miwili?"

Habari ni hiyo.

Baija

Kaazi kweli kweli,Kwanza si kweli ulichoandika,na kauli inayomuhusu Guninita anayodai kuwa ilitamkwa na JK ni aina mpya kabisa ya uongo uliopo katika medani za kisiasa katika Nchii hii,JK hakutoa kauli kama hiyo.

Pia ni aina mpya ya Uzandiki na uongo uliotumia hapa unataka kutuaminisha kwa hoja kuwa wewe i mjumbe wa Nec ulikuwepo na wengi wetu inaonyeha tumeamini,tusihukumu vyomo vya habari eti vimeshabikia tujifunze ukubali kuona na kusikia tusivovipenda, na nina shangaa watu humu ktk Jamvi kuwa mashabiki na kuunga mkono kauli na post yako ambao haihitaji nguvu kubwa kujua kuwa ni ushabiki.

Hebu jiulize swali dogo,kama kweli sita hakuomba Radhi MWANAHALISI lisingekuwa ripoti hiyo?wakati Ripota mkubwa wa Mwanahalisi ndani ya Vikao vya NEC bwana Ndhi,NAPE alikuwepo asingetoa taarifa hiyo?

It is True kuwa Sita ameomba Radhi na kwa Mara ya kwanza Naungana na Mwanakijiji ktk moja ya Post yake niliosoma leo sikumbuki ni wapi akisema kuwa alichofanya SITTA ni (Strategic Retreat) nakubaliana na mtazamo huu na sitta kwa wanaomfahmu tusubiri bunge la NOV na Feb,tunaweza kuona kitu kipya na jambo kubwa.

But hakuna faida kujidanganya na kujipa False hopes haina Doubt yaliyotokea ndo yaliyoripotiwa na Vyombo vya habari na hakuna upotoshaji wa aina yoyote
 
Nangojea list ya waliochangia ktk kumsuta six pale NEC kikao na waliyoongea, soon nitapost! lakini ee mola utusaidie sisi wanao tunateswa na kuteseka na mafisadi,kwa sasa twaweza kuona ni namna gani mafisadi wanaweza hata kuwanunua wabunge,viongozi wa kuleta maendeleo,sasa tunadhani watashindwa kuwanunua wananchi wawapigie kura bila wao wananchi kujua?just imagine mtetea maovu namna anavyoweza kuwa mbaya.
 
Kaazi kweli kweli,Kwanza si kweli ulichoandika,na kauli inayomuhusu Guninita anayodai kuwa ilitamkwa na JK ni aina mpya kabisa ya uongo uliopo katika medani za kisiasa katika Nchii hii,JK hakutoa kauli kama hiyo.

Pia ni aina mpya ya Uzandiki na uongo uliotumia hapa unataka kutuaminisha kwa hoja kuwa wewe i mjumbe wa Nec ulikuwepo na wengi wetu inaonyeha tumeamini,tusihukumu vyomo vya habari eti vimeshabikia tujifunze ukubali kuona na kusikia tusivovipenda, na nina shangaa watu humu ktk Jamvi kuwa mashabiki na kuunga mkono kauli na post yako ambao haihitaji nguvu kubwa kujua kuwa ni ushabiki.

Hebu jiulize swali dogo,kama kweli sita hakuomba Radhi MWANAHALISI lisingekuwa ripoti hiyo?wakati Ripota mkubwa wa Mwanahalisi ndani ya Vikao vya NEC bwana Ndhi,NAPE alikuwepo asingetoa taarifa hiyo?

It is True kuwa Sita ameomba Radhi na kwa Mara ya kwanza Naungana na Mwanakijiji ktk moja ya Post yake niliosoma leo sikumbuki ni wapi akisema kuwa alichofanya SITTA ni (Strategic Retreat) nakubaliana na mtazamo huu na sitta kwa wanaomfahmu tusubiri bunge la NOV na Feb,tunaweza kuona kitu kipya na jambo kubwa.

But hakuna faida kujidanganya na kujipa False hopes haina Doubt yaliyotokea ndo yaliyoripotiwa na Vyombo vya habari na hakuna upotoshaji wa aina yoyote

Mheshmiwa saana,

Bila kutaja kama wewe ni mjumbe wa NEC au una connestions (ambayo ni vizuri kutotaja), ilitakiwa utupe upande wa pili wa shillingi ya yaliyojiri.

Kumsema mtoa habari kuwa amesema uongo bila kusema ukweli ni kumuonea.

Inaonekana source ya habari yako ni magazeti hasa Mwanahalisi ambalo umedai ni NAPE ndie anayetoa habari (sijui una uhakika????) haiondoi ukweli kuwa mjumbe amesema alikuwepo na kuwa SIX hakuomba msamaha.

Kuwa objective na toa maoni kuhusu unachokijua wewe mwenyewe.

Kama hujui basi kaa tu kimya kama mimi au toa MAONI tu kama memba wengine.

FP
 
Ukweli ndo huo. Habari za kuwa Sitta ameomba radhi zinaenezwa na akina Rostam ambao wamehangaika usiku kucha kutugongea vyumbani wakitubembeleza tumtose Sitta. Ndio wameita magazeti mbalimbali kueneza uvumi kuwa Sitta ameomba radhi kwa NEC.

Tutajuaje kama na nyie Sitta hajawagongea usiku kucha akiwaomba mtuambie kuwa hakuomba radhi?!
 
Kaazi kweli kweli,Kwanza si kweli ulichoandika,na kauli inayomuhusu Guninita anayodai kuwa ilitamkwa na JK ni aina mpya kabisa ya uongo uliopo katika medani za kisiasa katika Nchii hii,JK hakutoa kauli kama hiyo.

Pia ni aina mpya ya Uzandiki na uongo uliotumia hapa unataka kutuaminisha kwa hoja kuwa wewe i mjumbe wa Nec ulikuwepo na wengi wetu inaonyeha tumeamini,tusihukumu vyomo vya habari eti vimeshabikia tujifunze ukubali kuona na kusikia tusivovipenda, na nina shangaa watu humu ktk Jamvi kuwa mashabiki na kuunga mkono kauli na post yako ambao haihitaji nguvu kubwa kujua kuwa ni ushabiki.

Hebu jiulize swali dogo,kama kweli sita hakuomba Radhi MWANAHALISI lisingekuwa ripoti hiyo?wakati Ripota mkubwa wa Mwanahalisi ndani ya Vikao vya NEC bwana Ndhi,NAPE alikuwepo asingetoa taarifa hiyo?

It is True kuwa Sita ameomba Radhi na kwa Mara ya kwanza Naungana na Mwanakijiji ktk moja ya Post yake niliosoma leo sikumbuki ni wapi akisema kuwa alichofanya SITTA ni (Strategic Retreat) nakubaliana na mtazamo huu na sitta kwa wanaomfahmu tusubiri bunge la NOV na Feb,tunaweza kuona kitu kipya na jambo kubwa.

But hakuna faida kujidanganya na kujipa False hopes haina Doubt yaliyotokea ndo yaliyoripotiwa na Vyombo vya habari na hakuna upotoshaji wa aina yoyote


Baija ni nanga ya baharini na mzandiki .Sikupendi simply because uko pande wa kuwaumiza Watanzania kwa kukubaliana CCM lako .
 
People grow up !!!!!!!!!. Mwanzilishi wa thread ametangulia kwa kusema kuwa yeye ni mjumbe wa NEC. Na aliyasikia na kuyaona laivu. Mtu anayeweza kumpinga ni yule atakayesema kuwa alikuwemo ndani ya kikao na kuona au kusikia yale yaliondelea.

Ni nani kati yenu alikuwemo ndani ya kikao na kuona tofauti na yale yanayosemwa na mwanzilishi wa thread?
 
Tutajuaje kama na nyie Sitta hajawagongea usiku kucha akiwaomba mtuambie kuwa hakuomba radhi?!

As far as hakuna chombo cha Habari kilichoruhusiwa kuingia kwenye kikao ( Hope kikao kilikuwa cha Siri). Mpaka sasa hakuna habari tunayoweza kuiita ya ukweli. Magazeti yameripiti yakasema chanzo ni kutoka chanzo ndani ya NEC ( ambacho hakikutajwa) Baijo anasema yeye ni MNEC ( hatuna uhakika vile vile).

So hapa tunajadili HISIA tu as we are neither sure kama Baijo ni MNEC na anatoa taarifa sahihi nor kama hizo habari za magazeti ni za Kweli.
 
People grow up !!!!!!!!!. Mwanzilishi wa thread ametangulia kwa kusema kuwa yeye ni mjumbe wa NEC. Na aliyasikia na kuyaona laivu. Mtu anayeweza kumpinga ni yule atakayesema kuwa alikuwemo ndani ya kikao na kuona au kusikia yale yaliondelea.

Ni nani kati yenu alikuwemo ndani ya kikao na kuona tofauti na yale yanayosemwa na mwanzilishi wa thread?

Hata mimi ninaweza kujitambulisha kama Mjumbe wa NEC, na nikasema Six aliungama, je utaniamini?
 
Naombeni namba ya Simu ya Mh Samwel Sita (Mb) nimalize utata hapa.....
 
Wazee na Waheshimiwa wana jamvi

Kiroja cha mjadala alikuwa Guninita, Mwenyekiti wa Mkoa wa DSM aliyechemka lakini JK akamzodoa kwa kumwambia "kama ana uchungu na chama mbona alikiacha na kwenda CHADEMA na kuitukana CCM kwa miaka miwili?"

Habari ni hiyo.

Baija
Tumeshafahamu ya Spika kuwa hakuomba radhi, mnaonaje tukimjadili Guninita na wale waliokuja na hoja za ajabu juu ya Spika? Bila shaka hawa wanafahamika vizuri tu na wanajamii.
 
Tumeshafahamu ya Spika kuwa hakuomba radhi, mnaonaje tukimjadili Guninita na wale waliokuja na hoja za ajabu juu ya Spika? Bila shaka hawa wanafahamika vizuri tu na wanajamii.

Tumefahamu vipi?
 
Last edited:
Speaker under fire

Speaker Samuel Sitta was almost stripped of his party membership during the stormy meeting of National Executive Committee (NEC) in Dodoma yesterday. Altogether about 50 members spoke and all of them called for his expulsion, except three who defended him amid heckling and booing. Members accused him of betraying the party that put him into power, saying he got rid of the Westminster system with Speaker as neutral arbitrator and so imposed his own system with him as a prosecutor and judge. In other words, the Speaker turned into a speaker.

Sources say the last nail on the cross was hammered in by veteran party leader, Kingunge Ngombale-Mwiru who told him he lost credibility by violating the Commonwealth parliamentary system and undermining the CCM government. Sitta was accused of forming his G-11 made up of his cronies in the House who were always favoured and given priority.

NEC rejected the Central Committee (CC) appointment of a committee of three to resolve the crisis. They were former President Ali Hassan Mwinyi, former Speaker Pius Msekwa and former Speaker of East African Parliament Abdurrahman Kinana. They rejected the trio on grounds that there was no split in the House as claimed by CC. Instead they pointed at Sitta as the problem, suggesting that he be removed while others went to the extent of calling for his expulsion from the party.

While the firework was going on, Sitta sat quietly. This is after President Jakaya Kikwete told him he would allow him the right of reply at the end. He also advised him not to adopt a confrontational attitude as it would boomerang. And so when his turn came Sitta merely apologised and it was accepted.

Among his defenders of Sitta were MPs Dr Harrison Mwakyembe and Stella Manyanya while Dar es Salaam regional party chairman John Guninita was strongly against him, calling him “a bull in the China shop”. He was supported by chairman of Shinyanga, Khamis Mngeja. In the end NEC resolved that the Mwinyi committee should probe into the matter to find out what went wrong.

Some people thought the whole episode was stage managed by some bigwigs with financial muscles. They said this was done two weeks before the Dodoma meeting when a clandestine meeting was called and money dished out in terms of billions. One NEC member was sent to Zanzibar to pass on the message and brown envelopes. Seven ministers are said to have joined this anti-Sitta group. General feeling is that former Prime Minister Edward Lowassa, Rostam Aziz and their allies have had the last laugh. (Mtanzania, Tanzania Daima, Majira, Nipashe, Mwananchi)
 
Magazeti jana yalituchanganya ndo maana nikapost matatu humu kwenye JF kusudi tupime.

NEC ya juzi ilikuwa imeongwa pesa tokea Zanzibar hadi Mtwara mpaka Bukoba. Ndo maana wanawake wale unasikia walilia ile ni usanii. Na ebu jiulize Rostam hakuhudhuria vikao vya Bunge kwenye bajeti lakini kwenye NEC na CC alikuwa msemaji mkubwa na kuhamasisha kusudi apate pa kutokea!!! Hawa watu nikama wachawi ukijumlisha na JK ambaye hana msimamo basi nchi haina mwenyewe. Wacha tusubiri kwani haya ni mapito.

Ila kinachoniogopesha zaidi ni CHADEMA wamekaa kimyaa sijui kuna nini manake hii ndo advantage yao.
 
Back
Top Bottom