Right, national news zanaandikwa kidaku daku dakuuu...
Unajua, nimekuelewa vizuri sana, kwamba hata kama ingeonyeshwa picha ya Makamba ananong'onezana na Rais, bado hiyo siyo evidence ya walichoambiana, kwamba Rais Kikwete alikuwa anaenda kwenye kikao ambacho amepewa agenda kwenye runway ya airport!... na kwamba Mwakyembe alivyojibizana na Rais kwamba kuna makundi ya mafisadi na wasafi, Rais alijibu nini, etc. etc., hiyo level ya sophistication kuuliza data hizo, unaenda mbali saaana. Kubenea hana sophistication ya kuelewa hayo, ndio maana nashusha ile bar, nampa Kubenea benefit of the doublt kwamba akionyesha picha Kikwete anatoa mguu kwenye ndege na Makamba anamdaka kumpa siri ya kikao, na kuna mpambe wa Kubenea anasikiliza nitamwamini.
Kwa sababu yeye Kubenea ametushusha so low, kutufanya wajinga kwamba Kikwete kapewa agenda ya mdomo airport, basi na mimi nataka ku dili nae huko huko kwenye mawazo shalow, sitaki discourse ndeeefu na Kubenea, namwambia, nionyeshe picha tu! Mwongo, shambenga mkubwa Kubenea.