kweli aisee...Ngoja nikachungulie kule nione kumekaaje!
but huku ndio penyewe... ni sehemu ya kupata tulizo!
Kule mnakuweza nyie bana
nikiingia mle kwa siku moja kichwa kinauma
Ndo maana napita kama kituo cha polisi siangalii kabisa
kweli aisee...Ngoja nikachungulie kule nione kumekaaje!
but huku ndio penyewe... ni sehemu ya kupata tulizo!
Hahahah.... ADI yuko Martenity leave..... ndo matatizo ya mimba za mchana wakati mvua inanyesha, unaingia wodini wakati kuna misredi inawasubiri huku (chonde chonde usijemwambia, sipendi gombana na hommie wala shem wangu)Huyo kloro nimecheki naye kanambia bado buku mbili ili afikishe buku tano za kuingia kefu. Kule aliko umeme hamna, kuingia kefu inayotumia jenereta ni aghali kuliko Sukari kilo mbili.
Hahahaha........ we hujamjua Rejao vizuri, ukimuona huku ujue kaja kutoa mastress, kule kamuacha swahiba yake ritz. Masress yakiisha anarejea kule kutoa mastress, ritz anakuja huku kupunguza mastress...... hii mijamaa mijanja sijapata kuona. Hata Lowassa haoni ndani kulaaleki!
Ebwanaee........ dah! we una damu ya Sheikh Yahya(RIP)?Ya 400 hii!! Nimekupiga bao jingine tena!!
Lizzy hayo ni mambo ya writing erra,nilimaanisha afrodenzi.
Nanusa ile mbaya...huoni hili limpua langu? ....angalia 500 tena nisikuache!Ebwanaee........ dah! we una damu ya Sheikh Yahya(RIP)?
kuwa unajaribu kurushia kapost kamoja kamoja...mwishowe utapozea!Kule mnakuweza nyie bana
nikiingia mle kwa siku moja kichwa kinauma
Ndo maana napita kama kituo cha polisi siangalii kabisa
Hahaha..... kuna Rejao, Ritz, FaizaFoxy, omr na mzee.
Hawa kule jukwaa la mastress wakirusha maposti yao kuna watu wanatoa mapovu balaa.
Wakishatoa watu mapovu kule wanahania huku MMU kula kuku kwa mrija.
Mijamaa mijanja sana hii........ yaani mijanja kama Lowassa kulaaleki.
Any amount, you name it, i will gladly pay.
kuwa unajaribu kurushia kapost kamoja kamoja...mwishowe utapozea!
Dena leo nimemuana kule..but kaja kuchakachua..ikabidi nimstue mapema isije sababisha dhahama!
AshaDii (always my sweet darling)
Sweetlady
Bebii
MJ1
Smile
Smiles
Cantalisia
Gaijin (mwalimu wangu)
FL1
Gaga
Chauro
Husninyo (.....)
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Dena
Afro Denzi (....)
....................................................................................................
ODM., Asprin, Klorokwin, TF, The Boss, Mbu, Uporoto, Fignig,Sizinga, VinDiesel, SMU, SteveDii, Chimungururu, funzadume, MR,Mr. Rocky,
(hapa list inaendelea)
lol..but mmu ndio kuna malalamiko kibao!Sitaki kuumiza kichwa mkuu
Mara siasa zimefanya hivi mara ufisadi mara maandamano mara dowans mara richmond ahhh
Huko kwenye stress kaeni nyie bana
lol..but mmu ndio kuna malalamiko kibao!
bora hapa chit chat!
hapa ndio kila mtu anajiachia anavyotaka
orait orait.......
kuwa unajaribu kurushia kapost kamoja kamoja...mwishowe utapozea!
Dena leo nimemuana kule..but kaja kuchakachua..ikabidi nimstue mapema isije sababisha dhahama!
aunt nipo jamani, mambo mengi hadi jana nikasahau kumwish cousin wangu happy birthday. Dah! Nisamehe bure. Mpe hi kwa sana.
kwa leo my-super-star ni
travelor