Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

Sikuchakachua bana mie nataka maandamano wewe unasema nachakachua kule huwa nabeep mara moja moja si sana kivile
Kule unaweza kutokwa na povu la ajabu

Umeona eehhh
Kule aise unaweza pigana na key board yako au screen ukidhani ndo imekukosea kumbe ni Rejao kaweka post yake
 
Mmmh! Napita tu jamani Manake mimi sio super-star wala celebrity

Karibu saana Ram, woote tulianza hivo hivo dear.... Hapa ni Chit Chat karibu saana na MMU pale.... Full kupendana.

kumbe sometimes napaswa kupitiapitia hili jukwaa,


Zumbemkuu mie nitafurahi saana.... Lakini nikuambie kitu... One of the number one person wa kutoa "LIKE" bila ku-comment katika threads we ni among that group.
 
lol..but mmu ndio kuna malalamiko kibao!
bora hapa chit chat!
hapa ndio kila mtu anajiachia anavyotaka

Siku hizi na mimi nimekuwa mfuatiliaji sana wa chit chat
MMU malalamiko ya ndoa nayo yamekuwa mengi karibu nako kutakuwa sio stress free tena
Huku ndio mambo yote bana

Sikuchakachua bana mie nataka maandamano wewe unasema nachakachua kule huwa nabeep mara moja moja si sana kivile
Kule unaweza kutokwa na povu la ajabu



Nyie hapo juu..... Habari zenu bana!!
 
Wa kwangu kiasi ( list ni ndefu sana)
AshaDii ( I L......... U)
Mama Tuli ( my wife wangu)
Dena( jitangazie mwenyewe)
Smile (mhhhh naogopa kusema )
Sweetlady (TF namuogopa sana)
Bebii
MJ1
Cantalisia
Gaijin
Gaga
Chauro
Husninyo
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Afro Denzi
The Finest (PA pamoja sana viwanja kwa sana)
The Boss
Journe ( kwa mrombo lini aise)
Rejao (mzee wa jukwaa la stress)
Kloro (lawyer nina kesi unatakiwa unisimamie)
Asprin(Babu heshima mbele)
Funzadume( Mhhh naogopa kulitaja lile jukwaa maarufu)
Kibweka
Kibanga
Lizzy
Russian
Kaizer
Katavi
Mtambuzi
Mamndenyi
King'asti
Kimey
Fidel
Pj
Baba Enock
Teamo
Mzee wa Rula
Bishop Hiluka
Excellent (jukwaa la vichekesho)
MTM
Voice of reason


.................................list inaendelea
 
habari pouwa kabisa..uliisusia hii sredi yetu! Sijui nani leo kakuibua!



Rejao my fav brother.... Ubishi tu waniweka JF, Ningefuata jinsi nilivotingwa ningepotea hapa hata two weeks.... Mambo yamenibana mno, but sikubali... Na leo ndo nimepata nafasi yakupita huu mthread na kumwaga "LIKES" post zooote zinazotakiwa....lol
 
Yaaani uliniudhi niece.... Umeshindwa hata mtumia zawadi mdogo wako..... I am Sad. (Sijui unibembeleze kwa style ipi)

anti nisamehe jamani, namwandalia kazawadi kazuri. Nikirudi nyumbani nitampa.
Smile kidogo eeh anti....ukinuna unakuwa mzuri ila ukismile unakuwa mzuri zaidi. Waoooh! Nimeona ushasmile. Thanx.
 
anti nisamehe jamani, namwandalia kazawadi kazuri. Nikirudi nyumbani nitampa.
Smile kidogo eeh anti....ukinuna unakuwa mzuri ila ukismile unakuwa mzuri zaidi. Waoooh! Nimeona ushasmile. Thanx.



hahahaha.... Nimecheka Mpenzi... hio sector niece nakuaminia.... na nisha kusamehe siku nyingi... Si wajua ninavokupenda..... Haya kua na siku njema, na wacha tabia yako ya kulala nje.. nimechoka kukutetea kwa anko wako....lol
 
@ Mr. Rocky kusema mbele za watu ndo nini? Unataka kila mtu ajue mie ni small house na unajua Mama Tuli yupo hapa
 
hahahaha.... Nimecheka Mpenzi... hio sector niece nakuaminia.... na nisha kusamehe siku nyingi... Si wajua ninavokupenda..... Haya kua na siku njema, na wacha tabia yako ya kulala nje.. nimechoka kukutetea kwa anko wako....lol

ahsante anti. Leo nalala nje kwa mara ya mwisho. Kesho nitarudi nyumbani. Lol.
 
@ Mr. Rocky kusema mbele za watu ndo nini? Unataka kila mtu ajue mie ni small house na unajua Mama Tuli yupo hapa

halafu ndoa ya mr rocky na mama tuli ilikuwa lini? Hata kualikana huo ubwabwa jamani!
 
Wa kwangu kiasi ( list ni ndefu sana)
AshaDii ( I L......... U)
Mama Tuli ( my wife wangu)
Dena( jitangazie mwenyewe)
Smile (mhhhh naogopa kusema )
Sweetlady (TF namuogopa sana)
Bebii
MJ1
Cantalisia
Gaijin
Gaga
Chauro
Husninyo
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Afro Denzi
The Finest (PA pamoja sana viwanja kwa sana)
The Boss
Journe ( kwa mrombo lini aise)
Rejao (mzee wa jukwaa la stress)
Kloro (lawyer nina kesi unatakiwa unisimamie)
Asprin(Babu heshima mbele)
Funzadume( Mhhh naogopa kulitaja lile jukwaa maarufu)
Kibweka
Kibanga
Lizzy
Russian
Kaizer
Katavi
Mtambuzi
Mamndenyi
King'asti
Kimey
Fidel
Pj
Baba Enock
Teamo
Mzee wa Rula
Bishop Hiluka
Excellent (jukwaa la vichekesho)
MTM
Voice of reason


.................................list inaendelea
Lol, thanx a lot mpendwa! Mie penda wewe sana(hope hapa utapaka rangi nyeusi)..

Pamoja sana Mr. Rocky!

Source: my lovely wifi wa ukwee' AshaDii.


Mwaaaah to her popote alipo.
 
QUOTE=Dena Amsi;2824365]@ Mr. Rocky kusema mbele za watu ndo nini? Unataka kila mtu ajue mie ni small house na unajua Mama Tuli yupo hapa[/QUOTE]
Ndo maana nikaacha bila kumalizia
Waseme wenyyewe ni nini
Duh taratibu basi bana
 
Back
Top Bottom