Ma-super star wa jf...!!

Nilishawahi kusema hapa bila mpangilio wowote kama ifuatavyo:
  1. Afrodence-excelence ideology
  2. Ashadii-excelence mind, and quick responce kwa kila comment
  3. Husninyo-same as above
  4. Mwanakikjiji-anatumia ubongo kufikiri na wala sio masaburi
  5. MwanaJamiiOne-same as above
  6. Smile-huyu anagonga like kama hana akili nzuri vile
  7. Dena Amsi-sasa hivi anapoteapotea kiaina
  8. The Finest- Huyu mara nyingi anakeshaga bar,Fidel80 na The Boss
  9. Asprin-Huyu kaunta za juu za vilezi humkosi, nadhani ni paparazi huyu bwana
  10. Lizzy-nadhani huyu ni JF celebrity mwenye umri mdogo sana MMU
  11. Gaijin yuko same status na Eng Nsiande
  12. Rutashubanyuma-huyu bwana wa copy na paste, anatujuza mengi sana hapa jamvini
  13. Rejao-Mh huyu member mi mwenzenu simwelewi
  14. MziziMkavu-sounds like doctor, lakini yupo kiasili zaidi kama mganga wa kienyeji vile
  15. Sikonge na Waberoya-hawa mambwana hawa, we acha tu.
  16. Katavi-nilisema na ninasema, huyu bwana ana mwaka wa 3 humu jamvini, post zake hazizidi mistari 2, ni very short post
  17. Game Theory-He like CIA-haonekani siku hizi jamvini
  18. Mwita25-mwana mpotevu, kaongoka siku hizi
  19. .....
  20. .....
  21. ......
2q1iefq.gif

2i9m911.jpg

jidhjp.gif

Thanx Sinziga nipo bana
 
kuna watu hapa jf wanamajina makubwa kwa umaarufu wao hapa jf hasa ktk michamgo yao.mimi hawa watu ningependa kuwaita masuper star wa jf! Kwangu mm wapo wengi kama The boss, klorokwin, nyani ngabu,asha d,husninyo,afrodanz na wengine wengi.... Endelea na wewe....

Gaijin, sikujua kama hapo penye red ni star, hivi kumbe nimejitwalia Eminem au Snoopy dog wa JF. Teh teh
 
Walevi wote mkishalewa niiteni nije kuwafata na hii ndinga!! TF umenisikia? Mwambie Babu anywe tu, usafiri upo

audi1.jpg
 
The Finest, Chatu Dume, Klorokwini, Asprin, Cantalisia, Feis Buku, Sweetlady, WiseLady, Pakajimmy...........n.k
Wakaka/Wababa: Katavi, Uporoto, Fidel, The Finest, Klorokwini, Asprin, MTM, The Boss, Kaizer, Pakajimmy, Crashwise, Rejao, Mr. Rocky, Mbu, Mwanakijiji, Chatu dume, BAK...


Wadada/ Wamama: AshaDii, King'asti, Husninyo, bht, Gaijin, Mamndenyi, Black Woman, Preta, Dena Amsi, Lizzy, Afro d, MJ1... Hapa Itifaki haijazingatiwa so hakuna wa kwanza wala wa mwisho... Wasipokuwepo hao mie najitoa jf.. Mungu awape maisha marefu.
 
Wakaka/Wababa: Katavi, Uporoto, Fidel, The Finest, Klorokwini, Asprin, MTM, The Boss, Kaizer, Pakajimmy, Crashwise, Rejao, Mr. Rocky, Mbu, Mwanakijiji, Chatu dume, BAK...


Wadada/ Wamama: AshaDii, King'asti, Husninyo, bht, Gaijin, Mamndenyi, Black Woman, Preta, Dena Amsi, Lizzy, Afro d, MJ1... Hapa Itifaki haijazingatiwa so hakuna wa kwanza wala wa mwisho... Wasipokuwepo hao mie najitoa jf.. Mungu awape maisha marefu.

yaani umebaki wewe tu kunipa taarifa Sweetlady.....ubarikiwe....utakuja kesho nikupeleke?
 
AshaDii (always my sweet darling)
Sweetlady
Bebii
MJ1
Smile
Smiles
Cantalisia
Gaijin (mwalimu wangu)
FL1
Gaga
Chauro
Husninyo (.....)
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Dena
Afro Denzi (....)
....................................................................................................

ODM., Asprin, Klorokwin, TF, The Boss, Mbu, Uporoto, Fignig,Sizinga, VinDiesel, SMU, SteveDii, Chimungururu, funzadume, MR,Mr. Rocky,

(hapa list inaendelea)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom