Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Nilishawahi kusema hapa bila mpangilio wowote kama ifuatavyo:
- Afrodence-excelence ideology
- Ashadii-excelence mind, and quick responce kwa kila comment
- Husninyo-same as above
- Mwanakikjiji-anatumia ubongo kufikiri na wala sio masaburi
- MwanaJamiiOne-same as above
- Smile-huyu anagonga like kama hana akili nzuri vile
- Dena Amsi-sasa hivi anapoteapotea kiaina
- The Finest- Huyu mara nyingi anakeshaga bar,Fidel80 na The Boss
- Asprin-Huyu kaunta za juu za vilezi humkosi, nadhani ni paparazi huyu bwana
- Lizzy-nadhani huyu ni JF celebrity mwenye umri mdogo sana MMU
- Gaijin yuko same status na Eng Nsiande
- Rutashubanyuma-huyu bwana wa copy na paste, anatujuza mengi sana hapa jamvini
- Rejao-Mh huyu member mi mwenzenu simwelewi
- MziziMkavu-sounds like doctor, lakini yupo kiasili zaidi kama mganga wa kienyeji vile
- Sikonge na Waberoya-hawa mambwana hawa, we acha tu.
- Katavi-nilisema na ninasema, huyu bwana ana mwaka wa 3 humu jamvini, post zake hazizidi mistari 2, ni very short post
- Game Theory-He like CIA-haonekani siku hizi jamvini
- Mwita25-mwana mpotevu, kaongoka siku hizi
- .....
- .....
- ......
Thanx Sinziga nipo bana