Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,252
- 10,497
Ya kwako na uporoto ulimwalika nani?...
mmmh! Umesahau wakati wewe ndio ulikuwa mc.
Ya kwako na uporoto ulimwalika nani?...
Kadi yako nilimpa my sugar hubby wako hivi hukuipatahalafu ndoa ya mr rocky na mama tuli ilikuwa lini? Hata kualikana huo ubwabwa jamani!
Alilewa sana hakujua kama alikuwa mcmmmh! Umesahau wakati wewe ndio ulikuwa mc.
Wa kwangu kiasi ( list ni ndefu sana)
AshaDii ( I L......... U)
Mama Tuli ( my wife wangu)
Dena( jitangazie mwenyewe)
Smile (mhhhh naogopa kusema )
Sweetlady (TF namuogopa sana)
Bebii
MJ1
Cantalisia
Gaijin
Gaga
Chauro
Husninyo
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Afro Denzi
The Finest (PA pamoja sana viwanja kwa sana)
The Boss
Journe ( kwa mrombo lini aise)
Rejao (mzee wa jukwaa la stress)
Kloro (lawyer nina kesi unatakiwa unisimamie)
Asprin(Babu heshima mbele)
Funzadume( Mhhh naogopa kulitaja lile jukwaa maarufu)
Kibweka
Kibanga
Lizzy
Russian
Kaizer
Katavi
Mtambuzi
Mamndenyi
King'asti
Kimey
Fidel
Pj
Baba Enock
Teamo
Mzee wa Rula
Bishop Hiluka
Excellent (jukwaa la vichekesho)
MTM
Voice of reason
.................................list inaendelea
Kadi yako nilimpa my sugar hubby wako hivi hukuipata
Aise ana roho mbaya yule aliyekuja nae alikuwa nani kama sio wewe
Alilewa sana hakujua kama alikuwa mc
Kwenye muendelezo hapo muongezee Mr. Rocky mwenyewe!
Nimeipenda list yako..imegusa almost kila jukwaa..mpaka kwa Funzadume kule umepagusa.
Alikuja na mtu kamkumbatia vilivyo na mabusu mengi nikajua ni wewe. Ila sura nilipoangalia nikaona sio yenyewedah! Usiniambie kaja na ...... .... Unanipandisha presha rocky.
Alikuja na mtu kamkumbatia vilivyo na mabusu mengi nikajua ni wewe. Ila sura nilipoangalia nikaona sio yenyewe
Sweetie... this is so sweeeet of you.... This post has made up for all the MISSING YOU part i have been feeling lately....
BTW Naaamini kabisa thru this post una case na King'
Ndo maana nikaacha bila kumaliziaQUOTE=Dena Amsi;2824365]@ Mr. Rocky kusema mbele za watu ndo nini? Unataka kila mtu ajue mie ni small house na unajua Mama Tuli yupo hapa
halafu ndoa ya mr rocky na mama tuli ilikuwa lini? Hata kualikana huo ubwabwa jamani!
Ndo maana nikaacha bila kumalizia
Waseme wenyyewe ni nini
Duh taratibu basi bana
QUOTE=Dena Amsi;2825577]Ha ha mwee mie mwenyewe hoi nilistukia tu naletewa kadi ya inner party hata sijui ndoa ilifungwa lini na wapi? Asse... of GOD, KALZMATIC, KKT, ANGLICAN, RC kwa cardinal Pengo nk. Sikuelewa na wala sikuhudhuria asilani abadan
Nzuri wifi mzima wewe? Tupo tu
ahsante anti. Leo nalala nje kwa mara ya mwisho. Kesho nitarudi nyumbani. Lol.
Lol, thanx a lot mpendwa! Mie penda wewe sana(hope hapa utapaka rangi nyeusi)..
Pamoja sana Mr. Rocky!
Source: my lovely wifi wa ukwee' AshaDii.
Mwaaaah to her popote alipo.
We have made it up babe......