Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

Ninao dear ngoja nifanye promo


sister kikwetu mbuzi wa watu akililia kuingia ndani kwako huwa hafukuzwagi si unajua bwana? Haya uso wa kitabu huyo,fanya mambo niweke heshima kakayako.
 
REJAO my star in JF! leo kura yangu imeamkia kwako!
Hahaha..... kuna Rejao, Ritz, FaizaFoxy, omr na mzee.
Hawa kule jukwaa la mastress wakirusha maposti yao kuna watu wanatoa mapovu balaa.
Wakishatoa watu mapovu kule wanahania huku MMU kula kuku kwa mrija.
Mijamaa mijanja sana hii........ yaani mijanja kama Lowassa kulaaleki.
 
Hahaha..... kuna Rejao, Ritz, FaizaFoxy, omr na mzee.
Hawa kule jukwaa la mastress wakirusha maposti yao kuna watu wanatoa mapovu balaa.
Wakishatoa watu mapovu kule wanahania huku MMU kula kuku kwa mrija.
Mijamaa mijanja sana hii........ yaani mijanja kama Lowassa kulaaleki.
lol...babu...nilikuwa sina mudi yakucheka lakini imenibidi nicheke!
 
lol...babu...nilikuwa sina mudi yakucheka lakini imenibidi nicheke!
Hehehe... uafikiri sichunguliagi kule? Sema miye nna aleji na kule nikitaka kutaipu skriin inazimika. Mi nliumbwaje sijui.

Hivi hii ni posti ya ngapi? Nafanya mishemishe niposti kwenye posti ya 500. Atakayeniwahi ntamhamishia masaburi yake usoni.
 
Hehehe... uafikiri sichunguliagi kule? Sema miye nna aleji na kule nikitaka kutaipu skriin inazimika. Mi nliumbwaje sijui.

Hivi hii ni posti ya ngapi? Nafanya mishemishe niposti kwenye posti ya 500. Atakayeniwahi ntamhamishia masaburi yake usoni.
Kama unapenda stress kule ndio penyewe...kule watu wana misimamo ile mbaya!!
hapa bado tupo 392... mia tano sijui kama itafika..labda AshaDii na Kloro waje!
 
Kama unapenda stress kule ndio penyewe...kule watu wana misimamo ile mbaya!!
hapa bado tupo 392... mia tano sijui kama itafika..labda AshaDii na Kloro waje!

Babu shikamoo
Ugoro wako umemwagika
Rejao jukwaa la mastress linakusubiri bana huku hakukufai
 
Kama unapenda stress kule ndio penyewe...kule watu wana misimamo ile mbaya!!
hapa bado tupo 392... mia tano sijui kama itafika..labda AshaDii na Kloro waje!
Hahahah.... ADI yuko Martenity leave..... ndo matatizo ya mimba za mchana wakati mvua inanyesha, unaingia wodini wakati kuna misredi inawasubiri huku (chonde chonde usijemwambia, sipendi gombana na hommie wala shem wangu)Huyo kloro nimecheki naye kanambia bado buku mbili ili afikishe buku tano za kuingia kefu. Kule aliko umeme hamna, kuingia kefu inayotumia jenereta ni aghali kuliko Sukari kilo mbili.


Babu shikamoo
Ugoro wako umemwagika
Rejao jukwaa la mastress linakusubiri bana huku hakukufai
Hahahaha........ we hujamjua Rejao vizuri, ukimuona huku ujue kaja kutoa mastress, kule kamuacha swahiba yake ritz. Masress yakiisha anarejea kule kutoa mastress, ritz anakuja huku kupunguza mastress...... hii mijamaa mijanja sijapata kuona. Hata Lowassa haoni ndani kulaaleki!
 
Kama unapenda stress kule ndio penyewe...kule watu wana misimamo ile mbaya!!
hapa bado tupo 392... mia tano sijui kama itafika..labda AshaDii na Kloro waje!

Hahahah.... ADI yuko Martenity leave..... ndo matatizo ya mimba za mchana wakati mvua inanyesha, unaingia wodini wakati kuna misredi inawasubiri huku (chonde chonde usijemwambia, sipendi gombana na hommie wala shem wangu)Huyo kloro nimecheki naye kanambia bado buku mbili ili afikishe buku tano za kuingia kefu. Kule aliko umeme hamna, kuingia kefu inayotumia jenereta ni aghali kuliko Sukari kilo mbili.


Hahahaha........ we hujamjua Rejao vizuri, ukimuona huku ujue kaja kutoa mastress, kule kamuacha swahiba yake ritz. Masress yakiisha anarejea kule kutoa mastress, ritz anakuja huku kupunguza mastress...... hii mijamaa mijanja sijapata kuona. Hata Lowassa haoni ndani kulaaleki!


Buji buji kabisa nyie Source: Tusi la JF (lol)

Nimepita hapa Source: Mamndenyi

JF is never Boring Source: The Boss

Pamoja Saana Source: AshaDii

I love you guys...
Wooote mlopita humu na kunitaja,
naahidi nitasoma kila post nikipata mda Source: ME

Na logoff Source: Washawasha.
 
Babu shikamoo
Ugoro wako umemwagika
Rejao jukwaa la mastress linakusubiri bana huku hakukufai
kweli aisee...Ngoja nikachungulie kule nione kumekaaje!
but huku ndio penyewe... ni sehemu ya kupata tulizo!
 
Buji buji kabisa nyie Source: Tusi la JF (lol)

Nimepita hapa Source: Mamndenyi

JF is never Boring Source: The Boss

Pamoja Saana Source: AshaDii

I love you guys...
Wooote mlopita humu na kunitaja,
naahidi nitasoma kila post nikipata mda Source: ME

Na logoff Source: Washawasha.
Khee! Bujibuji lishakuwa tusi? Mi najua masaburi ndo limeshika kasi. haya nambie bujibuji ni tusi ya kutaja kiungo kipi cha mwili?
 
Khee! Bujibuji lishakuwa tusi? Mi najua masaburi ndo limeshika kasi. haya nambie bujibuji ni tusi ya kutaja kiungo kipi cha mwili?


Ndo ujue sipo comfy kutukana... I radher like the BjBj tusi....lol... Naona ni tusi la ku-apply character yake to another member.... Shem Mimba ile bana kumbe ilikua false alarm (tumepumzika kidogo saizi doing it sasa hivi ni atleast asubuhi na jioni tu mana the kids watosha)😛hoto:
 
Ndo ujue sipo comfy kutukana... I radher like the BjBj tusi....lol... Naona ni tusi la ku-apply character yake to another member.... Shem Mimba ile bana kumbe ilikua false alarm (tumepumzika kidogo saizi doing it sasa hivi ni atleast asubuhi na jioni tu mana the kids watosha)😛hoto:
Natamani kujua hilo tusi ni la kutusi nini LOL ODM haiwezekani nipitwe namna hii.
 
Back
Top Bottom