Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

The boss ndani,camaradiere ndani,nyani n. ndani,consigliere ndani, mwanakijiji ndani
Duh na mimi unanijumuisha humu? Then katika uliowataja wote ni namba hatari nahisi kama umekosea fulani hii...lol? Thanks anyway (kama hukukosea)
 
Duh na mimi unanijumuisha humu? Then katika uliowataja wote ni namba hatari nahisi kama umekosea fulani hii...lol? Thanks anyway (kama hukukosea)

hujiamini?...upo ndani ya nyumba bana..but kuna ishu inabidi unipe majibu fasta!
 
Nilishawahi kusema hapa bila mpangilio wowote kama ifuatavyo:
  1. Afrodence-excelence ideology
  2. Ashadii-excelence mind, and quick responce kwa kila comment
  3. Husninyo-same as above
  4. Mwanakikjiji-anatumia ubongo kufikiri na wala sio masaburi
  5. MwanaJamiiOne-same as above
  6. Smile-huyu anagonga like kama hana akili nzuri vile
  7. Dena Amsi-sasa hivi anapoteapotea kiaina
  8. The Finest- Huyu mara nyingi anakeshaga bar,Fidel80 na The Boss
  9. Asprin-Huyu kaunta za juu za vilezi humkosi, nadhani ni paparazi huyu bwana
  10. Lizzy-nadhani huyu ni JF celebrity mwenye umri mdogo sana MMU
  11. Gaijin yuko same status na Eng Nsiande
  12. Rutashubanyuma-huyu bwana wa copy na paste, anatujuza mengi sana hapa jamvini
  13. Rejao-Mh huyu member mi mwenzenu simwelewi
  14. MziziMkavu-sounds like doctor, lakini yupo kiasili zaidi kama mganga wa kienyeji vile
  15. Sikonge na Waberoya-hawa mambwana hawa, we acha tu.
  16. Katavi-nilisema na ninasema, huyu bwana ana mwaka wa 3 humu jamvini, post zake hazizidi mistari 2, ni very short post
  17. Game Theory-He like CIA-haonekani siku hizi jamvini
  18. Mwita25-mwana mpotevu, kaongoka siku hizi
  19. .....
  20. .....
  21. ......
2q1iefq.gif

2i9m911.jpg

jidhjp.gif
Asante mkuu mimi si Mganga wa kienyeji mimi ni Mtaalam na Mchunguzi wa Utafiti wa Madawa ya Asili Mitishamba au kwa lugah ya Kiingereza tunaweza kusema ( Herbalist) Mimi nimekuchagua wewe Sizinga kuwa Super Star kwenye jukwa ninalolipenda la (Tech, Gadgets & Science Forum) kwa Maujanja yako wewe. na Mtu wa pili ninaweza kumuita Super Star ni Dr Riwa kwa ule upande wa J.F Doctor kwa kuwajibu watu vizuri. asante nawasilisha .
 
Lol..huu uzi ulinipitia kushoto..kumbe huwa sielewekagi?
Thanx Sizinga kwa maoni yako. Am in!
mimi ninamsaidia Mkuu Sizinga Mkuu Rejao kama ulivyo kuwa kwenye Picha yako ya Avatar na ndio hivyo hivyo ulivyo ndani ya hi Jamii forums ikiwa kama nitakuudhi unisamehe........
 
hujiamini?...upo ndani ya nyumba bana..but kuna ishu inabidi unipe majibu fasta!
Hahaaa mimi najiamini, lakini kujiamini kwangu ni katika niyatendayo, ila kuhusu mitazamo ya watu juu yangu hilo huwa sijishughulishi nalo huwa najiona nipo mwenyewe mwenyewe tu nikfanya mambo kwa ajili ya jamii bila kutambulika hivyo nikiwa mentioned huwa nakuwa stunned some how.
Kuhusu ile issue mkuu ndiyo kama vile, kwa mtazamo wangu naona unajifanyishaga tu...
 
Asante mkuu mimi si Mganga wa kienyeji mimi ni Mtaalam na Mchunguzi wa Utafiti wa Madawa ya Asili Mitishamba au kwa lugah ya Kiingereza tunaweza kusema ( Herbalist) Mimi nimekuchagua wewe Sizinga kuwa Super Star kwenye jukwa ninalolipenda la (Tech, Gadgets & Science Forum) kwa Maujanja yako wewe. na Mtu wa pili ninaweza kumuita Super Star ni Dr Riwa kwa ule upande wa J.F Doctor kwa kuwajibu watu vizuri. asante nawasilisha .

Hahaaa...haya bana, tuko pamoja!! Nisha-upload namba 4 kule!!
 
Mie ndo kwanza nina wiki, atanijua nani humu........
Mie nimekuchagua wewe, wewe Zinduna wa wiki moja,nimeona warembo wengi Zinduna wee,lakini moyo umependa wewe, ah ni wewe Zinduna wangu...source Jagwa Music vol 2. Nalog off
 
Jamani Kaizer, do not disturb me kuanzia sasa.
Malipo yako nikutumie kwa Mpesa? Au kama una Usd account pse niPM, kesho nikutumie kwa kumrudisha mtu huyu

Ebu cheki PM, nimekutumia namaba ya MPesa man.....
 
Habari zenu, mie mgeni hapa jamvini. Nawasalimu tu.
 
Wakaka/Wababa: Katavi, Uporoto, Fidel, The Finest, Klorokwini, Asprin, MTM, The Boss, Kaizer, Pakajimmy, Crashwise, Rejao, Mr. Rocky, Mbu, Mwanakijiji, Chatu dume, BAK...


Wadada/ Wamama: AshaDii, King'asti, Husninyo, bht, Gaijin, Mamndenyi, Black Woman, Preta, Dena Amsi, Lizzy, Afro d, MJ1... Hapa Itifaki haijazingatiwa so hakuna wa kwanza wala wa mwisho... Wasipokuwepo hao mie najitoa jf.. Mungu awape maisha marefu.

for sure you are my sweetlady.
 
Mke mwenza, hela za mirathi za babu zishatoka? Ama majina ya nini haya wakatio uchaguzi bado?
Wakaka/Wababa: Katavi, Uporoto, Fidel, The Finest, Klorokwini, Asprin, MTM, The Boss, Kaizer, Pakajimmy, Crashwise, Rejao, Mr. Rocky, Mbu, Mwanakijiji, Chatu dume, BAK...


Wadada/ Wamama: AshaDii, King'asti, Husninyo, bht, Gaijin, Mamndenyi, Black Woman, Preta, Dena Amsi, Lizzy, Afro d, MJ1... Hapa Itifaki haijazingatiwa so hakuna wa kwanza wala wa mwisho... Wasipokuwepo hao mie najitoa jf.. Mungu awape maisha marefu.
 
Back
Top Bottom