Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

Looh! Sijui nimewaachaje washawasha a.k.a nalog off na figganigga a.k.a mia.

mimi hujaniacha. huoni nilivyo kundandia kwa nyuma?. sweetlady wewe ni star kuliko hata X-GIRLFRIEND. Lakini na yeye wamo iwapo hawavumi. Mia
 
mimi hujaniacha. huoni nilivyo kundandia kwa nyuma?. sweetlady wewe ni star kuliko hata X-GIRLFRIEND. Lakini na yeye wamo iwapo hawavumi. Mia
Hahaha! Sante figganigga and nafurahi kusikia kuwa sijakuacha..mia.
 
kuna watu hapa jf wanamajina makubwa kwa umaarufu wao hapa jf hasa ktk michamgo yao.mimi hawa watu ningependa kuwaita masuper star wa jf! Kwangu mm wapo wengi kama The boss, klorokwin, nyani ngabu,asha d,husninyo,afrodanz na wengine wengi.... Endelea na wewe....

You are the one
 
Duh! kweli nimepoteza umaarufu yaani jina langu nimelitafuta mpaka nakuja kuliona page # 6 tena nimekumbukwa na shemeji langu,asante mrembo
Usijali my lovely shemeji, umaarufu haujapotea kabisa, labda mimi nisiwepo jf, hakuna asiyejua kuwa wewe ni supa star wetu hapa jf. Ila shemu unapotea sana bana mbaya zaidi hata huagi, ntakununia ujue shemu?...lol... Mie penda wewe sana muulize hata wife wako husninyo..
 
Huo uzi umebamba wengi...mi huwa sikuelewaagi...siku nyingine tuko pamoja siku nyingine upo kivyako, yani ilimradi tu hueleweki.

Hahaha...najua tunapotofautiana! Tupo pamoja lakini!!
 
AshaDii (always my sweet darling)
Sweetlady
Bebii
MJ1
Smile
Smiles
Cantalisia
Gaijin (mwalimu wangu)
FL1
Gaga
Chauro
Husninyo (.....)
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Dena
Afro Denzi (....)
....................................................................................................

ODM., Asprin, Klorokwin, TF, The Boss, Mbu, Uporoto, Fignig,Sizinga, VinDiesel, SMU, SteveDii, Chimungururu, funzadume, MR,Mr. Rocky,

(hapa list inaendelea)
Asante sana my big Shem lol!
Umeifanya wikiend yangu iwe byeeeeee!
Plz mwambie my big sisy hapo pembeni yako nampa hi yakutosha!
 
AshaDii (always my sweet darling)
Sweetlady
Bebii
MJ1
Smile
Smiles
Cantalisia
Gaijin (mwalimu wangu)
FL1
Gaga
Chauro
Husninyo (.....)
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Dena
Afro Denzi (....)
....................................................................................................

ODM., Asprin, Klorokwin, TF, The Boss, Mbu, Uporoto, Fignig,Sizinga, VinDiesel, SMU, SteveDii, Chimungururu, funzadume, MR,Mr. Rocky,

(hapa list inaendelea)
Hommie, name calling ni kinyume na taratibu za JF jukwaa la chit chat. Lakini kwakuwa umenipa maujiko, utanidai bia mbili. Mwambie Sauda akupe ntamletea hela yake jioni.
 
Dah kumbe mi bado ni underground..!! Ila poa tu smday i'll make it....
 
Back
Top Bottom