Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Hivi Ben Saanane yuko wapi? au kazi yake ilishakwisha? maana hiki kitimtim?.....wapi mwana Intelijensia wa Magwanda Ben?! kuna mtu alisema huku ..mkisha baini kama Ben anafanya kazi kwa niaba ya nani..then it will be too late!
Obsession.....
 
Shida zote hizi,kuua watu na kutesa,kuumiza wengine hata kwa kuwatesa kiakili na kifikra,kuumiza
nafsi za watanzania kwa kusikia habari mbay,yoooote haya chimbuko lake ni uraisi 2015.
Ni heri Mungu aingilie kati achukue maisha ya wote wanaopanga mipango hii michafu kwa ajili ya uroho
wa madaraka na kulinda ufisadi ambao tayari walishatutendea watanzania. Ameeeen'

Kweli kabisa mkuu, yeyote anayependa maendeleo ya nchi hii hawezi kufanya mbinu za ku kidhoofisha au kukiua chama kikuu cha upinzani kwa sababu matakeo ya upinzani uliokomaa ni kufanya chama tawala kiwe more responsible na kuwe na ongezeko la accountability kwa viongozi wa pande zote mbili-watalio madarakani na wapinzani...hii ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.

Ukiona mtu anapinga upinzani kwa njia za kish*nzi, uongo, majungu na kigaidi gaidi hivi basi huyo ana uchu wa madaraka na power ambavyo atavitafuta at any coast na hajali hali ya wananchi.
 
Oh! kaka kumbe bado upo? pole kwa kazi..naona uko bize sana 'kunusuru' chama kwenye hiki kinyesi.
Kinyesi kimenyewa na CCM wakajitahidi kuipaka Chadema; sasa wamegundua kinawanukia wako bize kunya kinyesi kingine
 
Humu kuna watu wamejitoa akili mpaka wanakela sijui wapo dunia gani!

Hivi haya matatizo kwa wananchi hawayaoni? Nchi inakaa gizani wk,miezi huduma kibao za jamii zimekufa,bidhaa zinapanda huku kipato cha mwananchi kikishuka!! Yote haya yakisababishwa na CCM lakini bado watu wanashabikia hawataki kabisa ukombozi wanabaki kutetea propaganda hizi za kuchelewesha ukombozi!!

Amin amian nawaambia ukombozi umefika hata mtoke vipi povu hata mlete video ya Slaa hamtaweza kuzuia vuguvugu hizi! Kwa taarifa yenu jinsi tulivyowachoka nyinyi ccm hata mlete real video sisi wananchi hatutawaamini maana mikono yenu imejaa damu!

CHADEMA ndiyo key ya ukombozi no matter what...!
Wanajua wanachokifanya mkuu,wapo member humu JF wanajua sana kujenga hoja lakini mwisho unakuta anaanza kutetea magamba.Hawa hawana uchungu na nchi hii na wanaiona CCM kama daraja lao kuelekea kwenye ufisadi, wanayaona matatizo ya nchi hii yanaweza kuzungumzwa sawa na utani wa simba na yanga.
 
Leo tu mmeanza kukosa cha kushabikia kama mlivyokuwa mnashabikia juzi, tuliwaambia hii ni era ya technologia hamuwezi kujificha stering aliyeko JKT ataaibika soon.

mkuu huyu jamà hajari kuaibika lengo hapa ni kukinusuru chama chake kama ni aibu aliyoipata kwenye yale mauwaji ya jimboni kwake yakihusisha mkutano wa mnyika angeacha usene huu lakini ndiyo kwanza anazidisha kasi hasa ukizingatia polisi hawana la kumfanya
 
mkuu huyu jamÃ- hajari kuaibika lengo hapa ni kukinusuru chama chake kama ni aibu aliyoipata kwenye yale mauwaji ya jimboni kwake yakihusisha mkutano wa mnyika angeacha usene huu lakini ndiyo kwanza anazidisha kasi hasa ukizingatia polisi hawana la kumfanya

Ni Mungu mwenyewe anayeshughulika nao hao manyang'au wa ccm. Kila wanachopanga na kutekeleza kina back fire!
 
Hii ni commedi nyingne ya kuhusianisha matukio
 
Naona maCCM wameanza kupungua kwenye thread za Lwakatare.
 
Naona maCCM wameanza kupungua kwenye thread za Lwakatare.

Kwanini wasikimbie ikiwa uwongo wao umekuwa ukibainishwa kadri wanavyoutengeneza.
Hii movie ya bukoba boy maccm yaliamini kwamba yataitumia kuimaliza Chadema lakini contrary na matarajio yao ime back fire vibaya na hawana pa kuficha sura zao.
Wajipange tu walete sinema nyingine kwakuwa hii tumeshaimaliza kilichobaki ni behind the scene!
 
Mimi sio mpelelezi lakini kwa hili nataka maelezo. mtuhumiwa alisema polisi wa kigogo walimpa gari arudi nalo kwa mjengwa alipo fikia, mjengwa anasema mtuhumiwa kaletwa na taxsi. naomba ufafanuzi. mia

figganigga sijui kama wewe ni mkaazi wa DAR. Kama ni mkaazi wa DAR basi utakuwa unafahamu vizuri kwamba hata ukivamiwa na majambazi ukapiga simu kituo cho chote cha Policcm, utaambiwa hawana gari wakati huo la kuwaleta katika tukio na si ajabu wakakuomba uwapelekee gari ili waje kukusaidia!!!! Watu wengine mnajifanya hamuishi Bongo au ni kweli wengi wenu mnaandika kutokea ughaibuni ambako wengine mmeishi zaidi ya miaka kumi bila kurejea nyumbani kusalimia. Sidhani kama Policcm Kigogo wanalo hata gari moja!
 
Mkuu tupo pamoja..hilo jina Linatajwa kwa Kibanda na kwa Rwakatale...Mda sio mrefu tutajua nani star wa picha zote mbili maana zinakwenda sambamba.

.
Ukiunganisha dot hapa, ukamataji wa Rwekatare bila kuzingatia professionalism. Gesh la poiish ni wamoja wao wa wacheza clip na utekaji Kibanda.
.
 
Kwani alishindwa kuvituma mpaka akuletee, kuna kitu alikuwa anakimbia Dar na ww Majjid inabidi uhojiwe.
Utata mwingine hapo kwenye bold, mbona tuliambiwa alipewa gari la polisi, hii teksi inaingiaje? au polisi nao walimwacha sehemu. Jamani muwe mnajipanga vizuri kwenye hizi movie zenu vinginevyo hamuwezi kumdanganya hata mtoto mdogo.

Aisee ndg yng Kapotolo(ID name) safi sana, nachelea kuamini bila ya kushawishiwa na yeyote kuwa Majjid Mjengwa (kama sijakosea jina) nae akaisaidie police, pia kama alienda na taxi mbona hakuna sehemu hata moja inayosema alichajiwa kiasi gani na nani alilipa hizo pesa? Jamani kweli ni rahisi ukiwa umelala hotelini afu aje mlinzi kukugongea saa 10 za usiku akuambie tu kuna ndg yako yuko nje uchi kavamiwa na majambazi, bila ya kumuuliza anaitwa nani, wewe unatoka tu!
 
hivi wale waliomuua mwangosi walishahukumiwa?? mbona ccm wanapenda sana kujitoa ufahamu??
 
Acha ujinga kwani huko iringa umeambiwa ndo mara yake ya kwanza kwenda? Hujui umuhimu wa hivyo vitabu kwao usilopoke tu. Kwani kujificha si angeweza potea tu asijulikane alipo?
Pili, nani alikwambia polisi hawawezi kukodi taksi kumpeleka au kumrudisha mahala mtu waliyenaye?

Wewe ndo unaonekana mjinga, maelezo ya awali yanasema akapelekwa na gari ya polisi na sio taxi, toka lini taxi ikawa ndo gari ya polisi? Pia kwa nini huyu Ludovick asiwaambie Polisi alikokuwa anakwenda(namaanisha nyumbani kwa Ludovick) pindi ameachana na Mjengwa pale Shekilango lakini akawaambia wampeleke hotelini alikofikia Mjengwa???
 
Naweza kutabiri kitakachofuata, Kijana Ludovick ndie atakayetumika kuhalalisha matamshi ya Lwakatare katika ile Clip, nahisi atasema ni kweli Lwakatare aliniagiza kufanya hayo kwa kuwa target ni Lwakatare na CDM. Muhimu ni ludovic kufahamika kwa undani zaidi. Hii itatupatia malengo yaliyopo nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom