Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

My Thinking;

Watanzania tumejiandaa kuchezewa filkamu nyingine hapa.Kuweni makini.Filamu hii ina wahusika wafuatao;

1.Usalama wa Taifa
2.CCM
3.Manyerere Jackton
4.Joseph Ludovick
5.Maggid Mjengwa kama rafiki wa Joseph,Joseph anasemekana kuwa Cordinator wa Mjengwa blog
6.Wilfred Lwakatare
7.Hugochavez a.k.a Bukoba Boy

Mkuu uko sahihi sana,inawezekana kabisa wanaacha clue ili wafutiliwe. Pia polisi hawajawa na uzalendo huo wa kukamata ki dhati isipokuwa waamrishwe.

Hata hii video huyo mzungumzaji anaonekana anaangalia kushoto na kulia akikwepa direct eye contact na camera,maswala ya kujiuliza:

1, camera ilishikwa ama iliwekwa wapi asiione.
2, Kama kuna mtu aliificha kwenye kifumgo cha shati au peni ilikuwaje huyo mtu asimtazame wakati wa mazungumzo yao.

Upo uwezekano mkubwa hili jambo limepangwa na yote yanayotokea hakuna haja ya kuyashangilia kwa sasa. wapo wanaoshangilia ili kuzidi kupotosha, usia ulioutoa kwa viongozi wa chama cha chadema uzingatiwe.
 
mkuu, hii ishu wala haijakaa kisisiem. ni tukio la kweli na kwa vile Lwakatare ameshikiliwa kwa muda wa siku mbili sasa ni wazi kuwa amewaeleza ukweli polisi. pia kumbukeni amepekuliwa mara mbili nyumbani kwake. ukiona polisi wanakupekua ujue kuna kitu wanakitafuta ambacho kimo ndani. kumbukeni hawa jamaa wa polisi wanajua kazi zao ipasavyo na ndiyo maana walifanikiwa kupata funguo ya gari kwenye shimo la maji taka kule mwanza. we acha tu polisi. utawadharau na kuwatukana ukiwa mbali. lakini wakikunasa hutoki

wewe ni nani IGP,RPC,OCD,OCS au koplo au mgambo wa jiji au green guard......mbona unawasifia sana hao chinja chinja ambao kwa mambo wanayofanya nchi hii nimetokea kuwachukia hata ndugu zangu walioko huko
 
veni, vidi.... I left....,

Ngoja tuone kesho italeta nini.
 
Yaani ndani ya wiki mbili ukifuatilia mpangilio wa matukio,coverage za media na michango ya baadhi ya watu humu Jf tena wengi wao wakiwa si wachangiaji prominent,wanaoonekana kuja kudictate mijadala humu ndani,utapata picha fulani hivi!hakuna siasa Tanzania,kuna uhuni tu!sipendi kudanganywa.serikali acheni movies zenu za kijinga!wenye akili mnatuboa bwana.mnaijaza Jf na upuuzi tu usiomsaidia chochote mtanzania maskini!mss!tuachieni Jf yetu bhana!
 
wewe ni nani IGP,RPC,OCD,OCS au koplo au mgambo wa jiji au green guard......mbona unawasifia sana hao chinja chinja ambao kwa mambo wanayofanya nchi hii nimetokea kuwachukia hata ndugu zangu walioko huko

polisi duniani kote hawapendwi kama wanafanya kazi zao vizuri. ukiona wanasifiwa na watu kama wewe ujue hapo mambo yanaweza kuharibika muda wowote. ndiyo maana hata Dr Slaa hawezi kusifia jeshi la polisi wala Idara ya Usalama wa Taifa kwani vyombo hivyo vimekuwa ni kikwazo kwake kutekeleza mipango yake ya kifedhuli
 
ukifungua page ya joseph ludovick kwenye facebook anasema alitekwa na majambazi siku ya tukio la kupigwa kibanda na majambazi ila hawakumpiga zaidi ya kumvua nguo na kuchukua vitu alivyokuwa navyo kama flash disk, laptop na pesa elfu 35. Inabidi tuconnect dots hapa. Kuna uwezekano flash disk na laptop ndo ali-save hiyo clip na recordings nyingine. Ishu inaweza kuwa kweli na kumbuka jamaa wangeipeleka polisi wasingepata hela hivyo kunauwezekano kuipeleka ccm ndo waliona jamaa watatoa hela.
Ukimsikiliza dr slaa anasema walishapata habari kwamba kitu kama hicho kitatokea na walikuwa wanajiandaa jinsi ya kudeal nayo
mimi cdm ila tuangalie mlolongo wa matukio hapo na hakuna lisilowezekana
inawezekana lwakatare alifanya kweli pengine kuwalizisha wakubwa, na theories nyingine tu hapo

​hujaulizwa itikadi yako kijana, acha kuweweseka!
 
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.

hata wewe ni haramia uliyestahili kuozea jela makala ulizoandikaga kumtukana na kumchafua salim huku ukijiita patric lyasembe hatujasahau bado usijifanye kumtegemea mungu hapa nyie na wapambe wenu mnajua wapi mnaipeleka tanzania umetumika sana na mtandao naona bado mnahangaika nao ni heri kutangaza jina la yesu kuliko upuuzi mnaofanya wewe Manyerere Jackton mungu hatakusamehe kwa dhambi uliyomtendea salim go to hell
 
Last edited by a moderator:
Yaani ndani ya wiki mbili ukifuatilia mpangilio wa matukio,coverage za media na michango ya baadhi ya watu humu Jf tena wengi wao wakiwa si wachangiaji prominent,wanaoonekana kuja kudictate mijadala humu ndani,utapata picha fulani hivi!hakuna siasa Tanzania,kuna uhuni tu!sipendi kudanganywa.serikali acheni movies zenu za kijinga!wenye akili mnatuboa bwana.mnaijaza Jf na upuuzi tu usiomsaidia chochote mtanzania maskini!mss!tuachieni Jf yetu bhana!

JF ni ya mimi, wewe, yule, hawa, wale na kila mmoja. mtu anaweza kujiunga leo lakini akawa mchangiaji mzuri kweli kuliko wewe wa siku nyingi. Mbona Bukoba Boy kaanzisha blog yake na kaweka video moja tu na watu mnashindwa kulala na wengine wananyea debe
 
Usijifanye mbuni bana we msukuma/mnyamwezi wa wapi mgumu kuelewa kiasi hiki?
Au umetumwa na chama...??
Siwezi kutumwa na chama chochote kile cha siasa cha Tanzania na sitegemei katika maisha yangu kutegemea siasa kimaisha. Fortunate, maisha yangu huku niliko yako tambarale kwangu na wanangu. Huwezi kuniona kwenye uchafu wa viongozi wa matawi ya chama UK wanaotegemea ni njia ya kuondokea kwenda Tanzania.
 
hao wananchi unaowasema ni akina nani? ni pamoja na mimi? mie sipo na wewe wala na chadema chenu. wauaji wakubwa nyie. hamna hata dhambi. ndiyo maana upadre umewashinda. loooo aibuuuuu

hizi ni kauli za watu walioshindwa kutumia rasilimali tulizo nazo kutuletea maendeleo.
Fikra na kauli za namna hii ndizo zilizojaa kwa viongozi wa nchi hii hata wanashindwa kujua kwa nini Tanzania ni masikini mpaka sasa.
Ndio ya viongozi walioamua kuua kwa makusudi mfumo wa elimu yetu, na baadae kuunda tume kuchunguza chanzo cha anguko la elimu!
​KWAKUWA NA WW NI MMOJA WAO SISHANGAZWI NA KAULI YAKO!
 
wewe ni nani IGP,RPC,OCD,OCS au koplo au mgambo wa jiji au green guard......mbona unawasifia sana hao chinja chinja ambao kwa mambo wanayofanya nchi hii nimetokea kuwachukia hata ndugu zangu walioko huko

Atongwele ni boya tu huyo hana mpya yeye kila mara anaandika pumba tu ona anawasifia policcm kwa sababu wafanya ujinga yeye anaona wanafanya kazi,kupekuliwa mtu ameona ni issue utakuta ni mnyalu tu ndio maana mshamba hivyo poor you kikaragosi cha ccm
 
Humu kuna watu wamejitoa akili mpaka wanakela sijui wapo dunia gani!

Hivi haya matatizo kwa wananchi hawayaoni? Nchi inakaa gizani wk,miezi huduma kibao za jamii zimekufa,bidhaa zinapanda huku kipato cha mwananchi kikishuka!! Yote haya yakisababishwa na CCM lakini bado watu wanashabikia hawataki kabisa ukombozi wanabaki kutetea propaganda hizi za kuchelewesha ukombozi!!

Amin amian nawaambia ukombozi umefika hata mtoke vipi povu hata mlete video ya Slaa hamtaweza kuzuia vuguvugu hizi! Kwa taarifa yenu jinsi tulivyowachoka nyinyi ccm hata mlete real video sisi wananchi hatutawaamini maana mikono yenu imejaa damu!

CHADEMA ndiyo key ya ukombozi no matter what...!
 
sasa mtuhumiwa ni Lwakatale au ludovic ? Au wote wako kundi moja ? Maana MANYERERE siyo chanzo ninachokiamini sana !
 
Siwezi kutumwa na chama chochote kile cha siasa cha Tanzania na sitegemei katika maisha yangu kutegemea siasa kimaisha. Fortunate, maisha yangu huku niliko yako tambarale kwangu na wanangu. Huwezi kuniona kwenye uchafu wa viongozi wa matawi ya chama UK wanaotegemea ni njia ya kuondokea kwenda Tanzania.

Mkuu propaganda kwenye maslahi ya nchi hazifai!!

Huna nia ya kusaidia nchi yako kupitia maandiko yako hapa JF zaidi ya chuki tu dhidi ya CDM utafikiri mke mwenza!

Kumbuka hata uwape nini watoto wako mwisho watakutana na Tanzania hii hii chafu!
 
polisi duniani kote hawapendwi kama wanafanya kazi zao vizuri. ukiona wanasifiwa na watu kama wewe ujue hapo mambo yanaweza kuharibika muda wowote. ndiyo maana hata Dr Slaa hawezi kusifia jeshi la polisi wala Idara ya Usalama wa Taifa kwani vyombo hivyo vimekuwa ni kikwazo kwake kutekeleza mipango yake ya kifedhuli
vip kuhusu Ramadhani Igondhu,kale katusi ka ishu ya mwangosi, vp Zoka kufanya siasa kinyume na sheria za nchi na hata mikataba mbalimbali ya kimataifa......acha njaa bwana mdogo kushabikia miungu wa baali....na nakuhakikishia hila litawaishia vibaya sana CCM
 
Humu kuna watu wamejitoa akili mpaka wanakela sijui wapo dunia gani! Hivi haya matatizo kwa wananchi hawayaoni? Nchi inakaa gizani wk,miezi huduma kibao za jamii zimekufa,bidhaa zinapanda huku kipato cha mwananchi kikishuka!! Yote haya yakisababishwa na CCM lakini bado watu wanashabikia hawataki kabisa ukombozi wanabaki kutetea propaganda hizi za kuchelewesha ukombozi!! Amin amian nawaambia ukombozi umefika hata mtoke vipi povu hata mlete video ya Slaa hamtaweza kuzuia vuguvugu hizi! Kwa taarifa yenu jinsi tulivyowachoka nyinyi ccm hata mlete real video sisi wananchi hatutawaamini maana mikono yenu imejaa damu! CHADEMA ndiyo key ya ukombozi no matter what...!
Naona hekima za hali ya juu sana ktk hili bandiko lako na mi nasema kama jamaa mmoja aliyewahi kuandika hapa kwamba niakuwa cdm siku zote hata ikigeuka kuwa bendi ya taarabu nitakuwa mnenguji sio kuishabikia CCM iliyosababisha matatizo makubwa sana kwetu
 
Back
Top Bottom