kwenye clip ya video ya lwakatare:
15:59 ...sauti inasika ikisema unamuweka kwenye dilemma hajui adui ni nani yaani anakuja hapa anakukuta wewe LUDOVICK ndiye unamfatilia...huyu Ludovick ni nani?( some dots needs to be collected and connected here ) yawezekana ni mmoja wa vijana waliokuwa wanajirekodi na hili ni jina lake halisi na wametajana pasi kujua au ni code name?..
17:10 kijana anayepewa maelekezo (Ludovick) anauliza kwa hiyo kama kila kitu kitaenda well inakwenda mpaka lini? lakini katika kujibu clip inayomuonyesha lwakatarea akijibu swali hilo akisema Bahati mbaya umekuja na majibu yasiyojitosheleza ....katika majibu haya kuna mkanganyiko mkubwa maana hakuna uhusiano wa swali lililoulizwa na jibu lililotolewa....tangu dakika ya 15 ya clip hii maelezo ya sauti zinazosikika hayana mpangilio wa manaa... mengi yalilenga kufuatisha ishara na vitendo vya lwakatare alivyokuwa akiongea na ukitizama kwa makini hakuna uhusiano kati ya maneno yenyewe na mdomo wa lwakatare.............