andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,028
Mi siamini kama huyu dogo alihusika kuandaa video hii. Maana sipati mankiki kuwa muandaaji akubali jina lake, na sauti yake halisi vibaki recognisable kwenye dili chafu kama hii, tena mtu mwenyewe graduate!!!
Angekuwa amehusika lazima angefanya editing kuhakikisha identities zake hazibaki kwenye hiyo video
Otherwise ametumiwa na makachero, ili kwa kutambuliwa kwake aende 'akiri' uongo mahakamani kuwa kweli Lwakatare alikuwa namuagiza kufanya uovu, ili aitie CDM hatiani...
So far, hiyo ndio plan yenyewe, baadae ludo ataachiwa.