UPIU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 602
- 111
Oh! kaka kumbe bado upo?
pole kwa kazi..naona uko bize sana 'kunusuru' chama kwenye hiki
kinyesi.
Mkuu hamna wa kuinusuru watu wanaoaminiwa ndani ya Chadema ndio wasaliti
Oh! kaka kumbe bado upo?
pole kwa kazi..naona uko bize sana 'kunusuru' chama kwenye hiki
kinyesi.
Huo ndio ukweli. Jamaa ni usalama wa taifa tena amesomea kuleta mitafaruku ndani ya vyama vya upinzani. Alivyoleta maswala ya masalia kulikuwa na tuhuma za yeye kumwekea zitto sumu, umemsikia akikanusha? Alichofanya ni kuwaonyesha kina mbowe kuwa zitto mbaya lakini hapohapo kumwonyesha zitto kwamba atauawa kwa sumu na upande mwingine. Kama chadema mnajua mambo ya inteligensia, huyu jamaa upigeni marufuku kabisa kujihusisha na chama na kuwapiga marufuku viongozi wa chama kujihusisha naeHivi Ben Saanane yuko wapi? au kazi yake ilishakwisha? maana hiki kitimtim?.....wapi mwana Intelijensia wa Magwanda Ben?! kuna mtu alisema huku ..mkisha baini kama Ben anafanya kazi kwa niaba ya nani..then it will be too late!
Haya angalieni msije mkavua nyangumi la bahari kuu maana naona wavuvi wanasogea sogea tu Magogoni...Pataumbuka mzazi wake Liz halafu Policcm waanze kujuta na kulala makaburini maana ndo mnakoelekea huko kwasababu kuna thread hapa inaonyesha akina salva wanapongezana huko magogoni sijui kama wanaelewa mawimbi haya ya udhalimu kama yatashindwa kumlowanisha Baba Liz...Taratibu jamani nyie polisi msiwachezee CDM kirahisi hivyoVyombo hivyo vya usalama vifanye kazi kwa weledi ili ukweli ujulikane.
Hata hivyo, katika hili lililomtokea, siwezi hapa kumtetea wala kumtia hatiani. Maana, naye ni binadamu kama wengine, siwezi kusema kuwa ninamfahamu sana. Kwa vile yuko mikononi mwa vyombo vya usalama , nina imani, kuwa vyombo hivyo vitafanya kazi yake ili kutusaidia katika kupata ukweli wa jambo zima.
Na kama ni kweli kwa namna yoyote ile itathibitishwa kuwa ameshiriki njama za kupanga mikakati hiyo ya kigaidi, basi, ahukumiwe kwa dhambi hiyo.
Ni mimi:
MAGID MJENGWA
Credit: mjengwablog
KIJANA ALIYEANDAA VIDEO YA LWAKARE NAYE AMEKAMATWA - MPEKUZI
bado hujamjua?? wenye akili zetu tumemtambua zamani.ngoja 2one maana hii move inaelekea kumpata director aliyeiandaa mwisho wa siku staring aliyecheza atakuwa hewani,karibun hollywood!
Nilisikia Mjengwa naye ni kibaraka, sijui kuna ukweli?
Mi siamini kama huyu dogo alihusika kuandaa video hii. Maana sipati mankiki kuwa muandaaji akubali jina lake, na sauti yake halisi vibaki recognisable kwenye dili chafu kama hii, tena mtu mwenyewe graduate!!!
Angekuwa amehusika lazima angefanya editing kuhakikisha identities zake hazibaki kwenye hiyo video
Otherwise ametumiwa na makachero, ili kwa kutambuliwa kwake aende 'akiri' uongo mahakamani kuwa kweli Lwakatare alikuwa namuagiza kufanya uovu, ili aitie CDM hatiani...
Kwani alishindwa kuvituma mpaka akuletee, kuna kitu alikuwa anakimbia Dar na ww Majjid inabidi uhojiwe.
Utata mwingine hapo kwenye bold, mbona tuliambiwa alipewa gari la polisi, hii teksi inaingiaje? au polisi nao walimwacha sehemu. Jamani muwe mnajipanga vizuri kwenye hizi movie zenu vinginevyo hamuwezi kumdanganya hata mtoto mdogo.
Hiyo inaleta mantiki kwako, lakini kumbuka hawa jamaa wakati wanaandaa hawakujua kama mission impossible yao itagundulika.Mi siamini kama huyu dogo alihusika kuandaa video hii. Maana sipati mankiki kuwa muandaaji akubali jina lake, na sauti yake halisi vibaki recognisable kwenye dili chafu kama hii, tena mtu mwenyewe graduate!!!
Angekuwa amehusika lazima angefanya editing kuhakikisha identities zake hazibaki kwenye hiyo video
Otherwise ametumiwa na makachero, ili kwa kutambuliwa kwake aende 'akiri' uongo mahakamani kuwa kweli Lwakatare alikuwa namuagiza kufanya uovu, ili aitie CDM hatiani...
Haswaaa, hapo umepatia. Hata mimi naona hivyo.Naweza kutabiri
kitakachofuata, Kijana Ludovick ndie atakayetumika kuhalalisha matamshi
ya Lwakatare katika ile Clip, nahisi atasema ni kweli Lwakatare
aliniagiza kufanya hayo kwa kuwa target ni Lwakatare na CDM. Muhimu ni
ludovic kufahamika kwa undani zaidi. Hii itatupatia malengo yaliyopo
nyuma ya pazia.