nyakashenyi
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 139
- 49
Mungu ni mkubwa.Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hata kabla ya ile clip ya "Bukoba Boy" huyu jamaa alikuwa anaoenekana uhusika wake.Hapa mjini Dar Es salaam hakuna mtu mpuuzi wa kupanda bajaji ya kushare na watu usiowafahamu hata siku moja.Anyway ngoja tusubiri tujionee wakuu but nadhan ni mwanzo mzuri huu!