Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Jamani, mimi sibahatishi! Hapa nimeamua kupambana maana najua maisha yana mwisho. Hii habari ya kukamatwa kwake ni kweli kabisa. Watanzania tupambane tuhakikishe Tanzania inakuwa salama wa binadamu wote kuishi.

Manyerere heshima kwako mkuu, watu walipondea ulipoweka thread yako juu ya huyu mtu. Naamini umeisaidia polisi. JF MWANZO Na MWISHO!
 
Wakiwakamata na kuwahoji basi wawe wanatueleza na nia za hao watuhumiwa.
 
itabidi na Manyerere sasa akamatwe maana na yeye ALIJUAJE??

CHAIN REACTION
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hahaha hii itakuwa hadith kama ya yule askari aliyemuua Mwangosi, huyu Ludovick Joseph ametengenezwa ili amtaje Lwakatare kuwa ndie aliyemtuma!
 
kama amekamatwa mtuhumiwa serikali ya mtembezi j imeumbuka,Manyerere Jackton nakufahamu na ni jinsi gani umeumia zaidi yetu wengine kwa fani husika,naomba Mungu itende haki serikali,namkumbuka 'rais' wa ukweli alivotamka!Mungu awe nasi daima
 
Aliyekamatwa nadhan atalipwa donge nono ili akubali kukiangamiza CDM.
Mmemsahau Mkenya wa Ulimboka alivyokuwa akilazimishwa kuikubali kesi?
Sasa,tumuombe Mungu Kibanda awe mzalendo kwa hili.
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom