Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Wewe ni mahakama hadi uthibitishe kua yule ni Lwakatare? acha vyombo husika vifanye kazi yake na sio una kuja na ma penzi ya chama na chuki dhidi ya mtu au kikundi flani.
Weka mapenzi kando tumia akili yako, yule ni Lwakatare anapanga njama za kuumiza watu wasio na hatia...Mgaidi wale hawastahili kurudu uraiani!
 
Hivi hawa vijana,huyu ludo,ben sanane na wengine wasomi kwanini hawataki kufanya kazi walizosomea badala yake wote wanajazana chadema makao makuu kama volunteer na kuishia kulamba miguu ya viongozi.that's sucks!
 
mhh! Mshombsy inaonekana una kataaluma kidogo ka intelligensia. sasa kama walijirekodi, ni nini hasa lilikuwa lengo la kujirekodi huku wakitoa matamko kama yale na kisha kujiweka wao wenyewe you tube? au watakuwa wanatumiwa! kama wanatumiwa; wanatumiwa na nani?

Inaelekea walikuwa waifanyie editing pengine ikawa ha tutafanya kesho. Kuongea details kubwa inaonyesha walipanga kuedit sauti. Kuhusu kutumiwa sidhani zaidi ya propaganda. Isome vizuri kashfa ya WATERGATE ya rais wa Marekani Richard Nixon alikuwa akijirekodi White House na badae akatuma shushu wake kwenda kupeleleza ofisi za Democrat na walipokamatwa ukawa mwisho wake,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom