youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
toroka uje
its too late
toroka uje
Mbona wanaotoka kwenye chama fulani makundi kwa makundi sijasikia wakiongelewa humu au hao sio wanachama?
Watanzania wakichagua tena ccm wakapimwe akili
Kampeni maalumu ya kuwapokea wageni wetu inazinduliwa leo na The Great Lowassa. Ni kampeni maalumu ya kuwapokea wale wageni wetu tuliowambia wasubiri kwanza wasiwahi kutoka.
Sasa mwendo mdundo tetemeko kuu linazinduliwa leo.Wale wa nyumba ya jirani waandae maji ya kupoza presha.
CCM hivi karibuni baada ya wasanii Anti Ezekiel na Ray kuihama kambi ya UKAWA sasa CCM wamezindua kampeni inayoitwa Nimestuka kwa wale waliojiunga na UKAWA sababu eti UKAWA wamaisha.
Ukawa leo wanazindua kampeni inaitwa Toroka Uje.Hii ni kwamba wengi ndani ya CCM wamebanwa na maslahi na hofu ila wanaipenda CDM na UKAWA.Hata Magufuli ameshauriwa kutoroka aje UKAWA.
My take: Kama umestuka toroka Uje.
Je, wewe?