Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Hawana lolote,hizo Ni propaganda tu,hazitutishi hizo,Magufuli atosha kwa kuwa watanzania wengi wamemkubali kwa kuwa ni chaguo la mungu
 
Hawana lolote,hizo Ni propaganda tu,hazitutishi hizo,Magufuli atosha kwa kuwa watanzania wengi wamemkubali kwa kuwa ni chaguo la mungu






we unamjua mungu
 
Watoroke mapema kwa kuwa mlango una fungwa sasa wasije jutia wajipange tu.
 

Hata aende nani, maadamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ndiye raisi wa JMTZ hakuna wa kukitoa Chama Dola madarakani, tambueni hilo!
 
Na kweli watu wamestuka kuwa ccm ni zombie so wanatoroka kwenda ukawa! Hiyo haina mvuto hata kabla ya kuzinduliwa!

Miaka 54 watu sasa wamestuka!
 
Jmn Wenzenu Tupo Shamba Huku, Hbr Za Huko Mjini Tunazipata Humu!! Sasa Hapo Mmeniacha Kabisaa!!!! Tehe! Tehe! Tehe!!
 
Back
Top Bottom