Ha ha ha ha umepanic kama magufuli mwenyewe
View attachment 292962
upende wa pili wamemuandaa huyu mtu aje kuropoka uongo mwingine na unafiki.
Iteni mtakavyoita,sisi haturudi nyuma.
Mwalimu Nyerere alisema atakayeiangusha ccm atatoka ccm,
sasa ya mrema alishindwa sababu hakukuwepo twiter,whatsapp,instagram na jamii forum
hii ya mwaka huu hamchomoki,kila kijiji na vitongoji vyote
vinapata habari siku hiyo hiyo inapotoka na madish yamesambaa
nchi nzima watu wanaangalia TVs kwa kutumia solar,nakwambia
mafuriko yameishakuwa tsunami yanasomba hadi magari.
Nakushauri na wewe TOROKA UJE
Mbona wanaotoka kwenye chama fulani makundi kwa makundi sijasikia wakiongelewa humu au hao sio wanachama?
Mkuu punguza mihemko...
Tulia tu dawa iingie
Habari Mpasuko
Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.
Tutegemee kuyaona mengi!
Chanzo :Blog Habari
Yaani Slaa habari zake zimekuwa za kuandikwa na gazeti la Sani! Ahahaha chezea siasa wewe kwishinie!!!!!