Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

CCM hivi karibuni baada ya wasanii Anti Ezekiel na Ray kuihama kambi ya UKAWA sasa CCM wamezindua kampeni inayoitwa Nimestuka kwa wale waliojiunga na UKAWA sababu eti UKAWA wamaisha.

Ukawa leo wanazindua kampeni inaitwa Toroka Uje.Hii ni kwamba wengi ndani ya CCM wamebanwa na maslahi na hofu ila wanaipenda CDM na UKAWA.Hata Magufuli ameshauriwa kutoroka aje UKAWA.

My take: Kama umestuka toroka Uje.

Je, wewe?

My take: Kama umestuka toroka Uje.
 
Zipo tetesi kuwa Mwapachu, Kingunge, Sophia Simba, na mjumbe wa NEC arumeru wamefutwa Rasmi uwanachama wa CCM
Hii ni habari ina trending tweeter kwa kasi sana.
 
Yazima iwe na magnitude ya kutosha hadi kiranja mkuu arudi fasta na kuitisha press conference lumumba
 
me tiari muamiaji wa siku nyingi ningekuwa USA NINGEKUWA NIMESHA PEWA green card
 
CCM hawawezi kuwafuta uanachama bali wanajiosha kuwahi kupiga kelele baada ya kugundua wanahama CCM!!
 
Tehetehetehetehe. Yaani mnafurahia kumchukua Kingunge!
Kingunge ni hazina ila kwa uroho wenu mnaona kapitwa na wakati!!Kwa hiyo mnaona Malecela ndo bora kuliko kingunge maana naona amekuwa kampeina wenu mkuu wakati kaishachoka!!
 
Naweka nafasi yangu nitarudi...............................................
 
Kumbe ndivyo mnavyojidanganya?
Magufuli alivyonunua ile meli mbovu,alivyokurupuka kukamata meli ya samaki ilikuwaje?
Hapo akiwa waziri tu aliweza kulisababishia taifa hasara kubwa hivyo,vipi akiwa rais?
Huo ubongo wake ambao haujaathiriwa haya ndio maamuzi aliyoyafanya.
Acha kuishi kwa nahadharia,subiri ujionee Tanzania mpya chini ya Lowassa.

saluti kwako... nifah kumbe na huku siasani upo vizuri...
 
Yaani Ma CCM yanachapwa Makombora Makali Mwishoni Mwishoni
 
Back
Top Bottom