Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Nilikuwa naisubiri hii siku kwa hamu sana lakini Tanesco wameshafanya yao,ila hakijaharibika kitu.
Ni furaha kuona wenzetu wameamua kuungana na sisi.
Hadi wanaamua kufanya maamuzi kama haya tena kwa muda huu kidogo uliobakia basi amini nawaambieni hali ya CCM ni mbaya,Lowassa ndiye mshindi hadi sasa.
Ning'ate sikio madam, nani anakuja huyo tumuandalie matarumbeta?