Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Habari Mpasuko


Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.


Tutegemee kuyaona mengi!


Chanzo :Blog Habari

Hapo ndo patamu.
Chadema inaenda kuvishwa gamba. Tena la kijani..
Kampeni tamu sana hizi.
 
Naombeni kufahamu itakuwa saa ngapi na radio/ tv gani itarusha?? Ili niende job na earphones kabisa maana tayari wamekata umeme.
 
Hapo ndo patamu.
Chadema inaenda kuvishwa gamba. Tena la kijani..
Kampeni tamu sana hizi.

Na wasivyojitambua hao maskini washabiki wa Chadema maslahi wako bize kuchekelea mambo haya!
 
Na wasivyojitambua hao maskini washabiki wa Chadema maslahi wako bize kuchekelea mambo haya!

Hamu yetu ni kuoana kijani inaondoka ikulu, nchi hii ina miaka 50 baada ya uhuru lakini bado hakuna ukomavu, tunataka khaki sasa iingie.
 
Siku hizi UKAWA wameziba vyanzo vya puppets wavujisha siri. Yaani hadi sasa hakuna hata dodoso la new recruits? Ocampo four? mussa ALAN?
 
Last edited by a moderator:
Isijekuwa mbio za panya..... kwa uzoefu wangu, wapinzani baada ya uchaguzi na matokeo kutangazwa huwa hawaridhishwi na kupinga vikali, lakini mwisho wa siku huishia kuwa wapole. Swali: Mmejipanga vipi kusimamja malalamiko ya kudai kitu ambacho mtakuwa mkikikidai kuwa ni haki ambayo kwa wakati huo baada ya uchaguzi? Je, Endapo matokeo hamtayakubali, mna ubavu wa kutumia nguvu ya umma ambayo ndio slagan yenu, angalau hata kwa siku 5 mfululizo mkiipinga serikali iliyowekwa madarakani kwa mujibu wa matokeo? Uzoefu unaonyesha watanzania sio wavumilivu wa kusimamia jambo kwa umoja kwa muda mrefu mfululizo.
 
Habari Mpasuko


Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.


Tutegemee kuyaona mengi!


Chanzo :Blog Habari

Atazindua wakati Tanga anashindwa kuhutubia anadanganya watu wengi.Inaingia akilini hiyo.# hapa ni kazi tu.
 
Siku hizi UKAWA wameziba vyanzo vya puppets wavujisha siri. Yaani hadi sasa hakuna hata dodoso la new recruits? Ocampo four? mussa ALAN?

Julius hujui kuwa hakuna yeyote mpya zaidi ya yule jamaa jirani yake malafyale, yule jamaa mvaa miwani mwenye mashavu yaliyonona...
Yule kibabu na mzee wa "bruce lee"
Mwisho kabisa kuna wale wenyeviti wale eaoga waliokuwa wanaangalia upepo...
Unataka listi gani mzee.
Hakuna usajili mpya ni walewale.
ha ha ha.
 
Last edited by a moderator:
Kampeni maalumu ya kuwapokea wageni wetu inazinduliwa leo na The Great Lowassa. Ni kampeni maalumu ya kuwapokea wale wageni wetu tuliowambia wasubiri kwanza wasiwahi kutoka.

Sasa mwendo mdundo tetemeko kuu linazinduliwa leo.Wale wa nyumba ya jirani waandae maji ya kupoza presha.
 
Hamu yetu ni kuoana kijani inaondoka ikulu, nchi hii ina miaka 50 baada ya uhuru lakini bado hakuna ukomavu, tunataka khaki sasa iingie.

Hamu yako lazima ikurudi mwaka huu.

Hiyo Kijani unayoisema imehamia khaki nayo ndo inayoingia ikulu kwa msafara mzito wa magamba ya "toroka uje".
 
Back
Top Bottom