Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,514
CCM ya Nyerere tunayoijua siyo hii ya watu wasio na maadili kina Nape, Lusinde, Mwigulu, huku wazee waasisi wa chama kina Butiku, Warioba, SAS wanafanywa kama wageni waalikwa na sio wenye hafla.Eti watubu.
Hiyo ibada ya toba itaendeshwa na nani Nabii Gwajima?
Hili swala unalosema haliwezekani kwa sababu wao watorokaji ndo wanakuja kuchukua vyeo vyote vya uongozi.
Kaja Lowassa ndo kapewa Urais siku 1 baada ya kupewa kadi ya uanachama. Kuna anayeweza kumkoholea Lowassa leo?
Kaja Sumaye ndo kaja kuwa mwalimu maanake anadai ukawa hawajui jinsi ya kuongoza serikali. Alimpa makavu Mbatia kuwa hajui utawala, hajawahi gusa file la serikali.
Masha kaja kuwa kamanda wa kampeni..
Subiri tu uone...
Usiwe na haraka.