crazyworld
Member
- Dec 13, 2011
- 42
- 9
.
Ashukuriwe Mungu kwa kukuokoa Lowasa.
Hivi kama Lowasa hakuwa fisadi haya majengo ya makanisa yangejengwa na nini?
Hela ya kifisadi tamu eti? hata miungu wanaimezea mate.
.
Nafikiri Mungu wa kina Lowasa mnayemwongelea ni wa mafisadi na kina Zakayo siyo huyo tunayemtegemea kumuona!!