Lowassa anusurika kifo Morogoro

Lowassa anusurika kifo Morogoro

Dah kazi kweli kweli, kumbe muindaji some time nae huwa anawindwa
 
Kweli nimeamini yeyote anaweza tutolewa kafara kwa kuitwa Fisadi na majina mengine mengi kwa mstakabali wa Chama fulani ili kiendelee kuwa madarakani na watu wamuangalie huyo na kumshutumu badala ya kukiadabisha hicho Chama kwa kukinyima kura ili kipotelee mbali. Nampa pole Lowassa kwa kukubali kutolewa kafara, ila iko siku watu watajua umuhimu wake katika nchi hii.
 
Du hilo basi lingefanya kweli tungepunguza fisadi mmoja mkubwa na hatari! Mungu atusaidie ipatikane fursa nyingine ya kuondokewe na fisadi huyu mnafiki anayejifanya kuchangia makanisa wakati akiwaibiwa watanzania. May you perish fisadi!

Hata kama ni fisadi kamwe usimwombee mwenzako mabaya kwani wewe ndie utakayetangulia kuyapata!
 
Hivi hili jina la "Waziri Mkuu Mstaafu", ndio maana yake nini? Mtu ameachia ngazi kwa kashfa na bado wanampamba na jina hilo. Kwa nini wasimuite "Waziri Mkuu Aliye Jiuzulu kwa Kashfa"!!!???

Kila kukicha oooh Waziri Mkuu Mstaafu. Na akina Sumaye F, Salum A, Warioba tutawapa cheo gani?

Hii yote ya kumuita WAZIRI MKUU MSTAAFU ni mwendelezo wa kuhalalisha KUTUIBIA PESA zetu Watanzania. Kumbuka Mawaziri WAKUU WOTE wastaafu wanalipwa 80% ya current salary ya PM, Wanapewa walinzi wawili kuwalinda 24 hours, Wanalipiwa ofisi na wasaidizi wake wawili, mafuta ya gari, house maid, Wanatibiwa nje ya nchi, wanalipiwa kusafiri nje ya nchi mara tatu kwa mwaka ktk nchi walizozichagua wao pamoja na wasaidizi wake etc.

Sasa wasipomuita Waziri Mkuu mstaafu watahahalishaje hayo marupururpu wanayompatia?! Hii nchi ni shamba la bibi. Ndiyo maana tunapendekeza katiba mpya ifute cheo kimojawapo kati ya PM au VP hawa viongozi WAKUU WASTAAFU ni mzigo wa MISUMARI kwetu walalahoi tunaoshindia MLO mmoja kwa SIKU.
 
P1000991.JPG

Hapa ndio mnatangaza amenusurikaka kifo.?
Hebu stretch imagination yako kidogo tu.
Supposing magari yamegusana ina maana seperation distance kati ya magari hayo nin zero.

Sasa kama magari hayo yangingiliana hata kwa nusu futi, hapo unapata IMPACT!

Na matokeo ya impact ni kitu ingine kabisa maana dynamics zake ni magari yote mawili kuchanika at high speed, na liyeko ndani ni kudra ya Mola!
Bado nampa EL SIP, na atubu dhambi zake.
Hilo ni onyo.....
 
Anaumuhimu gani mwizi mkubwa huyu? Nchi imekua kama mali yao bana! Atachangia sana makanisa na urais hapati.
Inoanekana ulikua unakunya umerudi umekuta topic inazungumzia habarim ya lowassa ukaidandia kwa ajili ya kuwatumikia hao wanaokutuma,la msingi hakuna mtu anajua ataishi mda gani,kila nafsi itaonja mauti unaweza pia ukatangulia kufa kuliko huyo unamwombea mabaya
 
We sio greatthinkerto say so Mh, huyu ni mtu muhimu sana kwa mustakabari wa nchi yetu sahivi...jifunze kuona mbali.

Mungu ashukuliwe kwa kuepusha hili

Huyu atakuwa muhimu kwako. I wish angepata mstuko wa uti wa mgongo, ili alale kitandani akiona 2015 mchakato utakavyopita bila ufisadi wake.
 
Pole sana RAIS wangu wa awamu ya tano na waziri mkuu mstaafu wewe kanyaga twende achana na hao wenye wivu wa kike hatafika mbali.
 
Pole sana RAIS wangu wa awamu ya tano na waziri mkuu mstaafu wewe kanyaga twende achana na hao wenye wivu wa kike hatafika mbali.
Nakbaliana na wewe kuwa huu wote ni wivu,ukiona mtu anadiriki kumtakia mwenzake mabaya ujue ana raha mbaya
 
Inoanekana ulikua unakunya umerudi umekuta topic inazungumzia habarim ya lowassa ukaidandia kwa ajili ya kuwatumikia hao wanaokutuma,la msingi hakuna mtu anajua ataishi mda gani,kila nafsi itaonja mauti unaweza pia ukatangulia kufa kuliko huyo unamwombea mabaya
Wewe kweli huna akili unawaza kunya tu. Hujui kuna watu wamekufa nchi hii kutokana na ufisadi wake? Unamtetea kwa sababu mama
yako nyumba ndogo yake nin? Mwizi ni mwizi tu kibaka we.
 
unaweza kutueleza tofauti kati ya kufa na kunusurika kifo.

Kama katika gari lile wengine wote wangefariki abaki yeye tu, kama gari lingepata ajaili kubawa ambayo kila mtu akiona hawezi amini kuwa kuna mtu ametoka mzima au kama gari lile lingeshika moto lakini wote wanusurike kuungua na moto huo. Aidha kama hilo gari alikuwa nalo yeye pekee yake. Kumbuka kuwa kila mtu ana haki ya kuishi, hakuna anayetakiwa kuwa karibu na kifo na mwingine kuwa mbali. Ina maana hilo gari alikuwa yeye pekee yake hata bila dereva ? Katika ajali hii, mimi naweza sema amenusurika kuumia maana hakuna dalili inayoonyesha kuwa kifo kilikuwa karibu naye.
 
Nimeaibishwa sana, Nimedhalirika sana na Nimekerwa sana katika hili! Mh.Spika tatizo hapa ni Uwaziri Mkuu Mtu anatumia dakika 90 za mbwembwe kulidanganya bunge na umma wa watanzania? Mheshimiwa Spika nimeshauriana na familia yangu pamoja na marafiki zangu nimemwandikia barua Mh.Rais ya Kujiuzuru.

Sikia Sitta Nae: Asante Mh.Lowassa tunaendeleaa.
Mashilingi: Mwongozo wa Spika.
Sitta: Mashilingi Mwongozo wa Spikaa

Alishasema hapo juu kwamba kuna watu waliona yeye kuwa Waziri Mkuu anafaidi kumbe yeye ana michongo mingine.Sijui ndio tembo wetu hao? RIP Magamba.+ Waziri Mkuu aliejiuzuru kwa Mwizi.
 
Back
Top Bottom