Lowassa anusurika kifo Morogoro

Lowassa anusurika kifo Morogoro

Watu wengine hata hawamwogopi mungu wakisikia ajali wao hufurahia je hilo basi lingeanguka ni watu wangapi tungewapoteza akiwepo mzee Lowasa?na kama kweli Lowasa ni fisadi kwanini basi msitoe ushahidi?ndugu zangu muwe na hofu ya Mungu unasheherekea kifo cha mwenzako wakati wewe hujui saa wala siku.Nina imani kabisa kua sio kila mtu anaeweza kufikiri ya kua ni lini kifo chake kitatokea ila cha kufanya ni kuwaombea watu kama hao wabadilike kitabia ili wawe na hofu ya mungu na heshima pia.Wa Tanzania ndugu zangu turudishe utamaduni wa kuheshimiana kama hapo mwanzo.AKsanteni na mungu awbariki.Poleni wote mliopata ajali na mungu awajalie mema zaidi.
Ushaidi upi unao utaka? Hujiulizi alijiuzuru kwa sababu gani? Wabongo mbona tunapenda vibaya?
 
Mungu anakupenda el , kwa sababu bado hujaifikia ile tunu kuu.
 
Du hilo basi lingefanya kweli tungepunguza fisadi mmoja mkubwa na hatari! Mungu atusaidie ipatikane fursa nyingine ya kuondokewe na fisadi huyu mnafiki anayejifanya kuchangia makanisa wakati akiwaibiwa watanzania. May you perish fisadi!

​Kweli kabisa mkuu, hawa mafisadi hata wakifa ni sawa tu.
 
Hata watu wanakushangaa umekazana unamtetea mwizi. Ni mwananch gan tz asie elewa kama EL ni fisadi? Mbona una ng'ang'ania vi2 ambavyo havi
po? Nampa pole mwalimu aliekufundisha maana unaoneka una kichwa cha panzi.
una mawazo mgando wewe,kwa hiyo we ni bendera fuata upepo,jifunze kutoa hoja na kuisimamia usiwe kama mwanamke malaya asiyekuwa na msimamo,sizungmzii swala la ufisadi hapa tunaznugumzia issue ya accident kama ni ufisadi kuna posts kibao zinazo elezea ufisadi,kwa ufupi elewa unapima kina cha maji ya bahari kwa kidole,inaonekana tumbo ndo linalokufanya usiwe na msimamo na kutokwa hovyo na povu pasipo sababu ya msingi
 
Mwanangu kumbwa jinga Mahimbo Go tell it to the birds. Kama tuliweza kumlaani Idd Amin au ulikuwa mtoto then, kwanini tusimlaani huyu habithi wenu Lowassa? Ni wangapi wanakufa kutokana na ufisadi wa hawa washenzi wasio na utu hata chembe? Kam Mungu alimlaani shaitwan kwanini tusimlaani Lowassa? Nadhani wengi mnakuwa wanafiki kama siyo woga. I am still fatehr of all. The father who hates corruption more than his own kids. This is the father that I am. This is the father there is. Father of all.
Wewe unaonekana kama una chembechembe za ugaidi. Hivi unategemea ndugu wa waathirika wa Sept.11 wamuonee huruma Osama aliyesherehekea siku ndugu zao walipokufa? Jikumbushe Washington na New York zilivyowaka kwa shamra shamra na kushangilia baada ya kutangazwa kifo cha habithi Osama. Mahimbo umenichekesha eti huu si utamaduni wenu waafrika au Watanzania. Mbona akina Mobutu hawakuwa nao? Watanzania ulikutana nasi wapi kwa pamoja ukapata hii code kama siyo upuuzi na ujuha kutoa hitimisho la jumla? Nenda kamuabudie fisadi wenu lakini siyo sisi na akili zetuu.
Povu la nini mkuu? Kama kweli ungekuwa shujaa (kama unavyo jiita father of all) usingejificha nyuma ya keyboard na kuanza kuwalaani na kutakia watu mabaya. Kuwa mjasiri basi, njoo kwa ID ya jina lako halisi kisha uongee haya unayoyasema hapa, ndipo tutajua unamaanisha kweli haya unayoyatolea povu.
Vinginevyo wewe ni mnafiki tu, tena usie na uzalendo wowote kwa Taifa lako, nafikiri unasumbuliwa na chuki binafsi zaidi.
 
Je wewe ni mtoto wa nje ya ndoa wa Lowassa? Waachie wanae halali wafanye kazi hiyo.
Povu la nini mkuu? Kama kweli ungekuwa shujaa (kama unavyo jiita father of all) usingejificha nyuma ya keyboard na kuanza kuwalaani na kutakia watu mabaya. Kuwa mjasiri basi, njoo kwa ID ya jina lako halisi kisha uongee haya unayoyasema hapa, ndipo tutajua unamaanisha kweli haya unayoyatolea povu.
Vinginevyo wewe ni mnafiki tu, tena usie na uzalendo wowote kwa Taifa lako, nafikiri unasumbuliwa na chuki binafsi zaidi.
 
Back
Top Bottom