Lowassa anusurika kifo Morogoro

Lowassa anusurika kifo Morogoro

Lowassa ni muhimu kwa mafisadi na wale wanaojikomba kwake kuganga njaa. Ni muhimu kwa vipofu wanaotumia matumbo na massaburi kufiiri badala ya brain. Yeye kama partner wake ni baa la taifa. May he perish!

Upo sahihi kwa mawazo yako yalipokufikisha sio kosa lako.
 
Tumuhukumu lowasa lakini tumtendee haki jamani ni jambazi kweli lakini linapiga kazi kuliko Fastjet jamaa kasimamia ujenzi wa shule za kata kwa Muda mfupi je mtoto wa mkulima kafanya nini? Kulia bungeni? Jk kafanya nini kutalii???
 
Hivi marafiki zake walioko nyuma yake kuchangia makanisa mbona hawatajwi majina yao?
 
Lowassa ni muhimu kwa mafisadi na wale wanaojikomba kwake kuganga njaa. Ni muhimu kwa vipofu wanaotumia matumbo na massaburi kufiiri badala ya brain. Yeye kama partner wake ni baa la taifa. May he perish!

Hahahaa wenzako tumejenga,tunadrive limo,watoto wanasoma seminarini kwa sababu tumeamua kuwafanya source ya income zetu..kama nyie mnachukia mafisadi sisi tunatengeneza opportunity hata kwenye hasara hahahaa mjini akili kijijini nguvu!
 
You are right. Kwa vyangudoa wa kimaisha the guy is an angel. Ila kuna haja ya kuangalia mstakabali wa vizazi vijavyo. Kusomesha na kujenga siyo big deal kama siku moja mtakimbia hayo majumba yenu baada ya umma kuamka. Waulize akina Ghasia kule Mtwara kilivyoumana. Kwa wetu wenye mawazo mafupi the guy is a saviour. Kwetu he is but a fisadi.
Hahahaa wenzako tumejenga,tunadrive limo,watoto wanasoma seminarini kwa sababu tumeamua kuwafanya source ya income zetu..kama nyie mnachukia mafisadi sisi tunatengeneza opportunity hata kwenye hasara hahahaa mjini akili kijijini nguvu!
 
We sio greatthinkerto say so Mh, huyu ni mtu muhimu sana kwa mustakabari wa nchi yetu sahivi...jifunze kuona mbali.

Mungu ashukuliwe kwa kuepusha hili
Umeona eeh! Kumuombea Lowassa mabaya si suluhu ya matatizo yanayoikabili nchi! Tumuombee abadilike, amree Mungu wetu na kurejesha kile ambacho tunadhani kaiba
 
Kwa hiyo wale wote magari yao yanapochubuliwa kidogo wanakuwa wamenusurika kifo? Mnajua maana ya kunusurika kifo kweli?
 
Mungu amsaidie lakini inanishangaza jinsi makanisa na misitiki wanavyopokea hela chafu kutoka kwa Lowassa under the name Harambee. Huyu mtu ni wa kuogopa sana. Kwa nini ni yeye tu kila Harambee! Kama ni Uwaziri Mkuu mbona si Sumaye, Msuya au Warioba? There is something fishy in EL's activities.
 
MKONO wa MUNGU umekuepusha kwenye ajali, pole saana MH EL wala usiwe na mawazo ya kishetani ni ajali kama ajali zingine.
 
Watu kama Lowassa ndo wanaitajika katika hii nchi kwasababu nikiongozi mzuri ndo maana mungu amemuepusha na ajali.
 
hivi hili jina la "waziri mkuu mstaafu", ndio maana yake nini? Mtu ameachia ngazi kwa kashfa na bado wanampamba na jina hilo. Kwa nini wasimuite "waziri mkuu aliye jiuzulu kwa kashfa"!!!???

Kila kukicha oooh waziri mkuu mstaafu. Na akina sumaye f, salum a, warioba tutawapa cheo gani?

umewashika pabaya sana kaka.
 
Waziri mkuu aliye jiuzulu Lowasa amenusurika kifo mkoani morogoro eneo la bwawani baada ya gari lake kukoswa koswa na basi na kukwaruzwa ubavuni upande wa kulia,hakuna yeyote aliyeumia.

Lowasa alikuwa akielekea morogoro kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa ambapo yeye na rafiki zake wamechangia shilingi milioni 18.

dah: inabidi na mimi nianze ujenzi wa kanisa nadhani nitapata fugu hapo,

ITV HABARI.

hizo kosakosa zipo kila siku tu

this is not news
 
Kanisa lenyewe lilikuwa ma masai kibao, walimfuata Laigwanan
 
Back
Top Bottom