Nimeaibishwa sana, Nimedhalirika sana na Nimekerwa sana katika hili! Mh.Spika tatizo hapa ni Uwaziri Mkuu Mtu anatumia dakika 90 za mbwembwe kulidanganya bunge na umma wa watanzania? Mheshimiwa Spika nimeshauriana na familia yangu pamoja na marafiki zangu nimemwandikia barua Mh.Rais ya Kujiuzuru.
Alishasema hapo juu kwamba kuna watu waliona yeye kuwa Waziri Mkuu anafaidi kumbe yeye ana michongo mingine.Sijui ndio tembo wetu hao? RIP Magamba.+ Waziri Mkuu Mwizi.
Alishasema hapo juu kwamba kuna watu waliona yeye kuwa Waziri Mkuu anafaidi kumbe yeye ana michongo mingine.Sijui ndio tembo wetu hao? RIP Magamba.+ Waziri Mkuu Mwizi.