Lowassa anusurika kifo Morogoro

Lowassa anusurika kifo Morogoro

Go tell it to the birds. Kama tuliweza kumlaani Idd Amin au ulikuwa mtoto then, kwanini tusimlaani huyu habithi wenu Lowassa? Ni wangapi wanakufa kutokana na ufisadi wa hawa washenzi wasio na utu hata chembe? Kam Mungu alimlaani shaitwan kwanini tusimlaani Lowassa? Nadhani wengi mnakuwa wanafiki kama siyo woga. I am still fatehr of all. The father who hates corruption more than his own kids. This is the father that I am. This is the father there is. Father of all.
Wewe unaonekana kama una chembechembe za ugaidi. Hivi unategemea ndugu wa waathirika wa Sept.11 wamuonee huruma Osama aliyesherehekea siku ndugu zao walipokufa? Jikumbushe Washington na New York zilivyowaka kwa shamra shamra na kushangilia baada ya kutangazwa kifo cha habithi Osama.

As a "Father of All" you have to learn to hate corruption in individuals without hating individuals.

It seems you cannot distinguish.
 
Pole sanaMh ENL
Pole sana ndg ENL nakumbuka uchapakazi wako ulipokuja mwaka 2007 pale Kibakwe ulisimamia mapinduzi ya kumttoa madarakani mwenyekiti wa kijiji fisadi ndg.Gabriel Ngoitanile Mwasamila...Nakuombea upate urais ili uonyesshe makucha yako kwa mafisadi...Big up
 
We sio greatthinkerto say so Mh, huyu ni mtu muhimu sana kwa mustakabari wa nchi yetu sahivi...jifunze kuona mbali.

Mungu ashukuliwe kwa kuepusha hili
Anaumuhimu gani mwizi mkubwa huyu? Nchi imekua kama mali yao bana! Atachangia sana makanisa na urais hapati.
 
I am Father of All not " a Father of All". Methinks I know what I am doing. Being who I am, I will nary trade my moral fibres with coins. I insist that the death of Lowassa for his victims is more than welcome. And so be it.
As a "Father of All" you have to learn to hate corruption in individuals without hating individuals.

It seems you cannot distinguish.
 
Halafu MOROGORO na ajali za Mawaziri wakuu, tena wote wanaitwa Edward na wote waasili ya kimasai........ooooh!

Tofauti ni kuwa yule alikufa ktk ajali huyu kanusurik- huko huko morogoro. Yule kifo kilikatiza uwaziri mkuu wake lakini huyu Richmond ili mtoa before time. Mmoja alichapa kazi kwa ajili ya maslahi ya wengi na mwingene alikuwa kwaajili ya tumbo lake na familia yake.

Pole kwa ajali mzee Lowassa....next time you have to fly kwenda au kipita via morogoro.
 
I am Father of All not " a Father of All". Methinks I know what I am doing. Being who I am, I will nary trade my moral fibres with coins. I insist that the death of Lowassa for his victims is more than welcome. And so be it.

If you have any moral fibre you would know that this declaration simply turns you into a Bin Laden.

A terrorist.

One who uses terror and force to solve problems.
 
Wewe ushajivua u "Father of All".

Ushamtosa mwanako Lowassa.

Lugha hii haina sio tu rehema za ubaba, bali hata ubinadamu ulio duni kabisa ambao unatakiwa kuthamini maisha ya kila mja, hata Osama Bin Laden.

Ni mjinga wa tafakuri na taamuli aso majazi tu anayeweza kukufuru kwa upotovu ulioghilibika kifedhuli kwa hamaniko hivi.

Maneno haya yanatoka kwa mtu asiye na rekodi ya kumpenda Lowassa, lakini mwenye kupenda jaha za ubinadamu zaidi.

Yeye EL ana ubinaadamu gani? Au hujui kupitia ufisadi wake waTanganyika wengi wanaendelea kupoteza maisha kwa kukosa tiba sahihi, elimu bora n.k.!!!???

Peleka kujipendekeza kwako kule Monduli sio hapa JF.
 
Yeye EL ana ubinaadamu gani? Au hujui kupitia ufisadi wake waTanganyika wengi wanaendelea kupoteza maisha kwa kukosa tiba sahihi, elimu bora n.k.!!!???

Peleka kujipendekeza kwako kule Monduli sio hapa JF.

Kwa hiyo kama EL hana ubinadamu ndo na wewe u descend kwake huko huko kwenye unyama?

Sasa utakuwa na moral high ground gani ya kumsema?

Kwa kuendeleza unyama utasaidiaje nchi kuushinda unyama?

Binadamu yeyote anayemtakia kifo binadamu mwingine kwa namna hii anajishusha ubinadamu wake.
 
Hivi hata majambazi, bora tu walikuwa mawaziri wakuu bado mnawapapatikia? Huyu alitakiwa kuwa lupango na rafiki yake wa Magogoni kwa hujuma ya uchumi.
 
Du hilo basi lingefanya kweli tungepunguza fisadi mmoja mkubwa na hatari! Mungu atusaidie ipatikane fursa nyingine ya kuondokewe na fisadi huyu mnafiki anayejifanya kuchangia makanisa wakati akiwaibiwa watanzania. May you perish fisadi!
Wewe utakua na matatizo kichwani mwako. Ama sijui unatumia nini sijui kufikiri.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia mabaya yampate binadamu mwenzie, haijalishi ana ubaya kiasi gani,
Huo sio utamaduni wetu waafrika, hasa Tanzania
 
Mhe. Mbunge wa Monduli na aliyewahi kuwa. Waziri Mkuu Bw. Lowassa amenusurika na ajali akiwa anaenda kwenye harambee mjini Morogoro. Kwa mujibu wa ITV, Mhe. Lowasa amenusurika baada ya basi lililokuwa likifukuzia jingine kutaka ku"overtake" kulikwangua gari alilokuwemo Mhe.Lowasa ambae amekiri kwa sura ya unyonge kuwa kupona kwake ilikuwa ni mipango ya Mungu. Kauli hiyo ya Lowasa inaashiria uenda kulikuwa na mkono wa mwanadamu kwenye ajali hiyo ambapo kwa kuwa mkono wa Mungu ulikuwepo husingeweza kufua dafu!!

Pole sana mhe Lowasa.

Angekufa mkono wa mungu ungekua haupo !?
 
waziri mkuu aliye jiuzulu lowasa amenusurika kifo mkoani morogoro eneo la bwawani baada ya gari lake kukoswa koswa na basi na kukwaruzwa ubavuni upande wa kulia,hakuna yeyote aliyeumia.

Lowasa alikuwa akielekea morogoro kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa ambapo yeye na rafiki zake wamechangia shilingi milioni 18.

dah: Inabidi na mimi nianze ujenzi wa kanisa nadhani nitapata fugu hapo,

itv habari.

upuuzi mtupu
 
Hapo bwawani ni hatari na ni rahisi sana kupata ajali...mwaka juzi dec 2011 nilikoswa kugongwa na basi la Princess Muro likitokea Dar nami nikitokea Morogoro.

Nilikuwa nimeshavuka daraja, nimeshapanda tuta pale kituoni na sasa naipa gari mafuta taratibu kupanda kilima na ile kona kama unaenda chalinze...tahamaki Muro lime-overtake tunaangaliana uso kwa uso, kilichonisaidia ni kuwa nilikuwa katika mwendo mdogo kama 30-40Km/H na pale kuna ile extension ya bus station kwa hiyo nikawahi kuingiza mguu wa kushoto kwenye majani faster na kurudi barabarani maana nyuma yangu kulikuwa na scania linakuja moto.

My Suggestion: Mnaondesha magari binafsi, chunga sana ukifika bwawani.

As for bwana Mamvi..nadhani bado sir God anakuhitaji katika hii dunia, so pray to him.
 
Back
Top Bottom