Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Polisi hawawezi kuweka wazi kila kitu...
Ni kweli polisi hawawezi kuweka kila kitu ila kuna vitu basics polisi uwa wanaongea na press kuwaeleza wananchi, yale tu ambayo yanahitaji kuja kufanyika mahakamani ndio wanayaficha. Sie huku tunaona baada ya tukio tu polisi wanaita press na kueleza maendeleo, huo ukimya wa polisi wa bongo ndio uwaga unakaribisha rushwa. Africa bado sana wallah.
 
Una HOJA kabisa
Hoja yangu ni kua, Wauwaji kweli wanaweza kamatwa,lakini ushahidi wa kijinai ni mgumu sana kuuthibitisha bila ya kuacha shaka ya aina yoyote ile, Sasa kwenye kesi nyingi za mauwaji wengi wanafungwa ni wale ambao wanakiri wenyewe bila kulazimishwa na mtu yoyote yule, sema kukiri kwao ni msukumo kutoka ndani mwao baada ya kupambana sana mzimu wa Marehemu na kuwashinda!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kila unachoona kwenye teknolojia unafahamu kuna njia za kuepuja usijulikane, hizo iphone zina setting za security ambazo hata maongezi yako hayawezi kua recorded popote na watu wakitrace wanakuta nill! Sema wahalifu wetu wa kutegemea matunguli wanadakwa tu kirahisi hawa hata haina shida
Mmhhh
 
Polisi wetu wakiamua wanaweza kuwakamata wote hao.

Shida ni moja. Huwa wanaweka nguvu kwenye upelelezi wenye interest za Taifa ama watu wenye mahela.

Mfano mzungu wa tembo ule upepelezi ulikuwa mkali sababu ulikuwa na interest za seriakli na pia taasisi za kimataifa zilihitaji kujua matokeo

Pia kwa bilionea msuya. Matajiri wa madini na connections za bilionea msuya kwa wakubwa zilifanya upelelezi uwe mkali.

Mwenzangu na mie ukiuliwa hawapotezi muda
Unaweza kunipa link za nyuzi zilioelezea huu upelelezi kwenye hizi ishu mbili
 
Hapa hata mimi ningependa kujua,akiwa hai kiintelijensia inawezekana ukagundua kitu,lakini kwa huyu aliekufa utagunduaje...?
ndio hio sababu ilopelekea kifo chake laiti tungekua tunayajua ya mbele ingesaidia sana kwamfano marehemu angesubiri ibada ikaisha, au akamtaarifu mtu wa karibu kuna watu nje waamwita labda n.k lakini ndio hivo tena
 
Uyo baba yake sijui ana moral zipi yaani anamuendekeza binti yake wakati anajua ana step on other people toes intentionally...

Eti mpambanaji my foot! Badala amu guide on the right path yeye ana muentertain...

kwamba wanaambizana kila kitu sijui meneja ivi mara vile apo kimazingira itakuwa walikua wanaishi kwa kujichunga watching over her shoulders thinking she gonna escape... if it were me i would have called peace... ningekua mpatanishi na sio kujivunia kuzaa kidosho eti ni kipambanaji ona sasa kampoteza.

And i doubt these killer a real one atakamatwa because ofcourse ni professional ame-cover track vzur no bullet rather a lethal injection then flammable liquid apo sio common laymens so watu watasumbuliwa tu yaani but chances za ku-slip zipo sana tu
 
1678708335029.jpg
 
ndio hio sababu ilopelekea kifo chake laiti tungekua tunayajua ya mbele ingesaidia sana kwamfano marehemu angesubiri ibada ikaisha, au akamtaarifu mtu wa karibu kuna watu nje waamwita labda n.k lakini ndio hivo tena
Huyu walikuwa wanamfuatilia muda wote na kama umegundua kitu hakuwa mtokaji ku hang out na marafiki.. Ilikuwa ni by chance kumchomoa toka church na jiografia ya eneo husika iliwapa backup kubwa ya privacy tofauti na kama wangemchomoa home ama sokoni nk
 
Hii nayo kwa wabobevu ni rahisi mno. Line ya simu inakupa IMEI namba na inapokuwa mahali simu ikiwa on unajichorea ramani ya matembezi yako. Kifupi utakamatwa. Sisemi mengi bgoja niishie hapo. Hawa wauaji kama alivyosema Mshana Jr watakamatwa kama kuku. Tena familia ina pesa na ndugu zake wana pesa yaani mkate ngumu mbele ya chai hakuna. Tena itakuwa na high level investigation. Mark my words.
Watakamatwa kirahisi sana, unajua hapa watu wanafikiri ni simu tu ndio inakamatisha mtu/watu, kiupelelezi hii issue yote ya mpango wa mauaji inahitaji logistics, sasa polisi wakisha wanasa watu wawili- "persons of interests" wanaoshukiwa basi mlolongo wote utadakwa kupitia transactions za bank, wakala,vituo vya mafuta walipoweka petrol na hata atm waliotolea pesa n.k. technology ni mfumo waliouweka mabeberu kucontrol watu.. ukitaka usipatwe achana nayo kabisa na hio ni ngumu sana, Osama Bin Laden alijaribu lakini walimnyaka itakua hao wauaji uchwara ambao hata mpango wao umefeli mazima maana target kaishi siku 6 nzima.That's a failed plot kwa tuliosomea Korea tunaelewa hili.
 
Original plan ilikuwa very perfect lakini mipango sio matumizi. .. Walitengeneza fake call iliyomzuga marehemu mpaka akaingia kwenye mtego wao wakamdaka
Hawakutaka kumuua kwa silaha ya moto ama kwa kisu walihofia sauti na uchafuzi wa damu
Kwa hiyo njia rahisi ni sindano ya sumu kisha kumchoma moto ateketekee aishe kabisa.. Mtu akipotea na mwili usipoonekana risk za utuhumiwa zinapungua kwa asilimia 75

Mipango ya Mungu si ya mwanadamu kilichotokea ni tofauti na mpango wa awali
Sindano ya sumu ikachelewa kuchukua uhai wake na moto ukashindwa kumteketeza ... Akazinduka akatafuta msaada
Je wauaji waliyajua yote haya? Kama la walipokuja kujua taharuki ilikuwa kubwa kiasi gani?
Ambaye kachelewa kukimbia na kuvuka mpaka kachelewa kila kitu
Ambaye kachelewa kukimbia na kuvuka mpaka kachelewa kila kitu
 
Huyu walikuwa wanamfuatilia muda wote na kama umegundua kitu hakuwa mtokaji ku hang out na marafiki.. Ilikuwa ni by chance kumchomoa toka church na jiografia ya eneo husika iliwapa backup kubwa ya privacy tofauti na kama wangemchomoa home ama sokoni nk
ni kweli na laiti angeweza kurudisha muda nyuma angejua asingetoka kabisa hapo kanisani, lakini sishangai watu wakikuamulia jambo hawashindwi kuja kukutoa kwenu, kuna dada mmoja alitekwa nyumbani kwao walipiga hodi vizur wakfunguliwa na mama yao wakasema ni rafiki yake mama akawapa faragha kumbe ni one mistake one goal walikurupushana akaja kukutwa kiwanda cha foma yupo kama alivyozaliwa akiwa ameshafariki, mama kuona mbona kimya kimezidi s ndio kutoka anakuta vitu vipo hovyohovyo
 
Wauaji hawawezi kufanya makosa ya kijinga ya kuacha trace wazi wazi namna hiyo ,watu wasichokijua ,wahalifu wana mbinu nyingi sana za kuwapoteza vyombo vya dola....Ni rahisi sana kuwapoteza askari kwa kutumia simu na kwa jinsi wasivyodig deep muhalifu anaweza akawingiza choo cha kike wakaenda kumkamata mtu siyo.(watu wa cyber wanajua hili ,siwezi kuweka wazi mbinu hii).

Kuna softwares/service kibao kwenye simu zinazoweza kubadili sauti ,kuna magic voice ,kuna software za kuitune sauti ifanane na mtu flani ,akikupigia unasikia kabisa sauti yake ,kuna software ukipigiwa inakuja namba ya mtu wako wa karibu kabisa ambapo umasave jina lake ila hapigi yeye.

Si rahisi wafanyakazi wenzake wenye motive ya kumuua wampigie simu kwamba wanakuja kumsalimia maybe a coincidence or muhalifu alitumia mwanya huo baada ya kusikia kwamba wafanyakazi wenzake wanakuja naye akatumia loophole hiyo hiyo kufanya yake.
King Kong III naona umetoa maelezo marefuuu.
Ulichoniquote ni mtu mwingine alitoa mawazo yake.

Nilichoona mimi, wakati tukio la taharuki kama hili, linatokea lazima kuna watu wanakuwa na A,B,C la tukio.

Ili kusaidia anaandika kama huyu. Wakati mwingine tuwe tunatoka nje ya Box, wengi wamekazana na 1B. Aliyetoa hiyo taarifa, huenda ametaka kuchanganya mambo, asijulikane niyeye.

Na huenda taarifa nzima haina maana, ila ametaka kusaidia eneo lenye chanzo tu. So wenye kazi zao waliobobea, wakisoma wanajua nini wanahitaji katika kila taarifa. Watakaa na kuchuja.
 
Watakamatwa kirahisi sana, unajua hapa watu wanafikiri ni simu tu ndio inakamatisha mtu/watu, kiupelelezi hii issue yote ya mpango wa mauaji inahitaji logistics, sasa polisi wakisha wanasa watu wawili- "persons of interests" wanaoshukiwa basi mlolongo wote utadakwa kupitia transactions za bank, wakala,vituo vya mafuta walipoweka petrol na hata atm waliotolea pesa n.k. technology ni mfumo waliouweka mabeberu kucontrol watu.. ukitaka usipatwe achana nayo kabisa na hio ni ngumu sana, Osama Bin Laden alijaribu lakini walimnyaka itakua hao wauaji uchwara ambao hata mpango wao umefeli mazima maana target kaishi siku 6 nzima.That's a failed plot kwa tuliosomea Korea tunaelewa hili.
Kuna kosa moja kubwa tayari naliona hapa,kuna mahali nimesoma hapo juu kuwa marafiki zake walipiga simu kutokea Shinyanga kuwa wanakuja,na wakifika watamtafuta,hapa inaonyesha dhahiri kuwa ndio hao waliomuita alipokuwa kanisani,maana alitoka kwakuwa hakuwa na shaka na huo wito.Hii nayo itakuwa ni point of weakness ya wauaji...
 
Uyo baba yake sijui ana moral zipi yaani anamuendekeza binti yake wakati anajua ana step on other people toes intentionally...

Eti mpambanaji my foot! Badala amu guide on the right path yeye ana muentertain...

kwamba wanaambizana kila kitu sijui meneja ivi mara vile apo kimazingira itakuwa walikua wanaishi kwa kujichunga watching over her shoulders thinking she gonna escape... if it were me i would have called peace... ningekua mpatanishi na sio kujivunia kuzaa kidosho eti ni kipambanaji ona sasa kampoteza.

And i doubt these killer a real one atakamatwa because ofcourse ni professional ame-cover track vzur no bullet rather a lethal injection then flammable liquid apo sio common laymens so watu watasumbuliwa tu yaani but chances za ku-slip zipo sana tu
Denton_GrootBoom long time no see you brother! Just remember this .... The end justfies the means..!

Baba never cared the means!
 
Huyo aliyepiga simu ya mwisho kumwambia atoke nje ya kanisa ndo amechomesha.. katika ulimwengu wa sasa hakuna kitu rahisi kumshikisha mtu kama simu. Professional wangempiga bomba tu wapite hivi..
Wata mchomesha mtu alieko Bush kabsa ukoo siku izi wasajili laini wana ibia watu ..una sajili laini moja kumbe jamaa kasha kusajilia naya pili
 
Back
Top Bottom