Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Nukuu kutoka chanzo kisicho halisi:


Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha 😔.

Mwisho wa Nukuuu.
Wakati mwingine mnapopata habari kama hizi changanya na akili zenu. Hakuna cheo cha doctor mkuu, hakuna hospitali inaitwa Mwimbili, hakuna utaratibu wa kuandika cheki ya bilioni moja, hakuna utaratibu wa Boss kumpigia baba wa staff kuwa mtoto wake aache kazi
 
King Kong III naona umetoa maelezo marefuuu.
Ulichoniquote ni mtu mwingine alitoa mawazo yake.

Nilichoona mimi, wakati tukio la taharuki kama hili, linatokea lazima kuna watu wanakuwa na A,B,C la tukio.

Ili kusaidia anaandika kama huyu. Wakati mwingine tuwe tunatoka nje ya Box, wengi wamekazana na 1B. Aliyetoa hiyo taarifa, huenda ametaka kuchanganya mambo, asijulikane niyeye.

Na huenda taarifa nzima haina maana, ila ametaka kusaidia eneo lenye chanzo tu. So wenye kazi zao waliobobea, wakisoma wanajua nini wanahitaji katika kila taarifa. Watakaa na kuchuja.
Kuna watu ni mabingwa wa kutengeneza fool proof na kuhamisha mjadala kwenye matukio kama haya ya mauaji.. Hiyo ishu ya marehemu kutakiwa kusaini hawala ya 1B inawezekana ikawa mojawapo ya mchongo wa kuhamisha magoli
 
Naamini matokeo baada ya deep investigation, hizo rumors hua ni kawaida kwenye matukio yoyote, kwanza kama unavosema alitakiwa kusain hundi ya 1B ndio lakini yeye alikua afisa mikopo tu muidhinishaji wa pesa ni muhasibu mkuu, na bado alikua hajasaini hivo bado hayo ni maneno tu, tuvipe nafasi vyombo vya uchunguzi vitaweza kueleza ukweli wote, japo kwenye kufetch information even rumor inasaidia kwa kuplay kama primary source of information
Yaani ni shida, mara alikuwa mhasibu mkuu, mara afisa mikopo etc
 
Kuna kosa moja kubwa tayari naliona hapa,kuna mahali nimesoma hapo juu kuwa marafiki zake walipiga simu kutokea Shinyanga kuwa wanakuja,na wakifika watamtafuta,hapa inaonyesha dhahiri kuwa ndio hao waliomuita alipokuwa kanisani,maana alitoka kwakuwa hakuwa na shaka na huo wito.Hii nayo itakuwa ni point of weakness ya wauaji...
Hiyo inawezekana kabisa ilitengenezwa tofauti na hapo hao marafiki saa hii tayari watakuwa wako lockup
 
Kuna watu ni mabingwa wa kutengeneza fool proof na kuhamisha mjadala kwenye matukio kama haya ya mauaji.. Hiyo ishu ya marehemu kutakiwa kusaini hawala ya 1B inawezekana ikawa mojawapo ya mchongo wa kuhamisha magoli
Yaani afisa mkopo asaini check za bank? Hivi wanajua cheo cha mhasibu mkuu wa Bank, wanadhani wanapewa watu junior ee.
 
Huyo aliyepiga simu ya mwisho kumwambia atoke nje ya kanisa ndo amechomesha.. katika ulimwengu wa sasa hakuna kitu rahisi kumshikisha mtu kama simu. Professional wangempiga bomba tu wapite hivi..
Harafu ukute mtu alikaa nje anapunga upepo,jamaa kaja akamuomba kama una salio naomba nipige,na kweli mtu unatoa simu yako mwisho wa siku ndio dhahama linakuangukia.
 
Uyo baba yake sijui ana moral zipi yaani anamuendekeza binti yake wakati anajua ana step on other people toes intentionally...

Eti mpambanaji my foot! Badala amu guide on the right path yeye ana muentertain...

kwamba wanaambizana kila kitu sijui meneja ivi mara vile apo kimazingira itakuwa walikua wanaishi kwa kujichunga watching over her shoulders thinking she gonna escape... if it were me i would have called peace... ningekua mpatanishi na sio kujivunia kuzaa kidosho eti ni kipambanaji ona sasa kampoteza.

And i doubt these killer a real one atakamatwa because ofcourse ni professional ame-cover track vzur no bullet rather a lethal injection then flammable liquid apo sio common laymens so watu watasumbuliwa tu yaani but chances za ku-slip zipo sana tu
Unahoja nzito sana una point
 
Kuna kosa moja kubwa tayari naliona hapa,kuna mahali nimesoma hapo juu kuwa marafiki zake walipiga simu kutokea Shinyanga kuwa wanakuja,na wakifika watamtafuta,hapa inaonyesha dhahiri kuwa ndio hao waliomuita alipokuwa kanisani,maana alitoka kwakuwa hakuwa na shaka na huo wito.Hii nayo itakuwa ni point of weakness ya wauaji...
Napinga hii hawawezi kuwa wazembe hvo mzee kuna namna wauaji walijua anakuja kutembelewa na wenzie wakatumia hyo chance...
 
UKIANGALIA HADI PICHA KWA JENEZA UNAGUNDUA KUWA HAKUWA NA MAVAZI NDIO MAANA SURA YAKE YA NAMNA HIIII HAIPO.


SASA KWA TAARIFA ZENU NINAUWEZO MKUBWA WAKUSOMA SURA MTU AMBAYE ALISHAWAHI KUTANA NA SURA KAMA HII ATAKUWA KAGUNDUA JAMBO
JamiiForums-1533248838.jpg
 
Wakati mwingine mnapopata habari kama hizi changanya na akili zenu. Hakuna cheo cha doctor mkuu, hakuna hospitali inaitwa Mwimbili, hakuna utaratibu wa kuandika cheki ya bilioni moja, hakuna utaratibu wa Boss kumpigia baba wa staff kuwa mtoto wake aache kazi
Una HOJA



Watu huku ni washamba sana
 
Kama walitaka aishi wangechukua mafuta ya taa ya kutosha wakaweka kwenye vile vichupa vya mafuta ya cherehani halafu wakahakikisha wanamwagia masikio yote mawili asingesikia milele hadi anakufa au wangemfanya kua bubu kabisa yaani jamaa wapuuzi kweli kweli
Si angeandika mzee au hadi uwezo wa kuandika wangeuharibu??
 
Back
Top Bottom