Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Kuna post hapa JF kuhusu yule kijana aliyeenda jela kwa kumpa mshkaji wake geto lake wafanye yao na demu wake jamaa akiwa hayupo
Huko geto ukazuka ugomvi demu akapigwa akafa, jamaa akasepa mazima, kesi ikamwangukia mwenye geto lake akaenda lock up
Kwa maneno yake anasema kilichokuja kumuokoa kwa mujibu wa mpelelezi wake ni taswira ya mwisho kupitia macho ya marehemu... Ilimuonyesha mtu mwingine na sio yeye
Unadanganywa na fake case
 
Kuna post hapa JF kuhusu yule kijana aliyeenda jela kwa kumpa mshkaji wake geto lake wafanye yao na demu wake jamaa akiwa hayupo
Huko geto ukazuka ugomvi demu akapigwa akafa, jamaa akasepa mazima, kesi ikamwangukia mwenye geto lake akaenda lock up
Kwa maneno yake anasema kilichokuja kumuokoa kwa mujibu wa mpelelezi wake ni taswira ya mwisho kupitia macho ya marehemu... Ilimuonyesha mtu mwingine na sio yeye
Watakwambia kama wamehonga?
 
Hapa naona wahusika wanavyohaha KWA waganga kama ilivyo akili ya mwafrika, waganga kuleni pesa zao. Watamaliza waganga wote lakini lazima watadakwa tu, damu ya mtu huwa Ina sachi muhusika soon tutasikia wamedakwa.
Labda sio mganga wa Makonda!
 
Kwenye hii kesi kamata kamata itakuwa kubwa si ajabu hata wasiodhaniwa watakuwa sehemu ya watuhumiwa
Alipokimbilia kwa majirani na kutaja namba za baba yake alizimia hapohapo au vipi? Hakuwaeleza majirani kilichotokea au hata kutaja wauaji?
 
Kuna post hapa JF kuhusu yule kijana aliyeenda jela kwa kumpa mshkaji wake geto lake wafanye yao na demu wake jamaa akiwa hayupo
Huko geto ukazuka ugomvi demu akapigwa akafa, jamaa akasepa mazima, kesi ikamwangukia mwenye geto lake akaenda lock up
Kwa maneno yake anasema kilichokuja kumuokoa kwa mujibu wa mpelelezi wake ni taswira ya mwisho kupitia macho ya marehemu... Ilimuonyesha mtu mwingine na sio yeye
Kivipi mzee.? Mimi sijaelewa hapa yani kwenye macho ya marehemu unaona vitu?
 
Nukuu kutoka chanzo kisicho halisi:


Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha .

Mwisho wa Nukuuu.
Cheque ya 1bn?...alafu maelezo yaliyopo mbona aliacha kazi 1 month ago..wewe unasema alienda nyumbani kupumzika?..isije ikawa mnatumika kucirculate wrong info kwa manufaa ya wengine wanaohusika
 
Back
Top Bottom