Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Dada yake anaitwa tuno towo kavishe
Huyo mumewe kavishe alikuwa anafanya kazi airtel,ni mdogo wake na kavishe wa TBL
Sasa huyo tunu alikuwa muajiriwa wa bank miaka ya nyuma,alipiga mpunga mrefu sana akahonga mahakimu kesi ikafutwa,yeye na mumewe sasa wametakatisha zile pesa wanabiashara kibaoo mjini hapa
Kama shngap
 
Taarifa zinasema Bosi wake Bernadeta anajua kila kitu kwani ndiye alikuwa anamlazimisha kuandika hundi ya 1b kimakosa ili isionekane kwenye akaunt za benki lakini binti alikataa. mchezo huo aliufanya na watu wa madini.
Binti alikuwa anamjuza mchmbake kila kitu na mwisho akaamua kuja kibaha kwa wazazi na kuwaeleza yote na kua anataka aache kazi lakini wazazi wakamshauri asiache bali aliripoti Head office, gafla baba yake alipigiwa simu na kuambiwa amwambie mwanae aandike 24hrs resignation notice, mzazi akahoji kwanini......mwisho alipigiwa simu na wafanyakazi wenzake kuwa wanakuja dar kikazi na kuwa watamitia kibaha wamsalimie.........................................
Mkuu ni Bank gani kwa sasa inaruhusu kuandika cheque ya zaidi ya 1bn na ikapita? Mbona hii scenario inakataa? Ofisa mikopo aandike cheque ya 1bn? Sasa kazi ya Wahasibu itakuwa nini na ile sheria ya BOT ya kutokuruhusu kuprocess cheque ya zaidi ya 10M zaidi ya kufanya TISS tranfer?
 
Mkuu ni Bank gani kwa sasa inaruhusu kuandika cheque ya zaidi ya 1bn na ikapita? Mbona hii scenario inakataa? Ofisa mikopo aandike cheque ya 1bn? Sasa kazi ya Wahasibu itakuwa nini na ile sheria ya BOT ya kutokuruhusu kuprocess cheque ya zaidi ya 10M zaidi ya kufanya TISS tranfer?
Ni tiss sio cheque
Cheque mwisho milioni kumi
 
Mkuu kwani wewe ni muhusika au why una comment hivi😳
Ana haha tu anapotoshwa na waganga,hio crime simple yenye starting point footage za kutosha kutrace,hata mwanafunzi wa crime and investigation anaifanya vizuri na anawapata wauaji.
Hakuna group crime zaidi ya mmoja msipatikane labda tu wapotezee.
 
Dada yake anaitwa tuno towo kavishe
Huyo mumewe kavishe alikuwa anafanya kazi airtel,ni mdogo wake na kavishe wa TBL
Sasa huyo tunu alikuwa muajiriwa wa bank miaka ya nyuma,alipiga mpunga mrefu sana akahonga mahakimu kesi ikafutwa,yeye na mumewe sasa wametakatisha zile pesa wanabiashara kibaoo mjini hapa
Kwa hiyo pale Kunduchi yale Maduka na ile saloon ni geresha tu? Ama kweli mjini mipango
 
Halafu sijui nani huwa anawapotosha eti kununua simu mpya line mpya hautokamatwa? Sema tu labda mamlaka ziache tu sababu ya udogo wa ishu.
We kanunue uliyotengeneza mwenyewe kasajili hata kuzimu achilia congo, though unalink na simu ya mlengwa utadakwa tu.
Unaweza usikamatwe.

Twende na scenario hii, unaenda Sumbawanga kama mtembezi huru tu. Ukiwa huko unajenga urafiki na bodaboda au muhudumu wa guest. (Hapa unahakikisha unafikia guest house zile za cheap kabisa na ambazo hazina CCTV). Unahakikisha ukiwa huko na huyo boda au muhudumu wa guest unaepuka kutembelea maeneo yeyote yenye CCTV kama Banks au Bar kubwa kubwa.

Kwa siku tatu au nne ukiwa unampa na viofa ofa vya nyama na pombe na vitip vya pesa tayari utakuwa umejenga uaminifu nae. After that unaigiza umepotelewa na simu, unampa huyo boda 100k unamwambia akakununulie simu ya kawaida tu ya elfu 50 na aende tigo/airtel akasajili line chenji inayobaki yake. Akileta simu na line unahakikisha hiyo simu hausave wala kufanya mawasiliano na yeyote na mtu yeyote zaidi ya target yako pekee. Vocha unaweka za kukwangua tena ikiwezekana unanunua hukohuko kigomo vocha za kutosha then baada ya hapo unakuja Kibaha kupiga kazi.

Je ni rahisi kuweza kukutrace hapo??
 
Suala likishakuwa kwenye media mara nyingi utekelezaji wake unakuwa wa haraka
Yes si unaona watu wanavyofunguka source zinaanza kupatikana hata USA utumia media kuwanasa wahalifu,ukitangaza dau tu muuaji unampata
 
Back
Top Bottom