Inatosha,Dah nimeharibu kidogo![]()
Inatosha,Dah nimeharibu kidogo![]()
Anzisha utawala wa kiislam uone raha yake ilivyoChonde conde hawa waliofanya kitendo hiki kama watapatikana basi wasifunguliwe mashtaka yeyote Bali watajane wote mwanzo Hadi mwisho alafu na wao wapigwe kibiriti mbele ya camera .
Tusilee ujinga kama huu kwa kuwafunga kifungo Cha maisha.
Wanatakiwa kufa kama wao walivyo ua
Dogo yupo kitengo cha kusuka mota speaker.Dah nimeharibu kidogo![]()
Dogo yupo kitengo cha kusuka mota speaker.
Thus wahalifu wakitoka jela huja mtaani speed kubwa Sana kama ujio mpya wa zumaridi
Basi mtumishi usimalizie kusema ulimi umetuteleza[mention]Mrangi [/mention] huku nishaitwa dogo ujue njoo uokoe jahazi, hivi hananja mchungaji manaweza kumuita dogo kweli huu sii uonezi, afadhali mngeniita Tall hapo sawa
Kesi ya Mapenzi ukishakimbia eneo la tukio hakuna anayepoteza muda kukufuata ukishakimbia mbali!! Huku mhujumiwa pia akijua utatafuta wako na utaachana na wakwake!! Kuna statement ya mwajiri wake kumkana Kwa maelezo aliacha kazi mwezi mmoja!! Anyway labda alihofia ataelekezwa agaramie mazishi (kidding) ila inaonekana Kuna pa kuanziaUsicheze na kahama na kahama kuna matajiri alafu wenye roho za ajabu?
Pili, huyu dada alikuwa mapepe?
Tatu, kabla ya kwenda kibaha alifukuzwa kwa sababu za kiofisi ijulikani ni utovu au mengine kiofisi.
Nne hakuwa na cheo hiko ni Afisa mikopo.
Tano, matukio ya kahama kesi za kufanyiana unyama zipo sana sio mapenzi,sio biashara na n.k.
Uzuri wa huyu dada inaonyesha alikimbia kuofia vitisho kwa mwanamke mwenzake au mapenzi?
Umwnifumbua macho na kunipatia mbinu za kijasusiHawa wanaonunua simu mpya kariakoo, wanasajili na line mpya za voda wanajua hawatofahamika! Wanasahau kuna operation ya simu feki ilipita nchi nzima, wanasahau kwenda congo au msumbiji kununua simu ambazo imei zake haziwezi kua traced halafu waende congo au Rwanda kusajili line za tigo au airtel ili mawasiliano kwanza kutafutwa mtu asumbuke, wahalifu wa nchi maskini huacha alama kizembe sana ndio maana hukamatwa kama kuku
Inaweza kuwa visasi au kufuta ushahidi!! Ila Kwa Sasa Naona wamekoleza ushahidiKazi kweli kweli...
Mauaji ya visasi haya
Tufafanulie mkuuUkiwa Sudan khatoum na Rwanda kudivert call hauwezi kabisa, ukiwa bongo unaweza kudivert kwa njia nyingi, ningeweza kukufafanulia jambo juu ya hilo lakini ngoja niache kwanza
Bubu ndio hasikii?umechapia kidogoKama walitaka aishi wangechukua mafuta ya taa ya kutosha wakaweka kwenye vile vichupa vya mafuta ya cherehani halafu wakahakikisha wanamwagia masikio yote mawili asingesikia milele hadi anakufa au wangemfanya kua bubu kabisa yaani jamaa wapuuzi kweli kweli
Namba feki nayo hupiga Kwa numba halisi, say ya marehemu, pia mwenye namba feki hupigiwa na mwenye namba halisi kupewa maelekezo, hivyo ni rahisi sana kufuatilia namba feki!! Lazima kunakuwa na tree!! Sioni ugumu WA kuwakamata wauaji!! Anyway watu wanajisaulisha sana kumuita mlengwa ili uje kumuangamiza lazima utumie njia halisi (physical) ila by other means lazima utumie technolojia!! Na Dunia ya Sasa technology Haina Siri asilani
Tujichange tumtoe atupe codes