THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,226
- 2,025
Kuna nukuu mzee MagangaCheque ya 1bn?...alafu maelezo yaliyopo mbona aliacha kazi 1 month ago..wewe unasema alienda nyumbani kupumzika?..isije ikawa mnatumika kucirculate wrong info kwa manufaa ya wengine wanaohusika
Na kuna mwisho wa nukuu.
Sasa hapo unaweza kuchuja ili na wewe usitumike. Ila hitimisho ni hili halihitaji wewe usomee course hakuna tukio litatokea jeshi la Polisi lisijue huwa ni suala la muda tu. Nimeweka sawa maana mtu anasoma na majibu yake kabla ya kuelewa.