Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,779
- 21,048
Usijali hata ukitaka mbuzi nzima utakula tuuMkaninunulie nyama mnada wa loliondo mbona nitasema
We make it a deal
Usijali hata ukitaka mbuzi nzima utakula tuuMkaninunulie nyama mnada wa loliondo mbona nitasema
Watu ni makatili sana Yesu Rudi tufunge huu ukurasa wa ichi kizazi mtu wanamfuata kanisani kwenda kumuua.
Huko ni kwa ndugu na jamaaWasalimie same, sijui uko mjini, ndungu, makanya, au njoro wape salamu
So siku ya sabato kutakuwa na darasa. Ngoja niandae uniform zanguAmeshapokea mwaliko![]()
Hiu ngoma mapenz tu huko huko kazinah ah cheque ya billion moja sio ah ah dah ingekua rahisi hivyo basi wafanyakazi wengi wa bank wangekua mabilionea..eh nani alifanya clearance ya hiyo cheque..halafu kwahiyo mtu unapigiwa tu simu uache kazi ah ah
Viburudisho sio shida zetuHa ha ha na baada ya darasa ni viburudisho
Marehemu awezi kusemwa vibaya.ila aliachishwa kazi kwa sababu ( ).
Cheo chake ni afisa mikopo?.
Mdada mzuri aliyesumbua wanaume mpaka kumiliki gari aina toyota ratics new model.
Huyo aliyepiga simu ya mwisho kumwambia atoke nje ya kanisa ndo amechomesha.. katika ulimwengu wa sasa hakuna kitu rahisi kumshikisha mtu kama simu. Professional wangempiga bomba tu wapite hivi..
Sasa kumfanya mtu bubu au kutosikia si anaweza kutoa taarifa kwa kuandikaKama walitaka aishi wangechukua mafuta ya taa ya kutosha wakaweka kwenye vile vichupa vya mafuta ya cherehani halafu wakahakikisha wanamwagia masikio yote mawili asingesikia milele hadi anakufa au wangemfanya kua bubu kabisa yaani jamaa wapuuzi kweli kweli
Sasa kumfanya mtu bubu au kutosikia si anaweza kutoa taarifa kwa kuandika
Umeandika eng kuonesha msisitizo sioNever as you think,
Sasa kumfanya mtu bubu au kutosikia si anaweza kutoa taarifa kwa kuandika
Umeandika eng kuonesha msisitizo sio
Maana mtu anaweza asiweze kusikia au kuwa bubu ila akawa na uwezo wa kutoa taarifa kwa maandishi
Hoja yangu ni kuwa mtu anaweza akafanywa asiongee au kutosikia ila bado akawa anatoa taarifa kwa maandishiHivi unajua mkimchukua binadamu mzima, mmoja akashika mabegani na mwingine akashika miguuni mkimchekecha tu kama chekecheo mara 45 hamalizi siku saba anakufa akiwa amelala?