Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 2,060
- 1,888
Maneno ya aliyekata tamaa hayaDamu ni nzito kuliko maji waliotenda unyama huu arobaini yao itafika tu.
Maneno ya aliyekata tamaa hayaDamu ni nzito kuliko maji waliotenda unyama huu arobaini yao itafika tu.
Amna tunataka kuonyesha kuwa Kuna vyitu wanakuza sanaMkuu kwani wewe ni muhusika au why una comment hivi![]()
Ni huyu Tunu Towo Kavishe mwenye maduka pale Kunduchi njia panda ya kwenda Wet n Wild?Dada yake marehemu pia aliwahi kufanya kazi bank alipiga dili la mamilioni kidogo afungwe nadhani anaitea tunu kavishe,hao wadada ni wapenda hela sana asikudanganye mtu
Tupe scenarioDada yake marehemu pia aliwahi kufanya kazi bank alipiga dili la mamilioni kidogo afungwe nadhani anaitea tunu kavishe,hao wadada ni wapenda hela sana asikudanganye mtu
KumbeDada yake marehemu pia aliwahi kufanya kazi bank alipiga dili la mamilioni kidogo afungwe nadhani anaitea tunu kavishe,hao wadada ni wapenda hela sana asikudanganye mtu
Man subiria wahusika wote wanadakwa.Unajua hiiiView attachment 2549086
Mzee hawa wa tuma ela wamesumbua miaka nenda Rudi na hawashikwi
Kwa Tanzania hiiii na Dunia hiii watu ni weupe sana
Fikiria kigogo alivyosumbua na mpaka Leo Amna mwenye clues yeyote
Huo ni mtazamo wakoHuna HOJA Mimi Huwa nakaataa msemo wa malipo ni hapa hapa duniani uwongo mtupu
ANi huyu Tunu Towo Kavishe mwenye maduka pale Kunduchi njia panda ya kwenda Wet n Wild?
Huyo huyo aliiba mamilioni bank fulani nusu afungwe,mumeww ni mfogo wake na kavishe wa TBL wanaendesha landrover discovery,hao madada ni noma kwenye hela tusimtetee sana marehemu maana dada yake alichokifanya miaka iliyopita mmmmNi huyu Tunu Towo Kavishe mwenye maduka pale Kunduchi njia panda ya kwenda Wet n Wild?
Sindo huyuDada yake marehemu pia aliwahi kufanya kazi bank alipiga dili la mamilioni kidogo afungwe nadhani anaitea tunu kavishe,hao wadada ni wapenda hela sana asikudanganye mtu
Dah,kumbe na yeye ni bingwa wa kujilipua halafu sisi tunaenda kwa maduka yake kununua perfume/nguo kutoka USA kwa mujibu maelezo yake.Nimechoka


Nimekuonyesha App unaijua?Man subiria wahusika wote wanadakwa.
Ngoja mmoja apasuliwe speaker kwanza atataja chain yote.
Eti professional killer ndo waganga wenu wanavyowapotosheni
Taarifa zinasema Bosi wake Bernadeta anajua kila kitu kwani ndiye alikuwa anamlazimisha kuandika hundi ya 1b kimakosa ili isionekane kwenye akaunt za benki lakini binti alikataa. mchezo huo aliufanya na watu wa madini.Huyu kuna kitu alikifanya kwa mwenzie huko Shinyanga sema alietendewa hakutaka kumuachia Mungu akaamua kufanya retaliation. Huenda ni kwa mwanaume wake au kwa co-workers wenzake.
Alipangiwa Revenge mission kabisa na inaonesha mtu aliyetekeleza hilo alikuwa anamjua kabisa na kashasoma mazingira ya kwao so akaamua kuwapanga wajuba.
Ukiangalia psychologically aspects mzee wake kumuita binti yake kuwa alikuwa mpambanaji has a lot to do na tabia zake. Wanawake wengi wapambanaji wana ile aptitude ya "Getting it regardless" na "Wacha iwe mbaya tu" which means in case I we kwenye maslahi atahakikisha anagrab benefits zote pekeyake na kama atashindwa basi ataharibu. Hii spirit iko kwa watoto wengi wa kichaga.
Ndo huyu?Huyo huyo aliiba mamilioni bank fulani nusu afungwe,mumeww ni mfogo wake na kavishe wa TBL wanaendesha landrover discovery,hao madada ni noma kwenye hela tusimtetee sana marehemu maana dada yake alichokifanya miaka iliyopita mmmm
Kama ni hao nawafahamu vizuri sana,utawakuta dukani yeye na mumewe na Discovery yao wamepaki nnje ya maduka yao.Kumbe wapigaji tuHuyo huyo aliiba mamilioni bank fulani nusu afungwe,mumeww ni mfogo wake na kavishe wa TBL wanaendesha landrover discovery,hao madada ni noma kwenye hela tusimtetee sana marehemu maana dada yake alichokifanya miaka iliyopita mmmm


Dada yake anaitwa tuno towo kavisheTupe scenario
Usiwachukilie hivyo huna proofKama ni hao nawafahamu vizuri sana,utawakuta dukani yeye na mumewe na Discovery yao wamepaki nnje ya maduka yao.Kumbe wapigaji tu![]()
Nilikuwa sikuoni kumbe umebadili jina.. I miss you too na leo tu nilikukumbuka 😜