Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Mbona karate mpaka china wanasoma tena yapo mashindano ya kimataifa.

Nimejifunza karate chuoni ila ni marufuku kupigana mtaani yaani ukikutwa umepigana basi unafukuza ,tulienda mpaka kenya miaka ya 2000's kushindana tena mfumo wa Taekwondo..

Chuo pale ulipigana tu mtaani unafukuzwa ,washafukuzwa watu wengi hapa jamaa zangu wana mikanda na wamepata kipato wamefika mpaka china ila ni wapole maana ni sehemu ya mazoezi.

Karate ni mchezo kama boxing ,kule zenji wakifungia kuona ni mchezo hatari ila baadae walikuja kufungua .

China kuna vyuo kiboa hata ukiona wale wakubwa wao kama mashaolin ,wanapinga watu kupigana wapo peace sana ila wanafundishwa karate kwa sana.
 
Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Wajinga hao wamekazana na mpira wakati karate nin rafiki yangu kachukua mkanda china ,wengine wanaishi nje kwa ajili ya mchezo huo.

Kwa hiyo basi wafungie gym na sehemu za kujifunza boxing🤣🤣🤣
 
Mimi kama Mtanzania, ninaanza kukitaja kituo cha mafunzo ya mapigano na itikadi kali kilichopo kwenye Msikiti wa Ipogolo pale Iringa Manispaa pamoja na Msikiti uliopo kwenye Kijiji cha Kitayawa njia panda ya Nyabula Wilaya ya Iringa Mkoa wa Iringa.
THis one, i know. Kwa mara ya kwanza nimefika pale 2003..nimekikuta pia 2022
 
Chuo hakijasajiliwa.

Chuo kinaenda kinyume na sheria za nchi na kukiuka haki za watoto kama vile kupata elimu rasmi.

Chuo kinafundisha "itikadi kali". Hatuna mipango hiyo, hili taifa ni secular na litabaki hivyo, hatuna haja ya kumchinja mkristo wala muislamu kisa sio wa dini mojawapo.

Hata ukisema ktk Quran kuna kila kitu kama mnavyosema

Geography,Physics,Chemistry,Mathematics lakini hakuna formula humo. Tutatengeneza taifa la wajinga,ingawa mpaka sasa ni taifa la wajinga.

Iran, Iraq, Saudi kote wanafundisha science wanawajua kina Isaac Newton,Nichola Tesla na formula zao, na wanazitumia. Huko wamekazana kuponda mifumo ya elimu na kuiita mifumo kristo.
Hapo Afisa Tarafa na Mtendaji wa Kata husika wanapaswa kuhojiwa kwa nini shughuli hizo zimeendelea eneo hilo unnoticed hadi Kamati Ya Ulinzi na Usalama Wilaya kugundua?

Mtendaji wa Kata ndiye mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Kata.
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wikipedia imeandika muanzilishi wa Boko haram Sheikh Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri Madrassa who did not had the opportunity to attend the formal education.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
Chuo kama hicho pia kipo Igunga karibu kabisa na shule ya msingi chipukizi nyuma ya kanisa katoliki yaani wamejengewa madarasa kama ni Mara yako ya kwanza kufika hapo utajua ni shule ya sekondari but jengo la msikiti mkubwa lililiopo humo ndo litakupa maswali, yaani hata upite SAA nane usiku utaona pilikapilika hawalali, sasa unajiuliza hawa watoto huu ni umri Wa kuwa darasa la sita,saba na sekondari sasa hapa wanafanya nini? Na wapo zaidi ya 300, na wanaohitimu hupelekwa wapi???? Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Igunga chini ya mwenekiti mkuu Wa wilaya mama mchapakazi Tafadhali chukua hatua hawa watoto warudishwe shule wengi bado walipaswa kuwa shule za msingi hili wanalofundishwa ni fundamentalism na si dini hawa wanafundishwa kuwa magaidi Wa kesho, komesha hili kama ulivyokomesha wale makahaba waliokua wanajiuza Barbara ya mwanzugi
 
Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Taasisi za kidini na mafunzo ya Mapigano hapana. Kamati za ulinzi lazima ziwe na taharuki kwa sababu huko kwenye mapigano ya waislam yalianza kama haya. Tuna mifano mingi sana wa haya. Cha kujiuliza kwa nini yanatamalaki kipindi hiki cha mama?
 
Natumai vyombo vya ulinzi na Usalama vimo humu watachukua hatua mapema sana either kwa ukimya au kwa kutoa taarifa.

Hii Amani yetu Watanzania imetufanya tujisahau sana hakika, hivi na kesho Kkkt, kesho kutwa Rc, mtondogoo wakaanza kufundishana Judo na Karate makanisani itakua nchi ya aina gani hii.

Plse vyombo vya ulinzi na Usalama kwa masuala nyeti kama haya naomba asiangaliwe MTU usoni angalieni Nigeria wanavyoteseka Leo, angalieni Syria na Isis wanavyoteseka, angalieni Hamas, Hezbollah, Houthi haya yote yalikua ni matokeo ya kuzembea mapema.

Mungu ilinde Tanzania na fichua waovu wote wenye nia mbaya na nchi yetu.
Wanakuwa inspired na Barbarosa.
Mambo ya akina Bab aOrju
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wikipedia imeandika muanzilishi wa Boko haram Sheikh Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri Madrassa who did not had the opportunity to attend the formal education.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
Umeongeo vizuri sana mkuu.
 
Wanaacha shule nchi nzima du..kweli waislam na wakristo wa Tanzania ni maadui ila
hujifanya ndugu. Mazoezi ni kosa bongo haya fuga tanbi lako ushushie na manyama ya kondoo.
Kwa nini yasiwe mazoezi ya mpira au riadha ila mapigano?Kuna uhusiano gani kati ya uislam na mapigano?Kwa nini iwe vituo vya kiislam tu ndo vinatoa aina moja ya mazoezi?
 
Ila binafsi naona kufundishwa karate ama judo sio kosa ila kinachotakiwa kufanywa na vyombo vya ulinzi ni kufuatilia dhima ama lengo lililopo nyuma ya mafunzo hayo, kama ni kwa kujilinda haina shida ila kama ni kwa ajili ya kudhuru watu wengine kwa kigezo Cha Imani basi hilo ni kosa kubwa sana
 
Hawa ndio watu mzee wetu Mohamed Said anatuambia walikua wameelimika kabla ya kuja wamissionary, hili nalo anaweza kusema ni mfumo kristo ndio unawazuia vijana kujifua kwenye misikiti na kufundishana itikadi kali. Sema wahuni huzeeka pia.
Ila wanahistoria nao wanatupiga chabga la macho. Utasikia Africa had the same level of development as Europe bybthe 15th Century.

Evidence utasikia presence of Early Universities. Uliza sasa ni zipi. Utasikia in Timbuktu and Kumbi Salehe, there were early Universities. Sasa hapo unaweza kudhani hizo ni kama Oxford au Edinburg kipindi kile. Wapi Bwana, kumbe ni madarasa ya kufundisha Qurani.
 
Chuo kama hicho pia kipo Igunga karibu kabisa na shule ya msingi chipukizi nyuma ya kanisa katoliki yaani wamejengewa madarasa kama ni Mara yako ya kwanza kufika hapo utajua ni shule ya sekondari but jengo la msikiti mkubwa lililiopo humo ndo litakupa maswali, yaani hata upite SAA nane usiku utaona pilikapilika hawalali, sasa unajiuliza hawa watoto huu ni umri Wa kuwa darasa la sita,saba na sekondari sasa hapa wanafanya nini? Na wapo zaidi ya 300, na wanaohitimu hupelekwa wapi???? Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Igunga chini ya mwenekiti mkuu Wa wilaya mama mchapakazi Tafadhali chukua hatua hawa watoto warudishwe shule wengi bado walipaswa kuwa shule za msingi hili wanalofundishwa ni fundamentalism na si dini hawa wanafundishwa kuwa magaidi Wa kesho, komesha hili kama ulivyokomesha wale makahaba waliokua wanajiuza Barbara ya mwanzugi
Niliwahi kusema humu siku moja. Haya malalamiko ya akina Mzee fulani na Bibi fulani humu yanaakisi harakati fulani zilizofichika. Ukisoma wanachoandika kwa jicho la tatu utayaona haya. Basi hizi taasisi ziko kila mkoa na ni mkakati maalum.
Soon ya Panya road wa kiislam yataonekana
 
Kuna upuuzi mwingine tunautaka wenyewe

Kuna ulazima gani wa kufundishana karate tena misikitini?

Wakati huo kushakuwa na dhana mbaya juu ya hilo

Kuna ulazima gani wa kuwaachisha watoto shule??
Wakati wao wanaachishana shule na kufundishana kareti misikitini wenzao wa dini nyingine wanajifunza masomo ya kimagharibi yenye kutoa ajira. Mwisho wa siku wanakuja kuusingizia mfumo Kristu
 
Usinyamaze
Nenda katoe taarifa kwa Mwenyekiti wa Mtaa, (Kitongoji) au Kiongozi yeyote wa Kijiji asiye kuwa mwenye siasa kali.
Utakuwa umefanya jambo muhimu sana na kuokoa maisha ya watu wasio na hatia.

Wananchi ni lazima tuwajibike ili kulinda kizazi chetu.
Dini au imani yoyote itakayofundisha vijana wetu maadili maovu lazima yaripotiwe katika vyombo husika.

Ziko nchi lengo lao kuharibu Umoja na utamaduni wetu kwa kutumia ushawishi wa pesa.
Tatizo wanatafutiwa nyumba na mashekh kwenye Ile mitaa yenye waswahili wengi. So utakuta viongozi wote wa mtaa pande Ile ni Muslim
Sasa wanapewa vihela ...wanageuka ATM za mashekh
 
Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku.

Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)

Mkuu wa Wilaya ha Longido amefanya hilo leo baada ya kamati ya usalama kupata taarifa juu ya mafunzo yanayofanywa kwenye chuo hiko kisichosajiliwa.

Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.
DP WORLD"kimkakati zaidi"
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wikipedia imeandika muanzilishi wa Boko haram Sheikh Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri Madrassa who did not had the opportunity to attend the formal education.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
Msako mkali uendeshwe nchi nzima kubaini vyuo hivi, na kuvifunga haraka sana, mifano ipo mingi kwa nchi mbali mbali, pia wananchi watoe taarifa kila wanapovibaini vyuo hivi.
 
Back
Top Bottom