Namfunga huyuLeo pep ameamua awajie kivingine View attachment 2930552
Leo ndio mwisho wa ndoto ya ubingwa,unapigiwa hapo nyumbani kwako 🤣😂😂Diaz hajawa mtulivu
Elliot hajawa mtulivu.
Hao wachezaji wawili wanatosha kuwachinja hawa city vizuri kabisa.
Elliot sijui alikua besti wa Henderson yaani dogo mipira yote anataka kurudisha nyuma hata simwelewi huyu dogo.. Diaz nae mishe ni nyingi sana leo ni kua accurate sio bla bla za hapa na pale...Diaz hajawa mtulivu
Elliot hajawa mtulivu.
Hao wachezaji wawili wanatosha kuwachinja hawa city vizuri kabisa.
Bado Yuko vizuri mpaka iishe tuliza moyo jombaElliot sijui alikua besti wa Henderson yaani dogo mipira yote anataka kurudisha nyuma hata simwelewi huyu dogo.. Diaz nae mishe ni nyingi sana leo ni kua accurate sio bla bla za hapa na pale...
YNWA
Diaz akili haipo haraka kama miguu yake.Elliot sijui alikua besti wa Henderson yaani dogo mipira yote anataka kurudisha nyuma hata simwelewi huyu dogo.. Diaz nae mishe ni nyingi sana leo ni kua accurate sio bla bla za hapa na pale...
YNWA
Kama ni mtazamaji wa EPL basi gemu 10 zilizobaki fahamu sio rahisi kwa timu zote aisee...Leo ndio mwisho wa ndoto ya ubingwa,unapigiwa hapo nyumbani kwako 🤣😂😂
Nataka kuona progressive passes mkuu...Bado Yuko vizuri mpaka iishe tuliza moyo jomba
YNWA
Klopp ana kibarua sana haya mapumziko kuwapa maarifa maana mpaka sasa tuna 1 shot on target moja ule mpira wa adhabu wa mwisho kupigwa na Szobo...Diaz akili haipo haraka kama miguu yake.
Mkuu game ya presha hii bado atatulia naamini ..Nataka kuona progressive passes mkuu...
YNWA
Ile free header ya szabo imemnyima dogo assist Kali Sana na angekaa sawa pia ..Elliot sijui alikua besti wa Henderson yaani dogo mipira yote anataka kurudisha nyuma hata simwelewi huyu dogo.. Diaz nae mishe ni nyingi sana leo ni kua accurate sio bla bla za hapa na pale...
YNWA
SALAH anaingia kufungaNamfunga huyu
Naunga mkono hojaSALAH anaingia kufunga
Toa Gomez
Weka Robertson
Tunashinda