Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Liverpool sasa kila media ni Salah
Mwaka jana media zote ilikuwa kuhusu Mane!
Ona bao na Everton alilopaswa kutoa kwa Salah,ona jana ile kapiga tiktak wkt angetulia tu!
Cha kufanya Klopp akae nae chini amuambie,akirudia tena akae nje!
Ila kwa kipa sasa ni muda mzuri wa kumpanga kipa Ward
Nahisi Ni Hile Red Card aliyopata vs Man City Ndiyo iliyomuondoshea Confidence! Na lawama alizotupiwa na Mashabiki Siku hile ya Everton pia Zimezidi Kumuondoshea Confidence! Pia Kushine Kwa Salah kunakomfanya aonekana Salah Main man Wa Timu Kumemjengea Kitu kama Jealous flani hivi ambayo Psychologically inamuondoshea Confidence! Na vile vile inaonesha Wazi Kufanyiwa Rotation Huwa Haridhiki hasa akiangalia Kuwa Kwanini Salah yeye Hafanyiwi Rotation!!!
Ni kweli Kocha anapaswa Akae naye Kitako Anongee nae kabla Hali ya Kiwango Chake Haijawa mbaya..