Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ubaya wa Liverpool. Wanakaza mbele. Nyuma wanaachia.
Ugonjwa wao ule ule. Tangu mwaka Jana. Wanaongoza. Lakini wanakuja kutoa suluhu.
 
Kiukweli mlistahili kushinda nafasi mlitengeneza nyingi tu pana moja Salah kapiga nyanda akacheza sasa mane sijui alitaka afungaje pale angeweza kutulia watu walikuwa mbali au angemrudishia Salah kiu laini tu.
 
View attachment 657384Hivi hapa kuna timu inashiriki UEFA?????!!!!!!


Hapo Ndipo ulipoishia Kushangilia Kupata Sare na Liverpool tena game ya Nyumbani huna jinsi....!

Sisi wacha tujilaumu Coz Kutoka Sare na Janvi letu kama Arsenal tunaemla 4,4 Ni Masikitiko...

"Endelea Kuja hapa Kufurahi"



Uwezo umewaishieni hapo visingizio hatutaki
Kila goli likifungwa lazima kuwe na makosa yamefanyika
 
Kama Kawaida Jürgen Klopp amekuja na Nyimbo Yake ya Siku Zote isemayo ↓↓

"We need to learn from those five minutes at Arsenal"


Kila siku "
We Need to Learn" Sasa Huyu Sijui Ni Mwanafunzi Gani Mwaka Wa Tatu huu anajifunza lakini Hafahamu namna ya Kufaulu!!!!!
 
Jamie Carragher: "You can't expect attacking players to score every chance they get. They've scored 3 away from home at Arsenal. The big problem is Liverpool can't hold onto leads."

Kipa + Mabeki + DM
= They will never Hold onto lead
 
Tokea Jürgen Klopp atue Liverpool October 2015, Liverpool imeshafunga Magoli 174 na Kufungwa 105 katika Premier League games tu.

Ndani Ya Misimu Miwili na Nusu Tumesha Conceded Magoli 105 (Huenda ikawa Ni Rekodi Mbaya Zaidi Kuwahi Kutokea Kwa Liverpool)!!!! Hapa bado Kocha hajaona tu Tatizo???
 
Ubaya wa Liverpool. Wanakaza mbele. Nyuma wanaachia.

7387f21d0caf1ba738d3a7ad5923912d.jpg
 
Tokea Klopp aje Liverpool usajili aliofanya ametumia:-

£36m kwa Salah
£35m kwa Oxlade-Chamberlain
£34m Kwa Sadio Mane
£25m Kwa Wijnaldum

Lakini ametumia £17m tu Kwa Kipa na Mabeki!!

Dah! Klopp inaonesha Wazi Kuwa Hana hasa Bajeti ya Makipa na Mabeki...!!!
 
Point moja ugenini HAINA ubaya wowote!
Wewe team yako haijawahi pata sare?
Jana mane,coutinho,salah,firmino wote hawa wameanza mi nilijua gunners baada ya kufungwa Yale mawili mvua ya mabao ilikuwa inashuka lakini kumbe kichwa cha mwendawazimu 3 goals in very few minutes
Mlitakiwa mfungwe jana dadeki!!!!!
 
Nahisi Sadio Mane Msimu huu Kapotea Mchezoni! au Macho yangu tu??

Liverpool sasa kila media ni Salah
Mwaka jana media zote ilikuwa kuhusu Mane!
Ona bao na Everton alilopaswa kutoa kwa Salah,ona jana ile kapiga tiktak wkt angetulia tu!
Cha kufanya Klopp akae nae chini amuambie,akirudia tena akae nje!
Ila kwa kipa sasa ni muda mzuri wa kumpanga kipa Ward
 
Hapo Ndipo ulipoishia Kushangilia Kupata Sare na Liverpool tena game ya Nyumbani huna jinsi....!

Sisi wacha tujilaumu Coz Kutoka Sare na Janvi letu kama Arsenal tunaemla 4,4 Ni Masikitiko...

"Endelea Kuja hapa Kufurahi"
Pole sana mtani na timu yako siku ya jana
Ila ukweli utabaki kuwa ukweli Ninyi ni wabovu kupitiliza
Sidhani kama ulitegemea droo after first half au baada ya kutufunga bao la pili
Hapa FA wasifikirie wamepeleka timu uefa yaleyale ya sevilla
Sidhani kama liver mtabeba taji lolote this season hata next season
Coutinho!!!!!!? kachukue makombe timu nyingine hii haikufai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom