Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Utapasuka kichwa hicho kaka, relax.I wish I could answer you
Basi tu naumwa
Ila wewe ni msenge sana
Utapasuka kichwa hicho kaka, relax.I wish I could answer you
Basi tu naumwa
Ila wewe ni msenge sana
Haya.Utapasuka kichwa hicho kaka, relax.
Pole sana mwamba hv bado unaumwa?I wish I could answer you
Basi tu naumwa
Ila wewe ni msenge sana
Mimi na matatizo ya upumuaji mkuuPole sana mwamba hv bado unaumwa?


Liverpool halisi(kwa sauti ya Malafyale)
Toka zile finals FA na Carabao tulichezaga na Chelsick dakika120
Sina hamu tena na kuangalia live match.
Mimi yangu marudio tu.
Najichekia marudio hapaBado mpaka leo haujazisahau? Imepita hiyo tugange ya msimu huu. Kipara ana 100% win tupo nyuma yake kwa 2 points na GD ya 3. Huenda ile race imerudi msimu huu.
Kila nikiangalia na kutafakari mbadala wake bado sijaona kwa sababu zifuatazo ambazo kwa maoni yangu itachukua mda kupata mbadala wa Salah:
1)Salah ni mchezaji ambaye ana mifupa migumu sana ni nadra sana kupatwa na majeraha yakumuweka nje mda mrefu, Huyu jamaa anaweza kukaa msimu mzima hajapata majeraha, wachezaji wa aina hii tokea naijua Liverpool ni Dirk Kuyt na Suarez ndio waliokuwa na mifupa migumu kama ya Salah. Majeraha yaliyomzingua Salah mda mrefu ni pale alipotenguliwa bega na yule beki mwehu wa Madrid.
2)Anakupa matokeo mda wowote,
3)Kasi; anakimbia utadhani ndege ya kijeshi hii inampa kocha urahisi wakufanya counterpressing.View attachment 2759217

Chelsick ameninyima laki 7 mae sana yaaniChelsea kawekwa tayari 😂
Klopp kakalili 433 tu itakayo mpa matokeo, Mfano Nunez ni mzuri endapo utatumia mfumo tofauti ila yeye kang'ang'ana na 433. Ile pre season alitakiwa kutumia mifumo tofauti ili ajitathimin na aanze kuitumia kulingana na wachezaji alio nao.Nakubaliana na wewe. Lakini kukosa mbadala wake haina maana tukae tu. Hapa sasa inakuja suala la matumizi ya wachezaji waliopo na kutwist mfumo kwa ajili ya ajaye.
Halaand is not Aguero ila Pep katwist mfumo ili kumtumia Halaand na ananufaika.
Ishu kwa Klopp anajiandaaje na Maisha bila ya Salah?? Big task to him.
Hivi Kepa alikuja Chelsea kwa Mkopo?Most Expensive Goalkeepers
1.Aaron Ramsdale - Arsenal (£69.5m)
2.Ederson - Man City (£52.1m)
3.Alisson - Liverpool (£52.1m)
4.Andre Onana - Man Utd (£43.4m)
5.Robert Sanchez - Chelsea (£26m)
6.Odysseas Vlachodimos - Nottingham Forest (£26m)
7.Jordan Pickford - Everton (£17.3m)
8.David Raya - Arsenal (£17.3m)
9.Emiliano Martinez - Aston Villa (£17.3m)
10.Arijanet Muric - Burnley (£17.3m)
Nadhani ni list ya thamani zao kwasasa sio bei zilizotumika kusajiliwaHivi Kepa alikuja Chelsea kwa Mkopo?




Download hiyo app MkuuNaonaje mpira online hasa mechi za Liverpool???