Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp kakalili 433 tu itakayo mpa matokeo, Mfano Nunez ni mzuri endapo utatumia mfumo tofauti ila yeye kang'ang'ana na 433. Ile pre season alitakiwa kutumia mifumo tofauti ili ajitathimin na aanze kuitumia kulingana na wachezaji alio nao.

Ujue hii mifumo ni kwa ajili ya aina ya wachezaji ulionao.

Mf. Bobby kwenye last three alipaswa kuwa kama pure CF ila Klopp alimtumia tofauti sana na kwa mafanikio. Unavyoona 4-3-3 sio lazima ikae hivyo wakati mechi inaendelea kuna vi pattern vinabadilishwa humo ndani wakati wa kuzuia unakuta kivyake na kushambulia tofauti.

Mf. Mechi ya Newcastle magoli ya Nunez yalitokea upande wa Salah ambaye yeye alisogea nyumba kidogo.

Pep line up inasoma 4-3-3 ila wanavyocheza not exactly 4-3-3. See Klopp line up 4-3-3 ila utakuta 3-2-2-3, 3-2-3-2 unatumika. Sasa humo ndani ndio kuna patterns za muhimu sana ambazo zinaweza kumng’arisha mchezaji au kumpoteza. Sasa ili uone ubora wa mtu kama Nunez pale kati kwenye MF. Uwe na DM mzuri ama lone DM au pivot ili Nunuze akae mbele akisubiri mipira ije long balls, crosses through passes, hivo.

Pale LFC hatuna DM katili huyo ambaye atapiga dirty jobs. Huyo Macca tunamkosea he is trying kwa uwezo wake but he is that typical no. 8. Its up to Klopp na vijana wake. But so far Klopp amejaribu sana na ugeni wa MF’s wake lkn timu inapata matokeo ambayo ni ya muhimu na namba moja kuliko stats zingine zote.

Bado tunajitafuta kupata rhythm ile Klopp’s Football binafsi sijaiona bado. Performance ya last 8 matches of the last leason.

Mtu ambaye angetupa balance nzuri kwenye kiungo ni Thiago. Combo ya Thiago + Macca + Szoboszlai ni moto sana ila ndio hivyo Thiago na majeruhi ni coins na konda.
 
Next game ni totts

Our defense na mido has to be super alert of the power ya attacking force ya totts

McAllister Bado ananipa wasiwasi - we need his motm performance Siku hiyo

Toughest test so far
 
Ujue hii mifumo ni kwa ajili ya aina ya wachezaji ulionao.

Mf. Bobby kwenye last three alipaswa kuwa kama pure CF ila Klopp alimtumia tofauti sana na kwa mafanikio. Unavyoona 4-3-3 sio lazima ikae hivyo wakati mechi inaendelea kuna vi pattern vinabadilishwa humo ndani wakati wa kuzuia unakuta kivyake na kushambulia tofauti.

Mf. Mechi ya Newcastle magoli ya Nunez yalitokea upande wa Salah ambaye yeye alisogea nyumba kidogo.

Pep line up inasoma 4-3-3 ila wanavyocheza not exactly 4-3-3. See Klopp line up 4-3-3 ila utakuta 3-2-2-3, 3-2-3-2 unatumika. Sasa humo ndani ndio kuna patterns za muhimu sana ambazo zinaweza kumng’arisha mchezaji au kumpoteza. Sasa ili uone ubora wa mtu kama Nunez pale kati kwenye MF. Uwe na DM mzuri ama lone DM au pivot ili Nunuze akae mbele akisubiri mipira ije long balls, crosses through passes, hivo.

Pale LFC hatuna DM katili huyo ambaye atapiga dirty jobs. Huyo Macca tunamkosea he is trying kwa uwezo wake but he is that typical no. 8. Its up to Klopp na vijana wake. But so far Klopp amejaribu sana na ugeni wa MF’s wake lkn timu inapata matokeo ambayo ni ya muhimu na namba moja kuliko stats zingine zote.

Bado tunajitafuta kupata rhythm ile Klopp’s Football binafsi sijaiona bado. Performance ya last 8 matches of the last leason.

Mtu ambaye angetupa balance nzuri kwenye kiungo ni Thiago. Combo ya Thiago + Macca + Szoboszlai ni moto sana ila ndio hivyo Thiago na majeruhi ni coins na konda.

Kwenye DM mtu wa kazi chafu & mkatili NAKAZIA
Macca huruma nyingi na uoga
Tungepata muhuni kama Wilfred Ndidi au sandro Tonali ingekuwa poa sana pale DM, sema ndo hivyo tena..... YNWA🫶
 
Kwenye DM mtu wa kazi chafu & mkatili NAKAZIA
Macca huruma nyingi na uoga
Tungepata muhuni kama Wilfred Ndidi au sandro Tonali ingekuwa poa sana pale DM, sema ndo hivyo tena..... YNWA🫶
Tunahitaji Mtu mwenye akili kama alivyokuwa Prime Busquet sio kazi chafu na ukatili
 
Tunahitaji Mtu mwenye akili kama alivyokuwa Prime Busquet sio kazi chafu na ukatili
-Kuna professional footballer asiyekuwa na akili?
-Sergio Ramos na Pepe kwa ukatili wao pale Real Madrid wamehudumu miaka mingapi? Na bado timu kubwa ziliwanunua kwanini?.
-Prime Busquet kwa upeo wako wa kufikiri itachukuwa mda Gani kumpata mchezaji wa khariba yake?. Bila kusahau falsafa ya timu lazima izingatiwe.

Kazi chafu ni Rejesta ya kawaida sana usikaze fuvu wajina.
 
Next game ni totts

Our defense na mido has to be super alert of the power ya attacking force ya totts

McAllister Bado ananipa wasiwasi - we need his motm performance Siku hiyo

Toughest test so far
All in all we're going to win this game...
 
Next game ni totts

Our defense na mido has to be super alert of the power ya attacking force ya totts

McAllister Bado ananipa wasiwasi - we need his motm performance Siku hiyo

Toughest test so far

Klopp destroy this dude. Macca is pure no. 8 but radher Klopp opt to play his natural no 6 (Endo) who signed him this summer. Nafikiri Klopp amelazimishwa na mazingira sio willing kumsajili Endo.

Ngoja tuone what next to him
 
Kwenye DM mtu wa kazi chafu & mkatili NAKAZIA
Macca huruma nyingi na uoga
Tungepata muhuni kama Wilfred Ndidi au sandro Tonali ingekuwa poa sana pale DM, sema ndo hivyo tena..... YNWA🫶

Macca sio typical DM. Ni pure no. 8
Bado Klopp anamuamini yeye hapo plus Jones over Bajcetic & Endo, tusubiri Thiago akirudi tuone combo yke Macca na Szobozslai japo kwa dakika chache hizo hizo atakazocheza kabla ya kurudi kitandani. Ndio itamfumbua macho kuhusu talents za Macca & Szobozslai as No. 8 wakipata good DM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom