King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
ila Chelsea utadhani wanacheza Ligi ya Bongo yani Miguuni mwao unaona Vipaji na kujituma lakini outcome ni sifuri
😂 😂 😂 Mpaka sasa Hammers hawana goli 3 kweli na bahati kwenye mpira ipo...Tunashinda hii game
Hapo bado Antonio hajatuweka, bila kufunga goli 3 au 4 leo hatutoboi
Case study Nottingham Forest last msimu wa 2022 2023 walisajili zaidi ya wachezaji 18 lakini badala ya kugeuka neema kwao ikawa kama nuksi walibakia mkiani mpaka dakika za mwisho wakajinasua...ila Chelsea utadhani wanacheza Ligi ya Bongo yani Miguuni mwao unaona Vipaji na kujituma lakini outcome ni sifuri
😂😂😂Sio siri Duniani kuna Watu wana vipaji sana yani! Hapa tuna screens 3 za Game ya Liver, Arsenal na Chelsea kuna watu wanaangalia games zote 3 kwa wakati mmoja na matukio yote kwenye games zote 3 wanayaona kwa ukamilifu.
Aisee mimi nimeshindwa kabisa nimeamua kubaki na game yetu tu.
Chelsea anashuka daraja.Chelsea kawekwa tayari 😂
Chelsea anashuka daraja.