Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ngoja nikawasikilize wapinzan wangu man u...napenda sana ugomvi
 
Now how do we balance pressing and defending... That the elephant task...

In those days kabla ya VVD na Allison kutua we could leas by 2 or 3 lakini gemu itaisha sare ama kipigo kwa sababu balancing when the spaces uwanjani was a bit problematic and i see same situation hapa.. Take goli la leo la Wolverhampton tazama how the assist was made 3 or 4 Liverpool players didn't have a clue how to react and that dangerous for us...

Timely reaction is the key...

YNWA

Balancing it start with DM (center of the park). Ukiwa na DM natural mwenye uwezo wa ku read game na movements za opponents hapa utaanza kutengeneza balance ya timu.

Tunakosa DM same tunakosa system as a team. We need a good formation that can suit our players 4-2-3-1 is a good one. This 3-2-2-3 if you have quality DM and LCB is a good one but we don have them. Better 4-4-2 we have bodies or 4-3-3 even 4-2-2-2 can serve us.
 
Huyu Henderson hapana aisee yaaani kutoka kua Captain wa Liverpool mpaka kwenda kula zile riyal ujue ni bahati kubwa sanaaa....

YNWA

Sana. Ila angalia maajabu hapa ya vipaji.

Fabinho £40m LIVERPOOL captain £12m. Kelele zote za top reds ila that man is ana avarage player. Lucky man to wear Liverpool armband.
 
Screenshot_20230916_190109.jpg


Hata Klopp hajapepesa maneno kwamba kipindi cha kwanza tumekua na bahati kulikooo...

YNWA
 
Sana. Ila angalia maajabu hapa ya vipaji.

Fabinho £40m LIVERPOOL captain £12m. Kelele zote za top reds ila that man is ana avarage player. Lucky man to wear Liverpool armband.
Poor Fabinho hua najiuliza huu ulikua usajili wa Klopp au Edwards maana it's like Klopp was forced to accept th boy... Remember alivyosajiliwa he had to wait ages kuanza kupata namba kuanza then last season he had a bad season n off he was sold...

YNWA
 
Mashaka zaidi kwa CB what if Vvd , Konate wakapata injuries za muda mrefu then totally we are doomed
True huu msimu game management ni muhimu sana kwa hawa senior players changamoto kama unavyoona tunashinda kibishi hata kuwapa sub muda sahihi ni ishu sana kwa Klopp....

Tuombe hili pepo la majeruhi lipite mbali nasi msimu huu.

YNWA
 
He was boring INDEED as a experienced and professional coach as him hakustahili kuyazungumzia hayo kama sababu ya kupoteza mechi
Presha za ubingwa ni noma sana aisee tetesi ni kwamba hata Arteta baada ya kukosa ubingwa last season he almost quit Arsenal maana aliunusa baadae majeruhi yakawa cost kuukosa ubingwa...

Kipara sio mtu powa imagine sasa anatoka Grealish anaingia Jeremy haha moto ule ule, key to win EPL ni kua na kikosi kipana na kukwepa pepo la majeruhi as much...

YNWA
 
Hapo tu ndio hua natoa macho ndugu yangu maana Klopp anapingana na data proven stat kwamba dogo output yake kama RB anatuangusha sanaaaa....

YNWA
Pia UEFA fainali na Madrid Goli pekee la ushindi na ubingwa wa R.Madrid lilitokea kwa TAA pale Klopp angetakiwa kushtuka Dogo akiwa RB mda mwingine anakuwa kama chambo. Wahuni wakiwa wanatafutaga magoli ya Comeback Huwa hawachagui upande mwingine, wanasarandia upande uleule wa TAA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom