Kaka yako huyo, itabidi umchane LIVE 😄Jamaa anaona timu yake pekeyake
Timu yetu sote hii.
Asitupangie namna ya kuishangilia na kuikosoa.
Hii mechi nilikuwa naicheki pale PICNIC ARUSHA, daah, nilikuwa mdogo kama piriton, ilinihuzunisha mno mno mnoPia UEFA fainali na Madrid Goli pekee la ushindi na ubingwa wa R.Madrid lilitokea kwa TAA pale Klopp angetakiwa kushtuka Dogo akiwa RB mda mwingine anakuwa kama chambo. Wahuni wakiwa wanatafutaga magoli ya Comeback Huwa hawachagui upande mwingine, wanasarandia upande uleule wa TAA.
Uwe unatumia neno mimi na sio sisi sababu hatujawahi kuona liverpool halisi mwingine tofauti na wewe humu.
Sawa ndio jopo lako la liverpoop Halisi linawatu gani wengine? Hupaswi kusema Sisi we sema mimi acha kukaza ubongo.Wapuuzi wanao tukana team hawawezi kuwa Liverpool HALISI,ni Liverpool waganga njaa tu wasio jua hata history ya hii team.
Sisi Liverpool HALISI tumeisha wapuuza,hamna hoja
Sawa ndio jopo lako la liverpoop Halisi linawatu gani wengine? Hupaswi kusema Sisi we sema mimi acha kukaza ubongo.
Jamaa anaona timu yake pekeyake
Timu yetu sote hii.
Asitupangie namna ya kuishangilia na kuikosoa.
Acha ujinga team ikizingua lazima mashabiki waongee yaani wanaongea mashabiki waliopo Jiji la Liverpool sembuse wewe mshamba mmoja wa Tanzania ndio ukataze watu kuongea timu ikifanya vibayaView attachment 2753018
Liverpool HALISI hawezi tukana team hii,nyie ni Liverpool feki
UsitupangieView attachment 2753018
Liverpool HALISI hawezi tukana team hii,nyie ni Liverpool feki
Jamaa nawasiwasi na uwezo wake wa kuchanganua mamboAcha ujinga team ikizingua lazima mashabiki waongee yaani wanaongea mashabiki waliopo Jiji la Liverpool sembuse wewe mshamba mmoja wa Tanzania ndio ukataze watu kuongea timu ikifanya vibaya
Hiyo Liverpool Halisi unajiita wewe mwenyewe, usijifanye mpo wengi.Wana Liverpool HALISI hapa tupo na pia MPO nyie wana Liverpool wapiuzi kazi yenu kutukana team lkn mnalegeza matumbo team ikishinda
Wana liverpool halisi wana waambia nyie wana Liverpool feki kama msiwe kama kinyonga,hata team ikishinda nyie endeleeni tu kutukana
Waweza kuwa uko sahihi, Ila binafsi huwa unaniacha hoi unaposema Liverpool fans mzidi KUSHIKAMANA ili timu yenu ishinde, huwa najiuliza Liverpool fan wa jamiiforums anashikamanaje kusaidia matokeo ya timu. Ni kama mchezo wa kitoto fulani hivi...View attachment 2753018
Liverpool HALISI hawezi tukana team hii,nyie ni Liverpool feki
Sina shaka hapa Kuna mleviWana Liverpool HALISI hapa tupo na pia MPO nyie wana Liverpool wapiuzi kazi yenu kutukana team lkn mnalegeza matumbo team ikishinda
Wana liverpool halisi wana waambia nyie wana Liverpool feki kama msiwe kama kinyonga,hata team ikishinda nyie endeleeni tu kutukana
Haijalishi ulianza shabikia mwaka gani, aliye anza shabikia 1880 na aliye anza shabikia 2020 wote ni mashabiki mkuu acha kujifanya kuwa Liverpool niyawalio anza kushabikia miaka ya zamani tu. Acha izoWapuuzi wanao tukana team hawawezi kuwa Liverpool HALISI,ni Liverpool waganga njaa tu wasio jua hata history ya hii team.
Sisi Liverpool HALISI tumeisha wapuuza,hamna hoja
Aache bangi huyoAcha ujinga team ikizingua lazima mashabiki waongee yaani wanaongea mashabiki waliopo Jiji la Liverpool sembuse wewe mshamba mmoja wa Tanzania ndio ukataze watu kuongea timu ikifanya vibaya
Bora umeongea huo ni upuuziUsitupangie
Team siyo yako pekeyako.
Tutaisema tu kwa kadiri tunavyoweza,
Wanaoimiliki timu wapo zao huko duniani,
Mimi na wewe ni mashabiki tu kutoka
Mabondekuinama.
Feki utakuwa wewe kutoka Tukuyu.
Acha ujinga wewe tumjue anatusaidia nini hili ni link ya mwanaliverpool yeyote duniani unaleta. Habari za ugeni jamii forum yakoHumu ndani inaonesha wengi ni Wageni yani hawamjui Malafyale
Ohooo, ujinga umetoka wapi hapo? Naona wewe ndo umeshindwa kuficha ujinga wako.Acha ujinga wewe tumjue anatusaidia nini hili ni link ya mwanaliverpool yeyote duniani unaleta. Habari za ugeni jamii forum yako