Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,604
- 5,737
daah nafurahia sana hapa yaani sishikiki na hata mwenye bar ninavyojitanua haahaa. enjoy
Shinda Klopp hapendi kabisa kupangiwa you remember sometimes last year Gareth Southgate alisema huyu dogo is probably a better player in MF kuliko RB.. Klopp wala hakutaka kusikia kingine zaidi ya dogo ni RB mpaka pale alipokuja kuona hali si hali dogo sasa acheze hybrid RBMF..Sasa mechi vs Newcastle alikuwa na three duties
1. As captain for almost 70 mins
2. As RB defensive
3. As offensive too.
Ila aliwaka kweli kweli baada ya kadi. Gordon ndio alimvuruga hasa TAA. Its not about TAA its about Klopp. Kama ameshindwa kabisa kujifunza kuzuia basi mpe natural role yake (Mf) na akiwa hapo anaku offer positiveness why as coach cant you use his strength to benefit you?
😂 😂 😂 😂 Saint Anne njoo huku kuna mchezaji anakuhusu tupa hukooo....Matip auzwe tu, hana jipya tena...Miguu mirefu ajikanyagakanyaga...
Beki ni tatizo
Boy ana kipaji ishu hua ni wa kuumia mara kwa mara.Pedro Neto anawapika kisawa sawa!
Amekupika wewe sasaPedro Neto anawapika kisawa sawa!
Imekufaje?Hii team Leo imekufa sababu ya jota na Jones tu
Mtawaulaume Bure mabeki
Makes me wonder if Gravenberch will bring the solid wall pale kati ili kupunguza kuwa expose the back line..Gomez ameanza kurudi kwenye form yake ya 2018/2019.
Katikati bado hatujapata mtu wa kazi chafu kweli, SOBO na MACA hawawez kuhold ,, tupo exposed sana safu yetu ya ulinzi
yeah tatatiibu vijana watakuwa sawa ni swala la muda tuu.Finally we are on top of the table.
Kila mtu Ashinde mechi zake
Hapo kati angemjaribu Bajcetic aiseeSobo anakava mapungugu ya Jones tatizo linaanzia hapo
Tumepikwa bro tukaiva, sasa ni aje?Pedro Neto anawapika kisawa sawa!
jota usimpe lawama mashambulizi yote tuliyofanya yanatokea upande wake
the only problem ni klop kumuanzisha Jones as no 6!!!huko ni kumpima Imani tu kijana wa watu






Sure hatuna holding mid, itakuja kutucost mbeleHapo kati angemjaribu Bajcetic aisee
Haiondoi fact kwamba aliwapika!Amekupika wewe sasa