Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bobby ukifika kutazama mechi hii utatucheka sana haters
1693157670802.jpg
 
Kwa LFC hivi sasa rotation inaumiza kichwa upande wa viungo maana namba ya viungo imekuwa ndogo sana +upande wa CB na RB, kwa forward hata sina shaka napo kbisa.
Yaaani hii Rebuilding ya FSG is doomed wakati wote yaaani muda ule unategemea waingie sokoni kuimarisha RB na CB wako bizy kucheza PR game mara wanamtaka yule mara huyu... Kuodoka kwa Ward na Edwards sio kwa bahati mbaya aisee waliona mbali sanaa... Klopp sasa is operating the club full suit kwenye usajili yaaani we are deep shit we need mother luck kwenye injuries na hawa kids wa step up in style ku cover pale wanapohitajika.

YNWA
 

Bila huyu dogo hii siku
Tungelala na viatu
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 The boy for the big occasions... Aliwazima mdomo kimyaaa pointi 3 hizoo kuwapa...

Hajawa finished article kwa kua bado ni mtahani kwa Klopp how to incorporate Nunez na Salah as main focus pale mbele...

Klopp asitumie sana nguvu how to manage the boys he should go with whats is working...


YNWA
 
Bado kibabu thiago na yule Kipa wa akiba mspanish ambaye kila mwisho wa msimu wanampa new contract
😂 😂 😂 😂 Thiago atasepa tu nadhani kwa kua alikua majeruhi wakati dirisha lipo wazi haikua rahisi kumpata mteja..
Adrian hana madhara kwa kua ni chaguo namba 3.

Angalau dirisha hili Klopp hili kaweka mahaba pembeni.

YNWA
 
Halafu hata tukishangilia ushindi
Atakuja kujimilikisha ushindi na kuanza kutukataza kushangilia
Akijiita yeye pekeyake ndio fan halisi,
Kisa tunaikosoa team inapochemsha.
We all love this Liverpool club.. We may have different opinions with style of play, wachezaji, wamiliki nk nk lakini mwisho wa siku tunaitakia mema klabu yetu pendwa.. Changamoto inaanza pale wengine wapo direct kuona udhaifu ya baadhi ya wachezaji na kusema bila kuficha fulani na fulani ni kikwazo cha timu na muda huo huo Klopp anakomaa nao mpaka unajiuliza huko mazoezini Klopp anaona nini na huku uwanjani mbona ni wachezaji wasiofaa kuanzishwa..Klopp nae ni binadamu tutasimama nae lakini penye udhaifu tutasema... Wachezaji nao vile vile hatuna muda wa kuwafudisha wachezaji basics za mpira huku Kipara akiwa anachaja mbuga kusaka EPL ya nne continuously..

All in all ni jukwaa huru maoni ushauri kwa lugha za kuheshimiana...

Mwendo ni ule ule hatutaki wachezaji wanaotembelea nyota ya wengine.. Kila mchezaji atupe tunachotegemea n we are good to go...

YNWA
 
We all love this Liverpool club.. We may have different opinions with style of play, wachezaji, wamiliki nk nk lakini mwisho wa siku tunaitakia mema klabu yetu pendwa.. Changamoto inaanza pale wengine wapo direct kuona udhaifu ya baadhi ya wachezaji na kusema bila kuficha fulani na fulani ni kikwazo cha timu na muda huo huo Klopp anakomaa nao mpaka unajiuliza huko mazoezini Klopp anaona nini na huku uwanjani mbona ni wachezaji wasiofaa kuanzishwa..Klopp nae ni binadamu tutasimama nae lakini penye udhaifu tutasema... Wachezaji nao vile vile hatuna muda wa kuwafudisha wachezaji basics za mpira huku Kipara akiwa anachaja mbuga kusaka EPL ya nne continuously..

All in all ni jukwaa huru maoni ushauri kwa lugha za kuheshimiana...

Mwendo ni ule ule hatutaki wachezaji wanaotembelea nyota ya wengine.. Kila mchezaji atupe tunachotegemea n we are good to go...

YNWA
Malafyale anaonaga pekeyake ndiye anaipenda LFC
Kuliko hata MosDef aliyepo hukohuko uingereza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom